|
|
audio,sentence
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_0.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_1.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_2.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_3.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_4.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_5.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_6.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_7.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_8.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_9.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_10.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_11.wav,Basi wana wa Israeli walifanya vile vile kama Yoshua alivyowaamuru.
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_13.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_14.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_15.wav,Kisha Yoshua akapanga mawe kumi na mawili katikati ya Yordani.
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_16.wav,Mahali pale miguu ya hao makuhani waliolichukua hilo sanduku la agano iliposimama; nayo yapo pale pale hata hivi leo.
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_17.wav,Kwa kuwa makuhani waliolichukua hilo sanduku walisimama katikati ya Yordani.
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_18.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_19.wav,Kisha hao watu wakafanya haraka wakavuka.
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_20.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_21.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_22.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_23.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_24.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_25.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_26.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_27.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_28.wav,Kwamba wakwee juu kutoka mle katika Yordani.
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_29.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_30.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_31.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_32.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_33.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_34.wav,Na yale mawe kumi na mawili waliyoyatwaa katikati ya Yordani Yoshua akayasimamisha Gilgali.
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_35.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_36.wav,Mawe haya maana yake ni nini?
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_37.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_38.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_39.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_40.wav,Aliyoikausha mbele yetu hata tulipokwisha kuvuka.
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_41.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_42.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_43.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_44.wav,Waliposikia jinsi Bwana alivyoyakausha maji ya Yordani mbele ya wana wa Israeli.
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_45.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_46.wav,Wala haikuwamo roho ya nguvu ndani yao tena; kwa ajili ya wana wa Israeli.
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_47.wav,Wakati huo Bwana akamwambia Yoshua.
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_48.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_49.wav,Basi Yoshua akajifanyia visu vya mawe ya gumegume.
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_50.wav,Akawatahiri wana wa Israeli huko Gibea-haaralothi.
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_51.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_52.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_53.wav,Kwa kuwa watu wote waliotoka walikuwa wamekwisha kutahiriwa.
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_54.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_55.wav,Kwa kuwa wana wa Israeli walitembea muda wa miaka arobaini barani
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_56.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_57.wav,Kwa sababu hawakuisikiza sauti ya Bwana; nao ndio Bwana aliowaapia ya kwamba hatawaacha waione hiyo nchi.
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_58.wav,Ambayo Bwana aliwaapia baba zao kwamba atatupa sisi; nchi ijaayo maziwa na asali.
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_59.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_60.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_61.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_62.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_63.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_64.wav,Basi wana wa Israeli wakapanga hema zao huko Gilgali.
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_65.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_66.wav,Nao wakala katika mazao ya nchi siku ya pili ya kuiandama hiyo sikukuu ya pasaka.
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_67.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_68.wav,
|
|
|
200625-112612_swa_5a1_elicit_69.wav,Na hao wana wa Israeli hawakuwa na mana tena; lakini wakala katika viliwa vya nchi ya Kanaani mwaka huo.
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_0.wav,
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_1.wav,
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_2.wav,
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_3.wav,
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_4.wav,Bwana wangu aniambia nini mimi mtumishi wake?
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_5.wav,
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_6.wav,Kwa kuwa mahali hapo usimamapo ni patakatifu.
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_7.wav,Yoshua akafanya vivyo.
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_8.wav,Basi Yeriko ulikuwa umefungwa kabisa kwa sababu ya wana wa Israeli.
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_9.wav,Hapana mtu aliyetoka wala hapana mtu aliyeingia.
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_10.wav,
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_11.wav,
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_12.wav,Fanya hivi siku sita.
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_13.wav,Na makuhani saba watachukua tarumbeta saba za pembe za kondoo waume.
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_14.wav,
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_15.wav,Kisha itakuwa watakapopiga hizo pembe za kondoo waume kwa nguvu.
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_16.wav,
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_17.wav,
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_18.wav,
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_19.wav,
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_20.wav,
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_21.wav,Na hao watu wenye silaha na watangulie mbele ya sanduku la Bwana.
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_22.wav,Basi ikawa Yoshua alipokwisha kusema na watu.
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_23.wav,
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_24.wav,
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_25.wav,Wale watu wenye silaha walikwenda mbele ya hao makuhani waliozipiga tarumbeta.
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_26.wav,Na wale waliokuwa nyuma wakalifuata hilo sanduku; makuhani wakizipiga tarumbeta walipokuwa wakienda.
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_27.wav,
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_28.wav,
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_29.wav,
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_30.wav,
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_31.wav,Na wale makuhani saba wakazichukua tarumbeta saba za pembe za kondoo waume mbele ya sanduku la Bwana.
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_32.wav,Wakaendelea wakazipiga tarumbeta; nao watu wenye silaha wakawatangulia.
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_33.wav,Na hao waliokuwa nyuma wakalifuata sanduku la Bwana; makuhani wakizipiga tarumbeta walipokuwa wakienda.
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_34.wav,
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_35.wav,Ikawa siku ya saba wakaondoka asubuhi na mapema wakati wa mapambazuko.
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_36.wav,Wakauzunguka mji vivyo hivyo mara saba; ila siku hiyo waliuzunguka huo mji mara saba.
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_37.wav,
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_38.wav,Pigeni kelele; kwa maana Bwana amewapeni mji huu.
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_39.wav,
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_40.wav,
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_41.wav,Kwa sababu aliwaficha hao wapelelezi tuliowatuma.
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_42.wav,
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_43.wav,
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_44.wav,Nanyi hivyo mtayafanya matuo ya Israeli kuwa yamelaaniwa na kuyafadhaisha.
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_45.wav,
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_46.wav,Vitaletwa katika hazina ya Bwana.
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_47.wav,
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_48.wav,
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_49.wav,
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_50.wav,
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_51.wav,Basi wakaangamiza kabisa vitu vyote vilivyokuwa ndani ya mji.
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_52.wav,
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_53.wav,Naye Yoshua akawaambia wale wanaume wawili walioipeleleza nchi.
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_54.wav,
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_55.wav,
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_56.wav,Wakawatoa na jamaa zake wote pia; wakawaweka nje ya matuo ya Israeli.
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_57.wav,
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_58.wav,
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_59.wav,Wakavitia katika hazina ya nyumba ya Bwana.
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_60.wav,
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_61.wav,Naye akakaa kati ya Israeli hata leo; kwa sababu aliwaficha wale wajumbe aliowatuma Yoshua ili kuupeleleza mji wa Yeriko.
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_62.wav,
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_63.wav,Na alaaniwe mbele za Bwana mtu yule atakayeinuka na kuujenga tena mji huu wa Yeriko.
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_64.wav,Ataweka msingi wake kwa kufiliwa na mzaliwa wa kwanza wake.
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_65.wav,Tena atayasimamisha malango yake kwa kufiliwa na mtoto wake mwanamume aliye mdogo.
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_66.wav,Basi Bwana alikuwa pamoja na Yoshua; sifa zake zikaenea katika nchi ile yote.
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_67.wav,Lakini wana wa Israeli walifanya dhambi katika kitu kilichowekwa wakfu.
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_68.wav,
|
|
|
200625-114939_swa_5a1_elicit_69.wav,Alitwaa baadhi ya vitu vilivyowekwa wakfu; hasira ya Bwana ikawaka juu ya wana wa Israeli.
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_0.wav,
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_1.wav,
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_2.wav,
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_3.wav,Usiwataabishe watu wote kwa kuwaendesha huko; maana watu hao ni wachache tu.
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_4.wav,Basi watu wakaenda huko wapata elfu tatu tu; nao wakakimbia mbele ya watu wa Ai.
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_5.wav,Watu wa Ai wakawapiga watu kama thelathini na sita; wakawafuatia kutoka mbele ya mlango mpaka Shebarimu.
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_6.wav,
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_7.wav,
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_8.wav,Yeye na wazee wa Israeli; wakatia mavumbi vichwani mwao.
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_9.wav,
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_10.wav,Laiti tungelikuwa radhi kukaa ng'ambo ya Yordani
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_11.wav,"Ee Bwana, niseme nini baada ya Israeli kuwapa visogo adui zao?"
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_12.wav,"Maana Wakanaani na wenyeji wote wa nchi hii watasikia habari hii, nao watatuzingira, na kulifuta jina letu katika nchi."
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_13.wav,Nawe utafanya nini kwa ajili ya jina lako kuu?
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_14.wav,"Bwana akamwambia Yoshua, Haya! Inuka, mbona umeanguka kifudifudi hivi?"
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_15.wav,"Israeli wamefanya dhambi, naam, wamelivunja agano langu nililowaagiza."
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_16.wav,"Naam, wametwaa baadhi ya vitu vilivyowekwa wakfu; tena wameiba, tena wameficha na kuvitia pamoja na vitu vyao wenyewe."
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_17.wav,Ndiposa wana wa Israeli hawawezi kusimama mbele ya adui zao; wakawapa visogo adui zao.
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_18.wav,"Kwa sababu wamelaaniwa; mimi sitakuwa pamoja nanyi tena, msipokiharibu kitu kile mlicho nacho kilichowekwa wakfu."
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_19.wav,"Haya! Inuka, uwatakase watu, ukaseme, Jitakaseni, mwe tayari kesho; maana Bwana, Mungu wa Israeli, asema hivi."
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_20.wav,"Kitu kilichowekwa wakfu kiko katikati yako, Ee Israeli; huwezi kusimama mbele ya adui zako."
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_21.wav,Hata mtakapokiondoa kile mlicho nacho kilichowekwa wakfu.
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_22.wav,Basi asubuhi mtaletwa karibu nami kabila kwa kabila.
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_23.wav,Kisha itakuwa ya kwamba kabila ile atakayoitwaa Bwana itakaribia jamaa kwa jamaa.
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_24.wav,Na jamaa ile atakayoitwaa Bwana itakaribia nyumba kwa nyumba; na nyumba ile atakayoitwaa Bwana itakaribia mtu kwa mtu.
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_25.wav,"Tena itakuwa ya kwamba yeye atakayetwaliwa, naye anacho kitu kile kilichowekwa wakfu."
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_26.wav,"Atateketezwa kwa moto, yeye na vitu vyote alivyo navyo."
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_27.wav,"Kwa sababu amelivunja agano la Bwana, na kwa sababu ametenda upumbavu katika Israeli."
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_28.wav,"Basi Yoshua akaondoka asubuhi na mapema, akawasogeza Israeli kabila kwa kabila; kabila ya Yuda ikatwaliwa."
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_29.wav,"Akazisogeza jamaa za Yuda, akaitwaa jamaa ya Wazera; akaisogeza jamaa ya Wazera mtu kwa mtu; Zabdi akatwaliwa."
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_30.wav,Akawasogeza watu wa nyumba yake mmoja mmoja.
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_31.wav,"Na Akani, mwana wa Karmi, mwana wa Zabdi, mwana wa Zera, wa kabila ya Yuda akatwaliwa."
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_32.wav,"Yoshua akamwambia Akani, Mwanangu, nakusihi, umtukuze Bwana, Mungu wa Israeli."
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_33.wav,Ukaungame kwake; uniambie sasa ulilolitenda; usinifiche.
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_34.wav,"Akani akamjibu Yoshua, akasema, Kweli nimefanya dhambi juu ya Bwana, Mungu wa Israeli, nami nimefanya mambo haya na haya."
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_35.wav,"Nilipoona katika nyara joho nzuri ya Babeli, na shekeli mia mbili za fedha."
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_36.wav,"Na kabari ya dhahabu, uzani wake shekeli hamsini, basi nalivitamani nikavitwaa."
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_37.wav,"Tazama, vimefichwa mchangani katikati ya hema yangu, na ile fedha chini yake."
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_38.wav,Basi Yoshua akatuma wajumbe wakapiga mbio mpaka hemani.
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_39.wav,"Na tazama, vile vitu vilikuwa vimefichwa hemani mwake, na ile fedha chini yake."
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_40.wav,"Wakavitoa kutoka hapo katikati ya hema, wakavileta kwa Yoshua, na kwa wana wa Israeli wote, nao wakaviweka chini mbele za Bwana."
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_41.wav,"Kisha Yoshua, na Israeli wote pamoja naye, wakamtwaa Akani, mwana wa Zera."
|
|
|
200625-121032_swa_5a1_elicit_42.wav,"Na ile fedha, na Lile joho, na ile kabari ya dhahabu, na wanawe, na binti zake, na ng'ombe zake, na punda zake, na kondoo zake. |
|
|
Na hema yake, na vitu vyote alivyokuwa navyo, wakavileta juu hata bonde la Akori. |
|
|
Yoshua akasema, Mbona umetufadhaisha hivi? |
|
|
|
|
|
Ndipo Israeli wote wakampiga kwa mawe, kisha wakawateketeza kwa moto, na kuwapiga kwa mawe. |
|
|
|
|
|
|
|
|
Kwa sababu hiyo jina la mahali pale likaitwa, Bonde la Akori, hata hivi leo. |
|
|
Kisha Bwana akamwambia Yoshua, Usiche, wala usifadhaike. |
|
|
Wachukue watu wote wa vita waende pamoja nawe, nanyi inukeni, mwende Ai. |
|
|
Angalia, mimi nimemtia mkononi mwako huyo mfalme wa Ai, na watu wake, na mji wake, na nchi yake. |
|
|
|
|
|
|
|
|
Basi Yoshua akainuka, na watu wote wa vita pamoja naye, ili waende Ai. |
|
|
Yoshua akachagua watu thelathini elfu, watu mashujaa wenye uwezo, akawapeleka wakati wa usiku. |
|
|
Akawaagiza, akasema, Angalieni, mtaotea kuuvizia ule mji, upande wa nyuma wa mji. |
|
|
Msiende mbali sana na mji, lakini kaeni tayari nyote;na mimi, na watu wote walio pamoja nami, tutaukaribia mji. |
|
|
Kisha itakuwa, hapo watakapotoka nje kupigana nasi. |
|
|
Kama walivyofanya hapo kwanza, sisi tutakimbia mbele yao. |
|
|
Nao watatoka nje watufuate, hata tuwavute waende mbali na mji wao. |
|
|
Kwa kuwa watasema, Wakimbia mbele yetu, kama walivyofanya kwanza; nasi tutakimbia mbele yao. |
|
|
Basi ninyi mtainuka mtoke hapo mwoteapo, na kuushika mji. |
|
|
Kwa kuwa Bwana, Mungu wenu, atautia mikononi mwenu. |
|
|
Kisha itakuwa, mtakapoushika mji, ndipo mtauteketeza mji kwa moto; sawasawa na hilo neno la Bwana; angalieni, nimewaagiza. |
|
|
|
|
|
Wakakaa kati ya Betheli na Ai, upande wa magharibi wa Ai; lakini Yoshua akalala usiku huo kati ya watu. |
|
|
Yoshua akaamka asubuhi na mapema, akawakutanisha watu. |
|
|
Kisha akatangulia kukwea kwenda Ai mbele ya hao watu, yeye na wazee wa Israeli. |
|
|
Watu wote, hao wa vita, waliokuwa pamoja naye, wakaenda wakakaribia, na kufikilia mbele ya mji. |
|
|
|
|
|
Kisha akatwaa watu kama elfu tano, akawaweka kuotea kati ya Betheli na Ai, upande wa magharibi wa huo mji. |
|
|
Basi wakawaweka hao watu, jeshi zima lililokuwa upande wa kaskazini wa mji. |
|
|
|
|
|
Kisha ikawa hapo huyo mfalme wa Ai alipoona jambo hilo, ndipo walipofanya haraka. |
|
|
Na wakaamka asubuhi na mapema, na watu waume wa mji wakatoka nje waende kupigana na Israeli. |
|
|
Yeye na watu wake wote, kwa wakati ulioamriwa, kuikabili Araba. |
|
|
|
|
|
Kisha Yoshua na watu wa Israeli wote walifanya kana kwamba wameshindwa mbele yao, wakakimbia kwa njia ya nyika. |
|
|
|
|
|
Nao wakamfuatia Yoshua, wakasongea mbele na kuuacha mji. |
|
|
Hakusalia mtu ye yote ndani ya Ai, au katika Betheli, asiyetoka nje kuwafuatia Israeli. |
|
|
|
|
|
Kisha Bwana akamwambia Yoshua, Haya, unyoshe huo mkuki ulio nao mkononi mwako. |
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Wakaingia ndani ya mji, na kuushika; nao wakafanya haraka kuuteketeza kwa moto huo mji. |
|
|
Kisha hapo hao watu wa Ai walipotazama nyuma yao, wakaona. |
|
|
Na tazama, moshi wa huo mji ulikuwa unapaa juu kwenda mawinguni. |
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Na ya kwamba moshi wa mji umepaa juu, ndipo wakageuka tena, na kuwaua watu wa Ai. |
|
|
|
|
|
|
|
|
Hata wasimwache hata mmoja miongoni mwao aliyesalia, wala kupona. |
|
|
Kisha wakamshika mfalme wa Ai ali hai, nao wakamleta kwa Yoshua. |
|
|
Kisha ikawa, hapo Israeli walipokuwa wamekwisha kuwaua wenyeji wote wa Ai katika bara. |
|
|
Hapo katika nyika walipokuwamo wakiwafuatia, nao walikuwa wamekwisha anguka wote kwa makali ya upanga. |
|
|
Hata walipokuwa wameangamizwa wote, ndipo Israeli wakarejea Ai, na kuupiga huo mji kwa makali ya upanga. |
|
|
Wote walioanguka siku hiyo waume kwa wake, walikuwa ni kumi na mbili elfu, yaani, watu wote wa mji wa Ai. |
|
|
Kwani huyo Yoshua hakuuzuia mkono wake, huo ulionyosha huo mkuki. |
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Basi Yoshua akaupiga moto mji wa Ai, na kuufanya kuwa ni chungu ya magofu hata milele kuwa ni ukiwa hata siku hii ya leo. |
|
|
|
|
|
Kisha hapo jua lilipokuchwa Yoshua akaagiza, nao wakauondoa mzoga wake katika huo mti. |
|
|
|
|
|
Kisha wakaweka pale juu yake chungu kubwa ya mawe, hata hivi leo. |
|
|
Ndipo Yoshua alijenga madhabahu kwa Bwana, Mungu wa Israeli katika mlima Ebali. |
|
|
Kama Musa, mtumishi wa Bwana, alivyowaamuru wana wa Israeli, kama ilivyoandikwa katika kitabu cha torati ya Musa. |
|
|
Madhabahu ya mawe yasiyochongwa, ambayo mtu hakutumia juu yake chombo cha chuma. |
|
|
Nao wakatoa juu yake sadaka za kuteketezwa kwa Bwana, na kuchinja sadaka za amani. |
|
|
Akaandika huko juu ya mawe hayo nakala ya torati ya Musa, aliyoiandika mbele ya wana wa Israeli. |
|
|
Na Israeli wote, na wazee wao, na maakida yao, na makadhi yao, wakasimama upande huu wa sanduku na upande huu. |
|
|
Mbele ya makuhani Walawi, waliolichukua sanduku la agano la Bwana, huyo aliyekuwa mgeni pamoja na huyo mzalia. |
|
|
Nusu yao mbele ya mlima Gerizimu, na nusu yao mbele ya mlima Ebali. |
|
|
Kama Musa, mtumishi wa Bwana, alivyoamuru, ili wawabarikie watu wa Israeli kwanza. |
|
|
Na baadaye alisoma maneno yote ya torati, baraka na laana, sawasawa na maneno yote yaliyoandikwa katika kitabu cha torati. |
|
|
Hapakuwa na hata neno moja katika hayo aliyoamuru Musa, ambalo Yoshua hakulisoma mbele ya kusanyiko lote la Israeli. |
|
|
Na mbele ya wanawake, na watoto, na wageni waliokaa nao. |
|
|
|
|
|
Hapo penye nchi ya vilima, na katika Shefela, na katika upande wa pwani yote ya bahari kubwa kuikabili Lebanoni, yaani. |
|
|
Huyo Mhiti, na Mwamori, na Mkanaani, na Mperizi, na Mhivi, na Myebusi, waliposikia habari ya mambo hayo. |
|
|
Ndipo walipojikutanisha pamoja wenyewe kwa wenyewe, ili kupigana na Yoshua, na hao Israeli, kwa nia moja. |
|
|
Lakini wenyeji wa Gibeoni waliposikia habari ya hayo yote Yoshua aliyokuwa amewatenda watu wa Yeriko, na wa Ai. |
|
|
Wao wakatenda kwa hila, nao wakaenda na kujifanya kama ndio wajumbe. |
|
|
Wakaenda na magunia makuukuu juu ya punda zao, na viriba vya mvinyo vilivyokuwa vikuukuu vilivyoraruka-raruka, na kutiwa viraka. |
|
|
|
|
|
|
|
|
Nao wakamwendea Yoshua hata maragoni huko Gilgali, nao wakamwambia yeye na watu wa Israeli. |
|
|
|
|
|
Basi watu wa Israeli wakawaambia hao Wahivi, Labda mwakaa kati yetu; nasi tutawezaje kufanya agano nanyi? |
|
|
Nao wakamwambia Yoshua, Sisi tu watumishi wako. |
|
|
Yoshua akawauliza, Ninyi ni nani? Nanyi mwatoka wapi? |
|
|
Nao wakamwambia, Sisi watumishi wako twatoka nchi iliyo mbali sana, kwa sababu ya jina la Bwana, Mungu wako. |
|
|
Kwa kuwa sisi tumesikia sifa zake, na habari ya hayo yote aliyofanya huko Misri. |
|
|
|
|
|
Waliokuwa huko ng'ambo ya pili ya Yordani, maana huyo Sihoni."
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_19.wav,"Mfalme wa Heshboni, na Ogu, mfalme wa Bashani, aliyekuwa huko Ashtarothi."
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_20.wav,"Kisha wazee wetu, na wenyeji wote wa nchi yetu, walinena nasi na kutuambia."
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_21.wav,Chukueni vyakula mkononi mwenu kwa ajili ya safari.
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_22.wav,"Mmwende mkawalaki watu hao, na kuwaambia, Sisi tu watumishi wenu; basi sasa fanyeni agano nasi."
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_23.wav,"Huu mkate wetu tuliutwaa ukali moto katika nyumba zetu, siku hiyo tuliyotoka kuja kwenu."
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_24.wav,"Uwe chakula chetu; lakini sasa, tazama, umekauka, na kuingia koga."
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_25.wav,"Na viriba vyetu hivi, tulivyovitia divai, vilikuwa ni vipya; sasa, tazama."
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_26.wav,Vimeraruka-raruka; na haya mavazi yetu na viatu vyetu vimekuwa vikuukuu kwa vile tulivyokuja safari ya mbali sana.
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_27.wav,"Basi hao watu wakatwaa katika vyakula vyao, wala wasitake shauri kinywani mwa Bwana."
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_28.wav,"Naye Yoshua akafanya amani pamoja nao, na kufanya agano nao, ili kwamba waachwe hai; na wakuu wa mkutano wakawaapia."
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_29.wav,"Kisha ikawa, mwisho wa siku ya tatu baada ya kufanya hilo agano nao."
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_30.wav,"Walisikia habari ya kuwa watu hao ni jirani zao, na ya kwamba waliketi kati yao."
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_31.wav,"Kisha wana wa Israeli walisafiri, wakaifikilia miji ya watu hao siku ya tatu."
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_32.wav,"Basi miji ya watu hao ilikuwa ni hii, Gibeoni, na Kefira, na Beerothi, na Kiriath-yearimu."
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_33.wav,"Wana wa Israeli hawakuwapiga, kwa sababu wakuu wa mkutano walikuwa wamekwisha kuwaapia kwa Bwana, Mungu wa Israeli."
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_34.wav,Nao mkutano wote wakawanung'unikia hao wakuu.
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_35.wav,
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_36.wav,Mungu wa Israeli; basi sasa hatuwezi kuwagusa watu hawa.
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_37.wav,
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_38.wav,
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_39.wav,
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_40.wav,
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_41.wav,
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_42.wav,Basi sasa mmelaaniwa kisha hatakosekana kuwapo mtu wa kwenu aliye mtumwa.
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_43.wav,
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_44.wav,
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_45.wav,
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_46.wav,Na kuwaangamiza wenyeji wote wa nchi hii watoke mbele zenu.
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_47.wav,
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_48.wav,
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_49.wav,
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_50.wav,
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_51.wav,
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_52.wav,
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_53.wav,
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_54.wav,
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_55.wav,
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_56.wav,
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_57.wav,
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_58.wav,
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_59.wav,
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_60.wav,
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_61.wav,Kwa sababu umefanya mapatano ya amani pamoja na Yoshua na wana wa Israeli.
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_62.wav,
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_63.wav,
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_64.wav,
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_65.wav,
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_66.wav,Ndipo watu wa Gibeoni wakatuma wajumbe kwenda kwa Yoshua huko Gilgali maragoni.
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_67.wav,
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_68.wav,
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_69.wav,Kwa sababu wafalme wote wa Waamori wakaao katika nchi ya vilima wamekutana pamoja juu yetu.
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_70.wav,
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_71.wav,
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_72.wav,kwa kuwa mimi nimekwisha kuwatia mikononi mwako; hapana mtu awaye yote miongoni mwao atakayesimama mbele yako.
|
|
|
200627-114907_swa_5a1_elicit_73.wav,Basi Yoshua akawafikilia ghafula; kwani alikwea kutoka Gilgali kwenda usiku kucha.
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_0.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_1.wav,Akawafukuza waikimbilie hiyo njia ya kukwelea kwenda Beth-horoni.
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_2.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_3.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_4.wav,Hapo walipokuwa katika kutelemkia Beth-horoni.
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_5.wav,Ndipo Bwana alipowatupia mawe makubwa kutoka mbinguni juu yao hata kufikilia Azeka.
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_6.wav,Nao wakafa; hao waliokufa kwa kuuawa na hayo mawe ya barafu.
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_7.wav,Walikuwa ni wengi kuliko hao waliouawa na wana wa Israeli kwa upanga.
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_8.wav,Ndipo Yoshua akanena na Bwana katika siku hiyo ambayo Bwana aliwatoa Waamori mbele ya wana wa Israeli.
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_9.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_10.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_11.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_12.wav,Haikuwapo siku nyingine mfano wa siku hiyo katika siku zilizotangulia mbele yake.
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_13.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_14.wav,Kwa kuwa Bwana alipiga vita kwa ajili ya Israeli.
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_15.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_16.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_17.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_18.wav,Nao wa hali ya kujificha ndani ya pango la Makeda
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_19.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_20.wav,Kisha wekeni watu hapo ili kuwalinda.
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_21.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_22.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_23.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_24.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_25.wav,Ndipo hao watu wote wakamrudia Yoshua maragoni huko Makeda salama.
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_26.wav,Hakuna mtu awaye yote aliyetoa ulimi kinyume cha hao wana wa Israeli hata mmojawapo.
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_27.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_28.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_29.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_30.wav,Kisha ikawa hapo walipomletea Yoshua hao wafalme watano hapo nje.
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_31.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_32.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_33.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_34.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_35.wav,Kwa kuwa ndivyo Bwana atakavyowafanyia adui zenu wote ambao mwapigana nao.
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_36.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_37.wav,Nao wakawa wakitundikwa katika hiyo miti hata jioni.
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_38.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_39.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_40.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_41.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_42.wav,Naye akamfanyia huyo mfalme wa Makeda kama alivyomfanyia huyo mfalme wa Yeriko.
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_43.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_44.wav,Bwana akautia na mji huo pia pamoja na mfalme wake mkononi mwa Israeli.
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_45.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_46.wav,Hakumwacha hata mmoja aliyesalia ndani yake; naye akamtenda mfalme wake kama alivyomtenda huyo mfalme wa Yeriko.
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_47.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_48.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_49.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_50.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_51.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_52.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_53.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_54.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_55.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_56.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_57.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_58.wav,Hata wakafikilia Hebroni; nao wakapigana nao.
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_59.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_60.wav,Na wote waliokuwamo ndani yake; hakumwacha aliyesalia hata mtu mmoja.
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_61.wav,Sawasawa na hayo yote aliyoufanyia huo mji wa Egloni.
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_62.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_63.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_64.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_65.wav,Wakawaangamiza kabisa wote pia waliokuwamo ndani yake; hakumwacha hata mmoja aliyesalia.
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_66.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_67.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_68.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_69.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_70.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_71.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_72.wav,
|
|
|
200627-120545_swa_5a1_elicit_73.wav,
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_0.wav,
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_1.wav,
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_2.wav,
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_3.wav,
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_4.wav,
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_5.wav,
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_6.wav,
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_7.wav,Na kwa Mhivi pale chini ya Hermoni katika nchi ya Mispa.
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_8.wav,
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_9.wav,
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_10.wav,Wafalme hao wote wakakutana pamoja; wakaenda na kupanga mahema yao pamoja.
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_11.wav,
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_12.wav,
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_13.wav,Kwani kesho wakati kama huu nitawatoa hali wameuawa wote mbele ya Israeli.
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_14.wav,
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_15.wav,
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_16.wav,Ili kupigana nao hapo penye maji ya Meromu ghafula; wakawaangukia.
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_17.wav,
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_18.wav,
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_19.wav,Tena hata kufikilia bonde la Mispa upande wa mashariki.
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_20.wav,Wakawapiga hata wasiwasaze hata mtu mmoja aliyesalia.
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_21.wav,Yoshua akawafanyia vile vile kama Bwana alivyomwamuru.
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_22.wav,
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_23.wav,
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_24.wav,Kwa kuwa Hazori hapo kwanza ulikuwa ni kichwa cha falme hizo zote.
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_25.wav,Nao wakawapiga wote pia waliokuwamo ndani ya Hazori kwa makali ya upanga.
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_26.wav,Wakawaangamiza kabisa; hakusazwa hata mmoja aliyevuta pumzi; kisha akauteketeza Hazori kwa moto.
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_27.wav,
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_28.wav,
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_29.wav,Vile vile kama huyo Musa mtumishi wa Bwana alivyomwamuru.
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_30.wav,Lakini katika habari ya miji hiyo iliyosimama katika vilima vyao.
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_31.wav,
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_32.wav,
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_33.wav,Wana wa Israeli walitwaa kuwa nyara zao wenyewe.
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_34.wav,
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_35.wav,Wala hawakumsaza mmoja mwenye kuvuta pumzi.
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_36.wav,Vile vile kama Bwana alivyomwamuru Musa mtumishi wake.
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_37.wav,Ndivyo Musa alivyomwamuru Yoshua; naye Yoshua akafanya vivyo.
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_38.wav,Hakukosa kufanya neno lo lote katika hayo yote Bwana aliyomwamuru Musa.
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_39.wav,
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_40.wav,
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_41.wav,
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_42.wav,
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_43.wav,Mpaka Baal-gadi katika bonde la Lebanoni chini ya kilima cha Hermoni.
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_44.wav,
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_45.wav,Yoshua akapiga vita siku nyingi na wafalme hao wote.
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_46.wav,Haukuwapo mji hata mmoja uliofanya amani na wana wa Israeli.
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_47.wav,Isipokuwa ni wale Wahivi wenye kukaa Gibeoni; wakaitwaa yote vitani.
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_48.wav,Kwa kuwa lilikuwa ni la Bwana kuifanya mioyo yao kuwa migumu.
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_49.wav,
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_50.wav,
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_51.wav,Wakati huo Yoshua akaenda na kuwakatilia mbali hao Waanaki watoke nchi ya vilima.
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_52.wav,
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_53.wav,Na kutoka katika nchi yote ya vilima vilima ya Yuda.
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_54.wav,Na kutoka katika nchi yote ya vilima vilima ya Israeli.
|
|
|
200629-122626_swa_5a1_elicit_55.wav,Yoshua akawaangamiza kabisa na miji yao.
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_0.wav,Na watu wote wenye kuikaa nchi ya vilima kutoka Lebanoni hata Misrefoth-maimu.
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_1.wav,
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_2.wav,
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_3.wav,
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_4.wav,Na nusu ya kabila ya Manase.
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_5.wav,
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_6.wav,
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_7.wav,Vile vile kama huyo Musa mtumishi wa Bwana alivyowapa; kutoka huko Aroeri.
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_8.wav,
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_9.wav,Na nchi tambarare yote ya Medeba mpaka Diboni.
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_10.wav,
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_11.wav,Hata mpaka wa wana wa Amoni; na Gileadi na mpaka wa Wageshuri.
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_12.wav,
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_13.wav,Ufalme wote wa Ogu uliokuwa katika Bashani.
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_14.wav,Huyo aliyekuwa akitawala katika Ashtarothi na katika Edrei.
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_15.wav,Huyo alisalia katika mabaki ya wale Warefai; kwa kuwa Musa aliwapiga hao na kuwafukuza.
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_16.wav,
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_17.wav,
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_18.wav,Lakini hakuwapa watu wa kabila ya Lawi urithi uwao wote.
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_19.wav,
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_20.wav,
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_21.wav,Musa akawapa kabila ya wana wa Reubeni kwa kadiri ya jamaa zao.
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_22.wav,
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_23.wav,
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_24.wav,Na Heshboni na miji yake yote iliyoko katika bonde; na Diboni.
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_25.wav,
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_26.wav,
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_27.wav,
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_28.wav,
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_29.wav,
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_30.wav,
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_31.wav,Waliokuwa katika nchi hiyo.
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_32.wav,
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_33.wav,Wana wa Israeli walimwua kwa upanga kati ya hao wengine waliowaua.
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_34.wav,
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_35.wav,
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_36.wav,
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_37.wav,
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_38.wav,
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_39.wav,
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_40.wav,Tena kutoka Mahanaimu hata mpaka wa Debiri.
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_41.wav,
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_42.wav,Hiyo iliyosalia ya ufalme wa Sihoni mfalme wa Heshboni.
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_43.wav,Yaani mto wa Yordani na mpaka wake.
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_44.wav,Mpaka mwisho wa bahari ya Kinerethi ng'ambo ya pili ya Yordani upande wa mashariki.
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_45.wav,"Huo ndio urithi wa wana wa Gadi sawasawa na jamaa zao, miji yake na vijiji vyake."
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_46.wav,Kisha Musa akawapa hao wa nusu ya kabila ya Manase urithi wao.
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_47.wav,Ulikuwa ni wa hiyo nusu ya kabila ya wana wa Manase sawasawa na jamaa zao.
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_48.wav,"Na mpaka wao ulikuwa kutoka huko Mahanaimu, Bashani yote."
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_49.wav,"Na ufalme wote wa Ogu mfalme wa Bashani, na miji yote ya Yairi."
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_50.wav,"Iliyo katika Bashani, miji sitini; na nusu ya Gileadi, na Ashtarothi, na Edrei."
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_51.wav,"Hiyo miji ya ufalme wa Ogu katika Bashani, ilikuwa ni ya wana wa Makiri mwana wa Manase maana."
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_52.wav,Kwa hiyo nusu ya wana wa Makiri sawasawa na jamaa zao.
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_53.wav,Hizi ndizo mirathi ambazo Musa alizigawanya katika nchi tambarare za Moabu.
|
|
|
200629-133324_swa_5a1_elicit_54.wav,"Ng'ambo ya pili ya Yordani, kukabili Yeriko, upande wa mashariki. |
|
|
|
|
|
Yeye Bwana, Mungu wa Israeli, ndiye urithi wao, kama alivyowaambia. |
|
|
|
|
|
Ambazo Eleazari kuhani, na Yoshua mwana wa Nuni. |
|
|
Na vichwa vya nyumba za mababa wa kabila za Israeli, waliwagawanyia. |
|
|
Kwa kuandama hiyo kura ya urithi wao, vile vile kama Bwana alivyoamuru kwa mkono wa Musa. |
|
|
Kwa ajili ya hizo kabila kenda, na hiyo nusu ya kabila. |
|
|
|
|
|
|
|
|
Kwa kuwa wana wa Yusufu walikuwa kabila mbili, Manase na Efraimu. |
|
|
Nao hawakuwapa Walawi sehemu katika hiyo nchi, isipokuwa waliwapa miji wapate kuikaa. |
|
|
Pamoja na viunga vyake kwa ajili ya wanyama wao wa mifugo, na kwa ajili ya riziki zao. |
|
|
Vile vile kama Bwana alivyomwamuru Musa, hao wana wa Israeli walifanya vivyo. |
|
|
|
|
|
|
|
|
Na Kalebu, mwana wa Yefune, huyo Mkenizi, akamwambia. |
|
|
Wewe wajua hilo neno Bwana alilomwambia Musa, huyo mtu wa Mung. |
|
|
Katika habari zangu, na katika habari zako wewe, tulipokuwa katika Kadesh-barnea. |
|
|
|
|
|
|
|
|
Nami nilimletea habari tena, kama ilivyokuwa ndani ya moyo wangu. |
|
|
|
|
|
Ila mimi nilimfuata Bwana, Mungu wangu, kwa utimilifu. |
|
|
Kisha Musa akaniapia siku hiyo, akasema. |
|
|
|
|
|
Na kwa watoto wako milele, kwa sababu wewe umemfuata Bwana, Mungu wako, kwa utimilifu. |
|
|
Sasa basi, angalia, yeye Bwana ameniweka hai, kama alivyosema. |
|
|
Miaka hii arobaini na mitano, tangu wakati huo Bwana alipomwambia Musa neno hilo. |
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Kama nguvu zangu zilivyokuwa wakati huo, na nguvu zangu ndivyo zilivyo sasa. |
|
|
|
|
|
Basi sasa unipe mlima huu, ambao Bwana alinena habari zake siku hiyo. |
|
|
|
|
|
|
|
|
Nami nitawafukuza watoke nje, kama Bwana alivyonena. |
|
|
Yoshua akambarikia, akampa Kalebu, huyo mwana wa Yefune, Hebroni kuwa urithi wake. |
|
|
Kwa hiyo Hebroni ukawa urithi wa Kalebu, mwana wa Yefune, Mkenizi, hata leo. |
|
|
Kwa sababu alimwandama Bwana, Mungu wa Israeli, kwa utimilifu. |
|
|
|
|
|
|
|
|
Hiyo nchi nayo ikatulia, vita vikakoma. |
|
|
|
|
|
Ilikuwa kufikilia hata mpaka wa Edomu, hata bara ya Sini upande wa kusini. |
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Kisha ukaendelea hata Sini, kisha ukaenda upande wa kusini wa Kadesh-barnea. |
|
|
Kisha ukaendelea karibu na Hesroni, kisha ukafikilia Adari, na kuzunguka kwendea Karka. |
|
|
Kisha ukaendelea hata Azmoni, na kutokea hapo penye kijito cha Misri. |
|
|
|
|
|
Na mpaka wa upande wa mashariki ulikuwa Bahari ya Chumvi, hata mwisho wa mto wa Yordani. |
|
|
|
|
|
|
|
|
Na huo mpaka ukaendelea hata Beth-hogla, kisha ukaendelea upande wa kaskazini wa Beth-araba. |
|
|
|
|
|
|
|
|
Vivyo ukaendelea upande wa kaskazini, kwa kuelekea Gilgali. |
|
|
Iliyo mkabala wa kukwelea kwenda Adumimu, ulio upande wa kusini wa mto. |
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Kisha ukatelemkia Beth-shemeshi, na kwendelea karibu na Timna. |
|
|
|
|
|
Tena mpaka ulipigwa hata Shikroni, na kwendelea hata kilima cha Baala. |
|
|
|
|
|
Na mpaka wa upande wa magharibi ulifikilia hata bahari kubwa, na mpaka wake. |
|
|
|
|
|
|
|
|
Kama Bwana alivyomwamuru Yoshua, maana ni Kiriath-arba. |
|
|
|
|
|
|
|
|
Nao ni Sheshai, na Ahimani, na Talmai, wana wa Anaki. |
|
|
|
|
|
|
|
|
Kalebu akasema, Yeye atakayeupiga Kiriath-seferi na kuutwaa. |
|
|
|
|
|
Naye Othnieli mwana wa Kenazi, nduguye Kalebu, aliutwaa; basi akampa Aksa binti yake awe mkewe. |
|
|
Kisha ikawa, hapo huyo mwanamke alipokwenda kwa mumewe, akamtaka aombe shamba kwa baba yake. |
|
|
Akashuka katika punda wake; Kalebu akamwuliza, Wataka nini? |
|
|
Huyo mwanamke akasema, Nipe baraka; kwa kuwa umeniweka katika nchi ya kusini. |
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Mpaka wa Edomu katika nchi ya Negebu ilikuwa ni Kabseeli, na Ederi, na Yaguri. |
|
|
Na Kina, na Dimona, na Adada. |
|
|
Na Kedeshi, na Hazori, na Ithnani, na Zifu, na Telemu, na Bealothi. |
|
|
Na Hazor-hadata, na Kerioth-hezroni (ndio Hazori);na Amamu, na Shema, na Molada. |
|
|
Na Hasar-gada, na Heshmoni, na Bethpeleti; na Hasarshuali, na Beer-sheba, na Biziothia. |
|
|
Na Baala, na Iyimu, na Esemu; na Eltoladi, na Kesili, na Horma. |
|
|
Na Siklagi, na Madmana, na Sansana; na Lebaothi, na Shilhimu, na Aini, na Rimoni. |
|
|
Miji hiyo yote ni miji ishirini na kenda, pamoja na vijiji vyake. |
|
|
Katika nchi ya Shefela, Eshtaoli, na Sora, na Ashna, na Zanoa, na Enganimu. |
|
|
Na Tapua, na Enamu; na Yarmuthi, na Adulamu, na Soko, na Azeka. |
|
|
Na Shaarimu, na Adithaimu, na Gedera, na Gederothaimu miji kumi na minne, pamoja na vijiji vyake. |
|
|
Senani, na Hadasha, na Migdal-gadi; na Dilani, na Mispe, na Yoktheeli. |
|
|
Na Lakishi, na Boskathi, na Egloni; na Kaboni, na Lamasi, na Kithilishi. |
|
|
Na Gederothi, na Beth-dagoni, na Naama, na Makeda; miji kumi na sita, pamoja na vijiji vyake. |
|
|
Libna, na Etheri, na Ashani; na Yifta, na Ashna, na Nesibu. |
|
|
Na Keila, na Akizibu, na Maresha; miji kenda, pamoja na vijiji vyake. |
|
|
Ekroni, pamoja na miji yake na vijiji vyake. |
|
|
Kutoka huko Ekroni mpaka baharini, yote iliyokuwa upande wa Ashdodi, pamoja na vijiji vyake. |
|
|
Ashdodi, na miji yake na vijiji vyake; na Gaza, na miji yake na vijiji vyake. |
|
|
Mpaka kijito cha Misri, na bahari kubwa, na mpaka wake. |
|
|
Na katika nchi ya vilima, Shamiri, na Yatiri, na Soko. |
|
|
Na Dana, na Kiriath-sana (ambao ni Debiri); na Anabu, na Eshtemoa, na Animu. |
|
|
Na Gosheni, na Holoni, na Gilo; miji kumi na mmoja, pamoja na vijiji vyake. |
|
|
Arabu, na Duma, na Eshani; na Yanumu, na Beth-tapua, na Afeka. |
|
|
Na Humta, na Kiriath-arba (ndio Hebroni), na Siori; miji kenda, pamoja na vijiji vyake. |
|
|
Maoni, na Karmeli, na Zifu, na Yuta; na Yezreeli, na Yokdeamu, na Zanoa. |
|
|
Na Kaini, na Gibea, na Timna; miji kumi, pamoja na vijiji vyake. |
|
|
Halhuli, na Bethsuri, na Gedori; na Maarathi, na Bethanothi, Eltekoni. |
|
|
Miji sita, pamoja na vijiji vyake. |
|
|
Kiriath-baali (ndio Kiriath-yearimu), na Raba; miji miwili, pamoja vijiji vyake. |
|
|
Huko nyikani, Betharaba, na Midini, na Sekaka; na Nibshani. |
|
|
Na huo Mji wa Chumvi, na Engedi; miji sita, pamoja na vijiji vyake. |
|
|
Tena katika habari ya Wayebusi, hao wenye kukaa Yerusalemu. |
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Hapo penye maji ya Yeriko upande wa mashariki, maana, ni hiyo nyika. |
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Hata mpaka wa Beth-horoni ya chini, hata kufikilia Gezeri. |
|
|
|
|
|
Na wana wa Yusufu, Manase na Efraimu, walitwaa urithi wao. |
|
|
|
|
|
Mpaka na urithi wao upande wa mashariki ulikuwa ni Ataroth-adari, hata Beth-horoni wa juu. |
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Na Naara, kisha ukafikilia Yeriko, na kutokea hapo penye mto wa Yordani. |
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Katikati ya urithi wa hao wana wa Manase, miji yote pamoja na vijiji vyake. |
|
|
|
|
|
Lakini hao Wakanaani waliketi kati ya Efraimu, hata hivi leo, wakawa watumishi wa kufanya kazi za shokoa. |
|
|
|
|
|
Maana, yeye alikuwa ni mzaliwa wa kwanza, wa Yusufu. Katika habari za Makiri. |
|
|
Mzaliwa wa kwanza wa Manase, babaye Gileadi. |
|
|
Kwa sababu alikuwa mtu wa vita, basi alikuwa na Gileadi na Bashani. |
|
|
|
|
|
Kwa wana wa Abiezeri, na kwa wana wa Heleki, na kwa wana wa Asrieli. |
|
|
Na kwa wana wa Shekemu, na kwa wana wa Heferi, na kwa wana wa Shemida. |
|
|
Hao ndio wana waume wa Manase, mwana wa Yusufu, kwa kuandama jamaa zao. |
|
|
Lakini Selofehadi, mwana wa Heferi, mwana wa Gileadi, mwana wa Makiri. |
|
|
Mwana wa Manase, hakuwa na wana waume ila binti. |
|
|
Na majina ya hao binti zake walikuwa wakiitwa Mala, na Noa, na Hogla, na Milka, na Tirsa. |
|
|
Nao wakakaribia mbele ya Eleazari, kuhani, na mbele ya Yoshua, mwana wa Nuni. |
|
|
Na mbele ya mashehe, wakasema, Bwana alimwamuru Musa kutupa sisi urithi kati ya ndugu zetu. |
|
|
|
|
|
|
|
|
Mbali na nchi ya Gileadi na Bashani, iliyo ng'ambo ya Yordani."
|
|
|
200630-102320_swa_5a1_elicit_33.wav,Kwa sababu hao binti za Manase walikuwa na urithi katika wanawe waume.
|
|
|
200630-102320_swa_5a1_elicit_34.wav,Na nchi ya Gileadi ilikuwa ni mali ya hao wana waume wa Manase waliosalia.
|
|
|
200630-102320_swa_5a1_elicit_35.wav,"Mpaka wa Manase ulikuwa kutoka Asheri hata Mikmeta, ulioelekea Shekemu."
|
|
|
200630-102320_swa_5a1_elicit_36.wav,"Tena mpaka ukaendelea upande wa kuume, hata kuwafikilia wenyeji wa Entapua."
|
|
|
200630-102320_swa_5a1_elicit_37.wav,Hiyo nchi ya Tapua ilikuwa ni mali ya Manase.
|
|
|
200630-102320_swa_5a1_elicit_38.wav,Lakini ule mji wa Tapua uliokuwa katika mpaka wa Manase ulikuwa ni mali ya wana wa Efraimu.
|
|
|
200630-102320_swa_5a1_elicit_39.wav,"Tena mpaka ulitelemkia mpaka kijito cha Kana, upande wa kusini wa hicho kijito."
|
|
|
200630-102320_swa_5a1_elicit_40.wav,Miji hiyo ilikuwa ya Efraimu kati ya miji ya Manase.
|
|
|
200630-102320_swa_5a1_elicit_41.wav,Na mpaka wa Manase ulikuwa upande wa kaskazini wa hicho kijito.
|
|
|
200630-102320_swa_5a1_elicit_42.wav,Na matokeo yake yalikuwa baharini; upande wa kusini ilikuwa ni mali ya Efraimu.
|
|
|
200630-102320_swa_5a1_elicit_43.wav,"Na upande wa kaskazini ilikuwa ni mali ya Manase, na bahari ilikuwa mpaka wake."
|
|
|
200630-102320_swa_5a1_elicit_44.wav,"Nao wakafikilia hata Asheri upande wa kaskazini, na kufikilia hata Isakari upande wa mashariki."
|
|
|
200630-102320_swa_5a1_elicit_45.wav,"Tena Manase alikuwa na miji katika Isakari na katika Asheri, nayo ni hii."
|
|
|
200630-102320_swa_5a1_elicit_46.wav,"Bethsheani na vijiji vyake, na Ibleamu na miji yake, na wenyeji wa Dori na miji yake."
|
|
|
200630-102320_swa_5a1_elicit_47.wav,"Na wenyeji wa Endori na miji yake, na wenyeji wa Taanaki na miji yake."
|
|
|
200630-102320_swa_5a1_elicit_48.wav,"Na wenyeji wa Megido na miji yake, hata mahali patatu palipoinuka."
|
|
|
200630-102320_swa_5a1_elicit_49.wav,Lakini wana wa Manase hawakuweza kuwafukuza wenyeji wa miji hiyo.
|
|
|
200630-102320_swa_5a1_elicit_50.wav,Bali hao Wakanaani walijikaza ili wakae katika nchi hiyo.
|
|
|
200630-102320_swa_5a1_elicit_51.wav,"Kisha ikawa, hapo hao wana wa Israeli walipokuwa wamepata nguvu zaidi."
|
|
|
200630-102320_swa_5a1_elicit_52.wav,"Ndipo wakawatenza nguvu hao Wakanaani wafanye kazi ya shokoa, wala hawakuwafukuza kabisa."
|
|
|
200630-102320_swa_5a1_elicit_53.wav,"Kisha wana wa Yusufu wakanena na Yoshua, wakasema."
|
|
|
200630-102320_swa_5a1_elicit_54.wav,Kwa nini umenipa mimi kura moja tu na fungu moja kuwa ni urithi wangu.
|
|
|
200630-102320_swa_5a1_elicit_55.wav,"Kwa kuwa mimi ni taifa kubwa la watu, kwa sababu Bwana amenibarikia hata hivi sasa?"
|
|
|
200630-102320_swa_5a1_elicit_56.wav,"Yoshua akawaambia, Kwamba wewe u taifa kubwa la watu, haya, kwea uende mwituni."
|
|
|
200630-102320_swa_5a1_elicit_57.wav,Ujikatie mahali hapo kwa ajili ya nafsi yako katika nchi ya Waperizi.
|
|
|
200630-102320_swa_5a1_elicit_58.wav,"Na ya hao Warefai; ikiwa hiyo nchi ya vilima ya Efraimu ni nyembamba, haikutoshi."
|
|
|
200630-102320_swa_5a1_elicit_59.wav,"Wana wa Yusufu wakasema, Hiyo nchi ya vilima haitutoshi sisi."
|
|
|
200630-102320_swa_5a1_elicit_60.wav,Lakini Wakanaani wote wakaao katika nchi ya bondeni wana magari ya chuma.
|
|
|
200630-102320_swa_5a1_elicit_61.wav,"Nao walio katika Bethsheani na miji yake, na hao walio katika bonde la Yezreeli pia."
|
|
|
200630-102320_swa_5a1_elicit_62.wav,"Kisha Yoshua alinena na nyumba ya Yusufu, maana, ni Efraimu na Manase."
|
|
|
200630-102320_swa_5a1_elicit_63.wav,"Akawaambia, Wewe u taifa kubwa la watu, nawe una uwezo mwingi; hutapata kura moja tu."
|
|
|
200630-102320_swa_5a1_elicit_64.wav,"Lakini hiyo nchi ya vilima itakuwa ni yako; maana, ijapokuwa ni mwitu."
|
|
|
200630-102320_swa_5a1_elicit_65.wav,"Wewe utaukata, na matokeo yake yatakuwa ni yako."
|
|
|
200630-102320_swa_5a1_elicit_66.wav,"Kwa kuwa wewe utawafukuza hao Wakanaani, wajapokuwa wana magari ya chuma."
|
|
|
200630-102320_swa_5a1_elicit_67.wav,Wajapokuwa ni wenye uwezo.
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_0.wav,Kisha mkutano mzima wa wana wa Israeli walikutana pamoja hapo Shilo.
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_1.wav,Wakasimamisha hema ya kukutania kuko; nayo nchi ilikuwa imeshindwa mbele zao.
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_2.wav,Zilisalia katika wana wa Israeli kabila saba ambazo hazijagawanyiwa bado urithi wao.
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_3.wav,"Yoshua akawauliza wana wa Israeli, akasema."
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_4.wav,Je! Hata lini mtakuwa walegevu katika kuingia kwenu na kuimiliki hiyo nchi.
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_5.wav,"Ambayo yeye Bwana, Mungu wa baba zenu, amewapa?"
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_6.wav,"Haya, jichagulieni watu watatu kwa ajili ya kila kabila."
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_7.wav,"Nami nitawatuma, nao watainuka waende kati ya hiyo nchi."
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_8.wav,Na kuiandika kama urithi wao ulivyo; kisha watanijilia mimi.
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_9.wav,Watu hao wataigawanya nchi iwe mafungu saba.
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_10.wav,Yuda atakaa katika mpaka wake huko upande wa kusini.
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_11.wav,Na nyumba ya Yusufu watakaa katika mpaka wao upande wa kaskazini.
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_12.wav,"Nanyi mtaiandika nchi iwe mafungu saba, kisha hayo maandiko yake mtaniletea mimi hapa."
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_13.wav,"Nami nitawapigia kura hapa mbele ya Bwana, Mungu wetu."
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_14.wav,Kwa maana Walawi hawana fungu kati yenu; Kwa kuwa huo ukuhani wa Bwana ndio urithi wao.
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_15.wav,"Tena Gadi, na Reubeni, na hiyo nusu ya kabila ya Manase."
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_16.wav,Wamekwisha pata urithi wao ng'ambo ya pili ya Yordani upande wa mashariki.
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_17.wav,
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_18.wav,Basi watu hao wakainuka wakaenda.
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_19.wav,Kisha Yoshua aliwaagiza wale waliokwenda kuiandika nchi.
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_20.wav,
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_21.wav,
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_22.wav,
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_23.wav,
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_24.wav,
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_25.wav,Kisha Yoshua akapiga kura kwa ajili yao hapo mbele za Bwana katika Shilo.
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_26.wav,Huko Yoshua akawagawanyia wana wa Israeli hiyo nchi sawasawa na mafungu yao.
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_27.wav,Kisha ilizuka kura ya kabila ya wana wa Benyamini kwa kuandama jamaa zao.
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_28.wav,Na mpaka wa hiyo kura yao ukatokea kati ya wana wa Yuda na wana wa Yusufu.
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_29.wav,Mpaka wao upande wa kaskazini ulikuwa kutoka mto wa Yordani.
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_30.wav,Kisha mpaka ukaendelea kufikilia ubavuni mwa mji wa Yeriko upande wa kaskazini.
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_31.wav,Kisha ukaendelea kati ya nchi ya vilima kwa kuelekea upande wa magharibi.
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_32.wav,Na matokeo yake yalikuwa hapo penye nyika ya Bethaveni.
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_33.wav,Kisha mpaka ukaendelea kutoka hapo na kufikilia mji wa Luzu.
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_34.wav,
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_35.wav,
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_36.wav,Kisha mpaka uliendelea na kuzunguka upande wa magharibi wa kuelekea kusini.
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_37.wav,Kutoka huo mlima ulio mkabala wa Beth-horoni upande wa kusini.
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_38.wav,Na matokeo yake yalikuwa hapo Kiriath-baali (ndio Kiriath-yearimu).
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_39.wav,Ni mji wa wana wa Yuda; huo ndio upande wa magharibi.
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_40.wav,Na upande wa kusini ulikuwa ukitoka upande wa mwisho wa Kiriath-yearimu.
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_41.wav,
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_42.wav,Kisha mpaka ulitelemka hata mwisho wa mlima ulio pale mkabala wa bonde la mwana wa Hinomu.
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_43.wav,
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_44.wav,
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_45.wav,
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_46.wav,
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_47.wav,Ambao ni mkabala wa makweleo ya Adumimu.
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_48.wav,Kisha ulitelemka hata jiwe la Bohani mwana wa Reubeni.
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_49.wav,
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_50.wav,Nao ukatelemka hata hiyo Araba.
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_51.wav,Kisha mpaka ukaendelea mbele ubavuni mwa Beth-hogla upande wa kaskazini.
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_52.wav,Na matokeo ya mpaka yalikuwa katika ile hori ya kaskazini ya Bahari ya Chumvi.
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_53.wav,Mwisho wa kusini wa mto wa Yordani; huo ndio mpaka wa upande wa kusini.
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_54.wav,Na mto wa Yordani ulikuwa ndio mpaka wake upande wa mashariki.
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_55.wav,
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_56.wav,Sawasawa na jamaa zao.
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_57.wav,Basi miji ya kabila ya wana wa Benyamini kwa kuandama jamaa zao ilikuwa ni Yeriko.
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_58.wav,
|
|
|
200630-115234_swa_5a1_elicit_59.wav,
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_0.wav,
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_1.wav,
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_2.wav,
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_3.wav,
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_4.wav,Huo ndio urithi wa wana wa Benyamini kwa kuandama jamaa zao.
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_5.wav,
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_6.wav,
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_7.wav,Na urithi wao ulikuwa katikati ya urithi wa wana wa Yuda.
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_8.wav,
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_9.wav,
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_10.wav,
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_11.wav,
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_12.wav,
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_13.wav,Tena vijiji vyote vilivyozunguka miji hiyo kote kote mpaka Baalath-beeri.
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_14.wav,Rama wa Kusini. Huo ndio urithi wa kabila ya wana wa Simeoni kwa kuandama jamaa zao.
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_15.wav,Huo urithi wa hao wana wa Simeoni ulitoka katika fungu la wana wa Yuda.
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_16.wav,Kwa maana hilo fungu la wana wa Yuda lilikuwa ni kubwa mno kwao.
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_17.wav,Kwa hiyo wana wa Simeoni walikuwa na urithi katikati ya urithi wao.
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_18.wav,Kisha kura ya tatu ilitokea kwa ajili ya wana wa Zabuloni kwa kuandama jamaa zao.
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_19.wav,Na mpaka wa urithi wao ulifikilia hata Saridi.
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_20.wav,
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_21.wav,Nao ukafikilia hata Dabeshethi; nao ukafikilia kijito cha maji kilicho mkabala wa Yokneamu.
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_22.wav,Kisha ukazunguka kutoka Saridi kwendelea upande wa mashariki.
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_23.wav,Kwa kuelekea maawio ya jua hata kufikilia mpaka wa Kisiloth-ubori.
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_24.wav,
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_25.wav,Kutoka hapo ukaendelea kuelekea mashariki mpaka Gath-heferi.
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_26.wav,Hata kufikilia Ethkasini; kisha ukatokea huko Rimoni ufikiliao hata Nea.
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_27.wav,Kisha mpaka uliizunguka nchi hiyo kwa upande wa kaskazini hata Hanathoni.
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_28.wav,
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_29.wav,
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_30.wav,Huu ndio urithi wa wana wa Zabuloni kwa kuandama jamaa zao; miji hii pamoja na vijiji vyake.
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_31.wav,Kisha kura ya nne ilitokea kwa ajili ya Isakari.
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_32.wav,
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_33.wav,
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_34.wav,
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_35.wav,
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_36.wav,
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_37.wav,Na matokeo ya mpaka wao yalikuwa katika mto wa Yordani.
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_38.wav,
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_39.wav,Huu ndio urithi wa kabila ya wana wa Isakari kwa kuandama jamaa zao.
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_40.wav,Miji hiyo pamoja na vijiji vyake.
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_41.wav,Kisha kura ya tano ilitokea kwa ajili ya kabila ya wana wa Asheri kwa kuandama jamaa zao.
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_42.wav,
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_43.wav,
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_44.wav,Tena ulifikilia hata Shihor-libnathi.
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_45.wav,Kisha ukazunguka kuelekea maawio ya jua mpaka Beth-dagoni.
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_46.wav,
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_47.wav,Hata Bethemeki na Neyeli; kisha ukatokea hata Kabuli upande wa kushoto.
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_48.wav,
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_49.wav,
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_50.wav,Kisha mpaka ulizunguka kuelekea Hosa.
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_51.wav,Na matokeo yake yalikuwa baharini katika nchi ya Akzibu.
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_52.wav,
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_53.wav,Huu ndio urithi wa kabila ya wana wa Asheri kwa kuandama jamaa zao.
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_54.wav,Miji hii pamoja na vijiji vyake.
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_55.wav,Kisha kura ya sita ikatokea kwa ajili ya wana wa Naftali.
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_56.wav,
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_57.wav,
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_58.wav,
|
|
|
200630-120452_swa_5a1_elicit_59.wav,Na matokeo yake yalikuwa katika mto wa Yordani.
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_0.wav,Tena mpaka ulizunguka kwendelea upande wa magharibi hata Aznoth-tabori.
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_1.wav,Tena kutoka hapo ukaendelea mpaka Hukoki; kisha ukafikilia hata Zabuloni upande wa kusini.
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_2.wav,Tena ulifikilia hata Asheri upande wa magharibi.
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_3.wav,Tena ulifikilia hata Yuda hapo katika mto wa Yordani kwa upande wa kuelekea maawio ya jua.
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_4.wav,
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_5.wav,
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_6.wav,
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_7.wav,
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_8.wav,Huu ndio urithi wa kabila ya wana wa Naftali kwa kuandama jamaa zao.
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_9.wav,Miji hiyo pamoja na vijiji vyake.
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_10.wav,Kisha kura ya saba ilitokea kwa ajili ya kabila ya wana wa Dani kwa kuandama jamaa zao.
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_11.wav,
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_12.wav,
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_13.wav,
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_14.wav,
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_15.wav,Kisha mpaka wa wana wa Dani ulitokea kuwapita wao.
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_16.wav,Kwa kuwa hao wana wa Dani wakakwea na kupigana na Leshemu.
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_17.wav,
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_18.wav,
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_19.wav,Huu ndio urithi wa kabila ya wana wa Dani kwa kuandama jamaa zao.
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_20.wav,Miji hii pamoja na vijiji vyake.
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_21.wav,Basi wakamaliza hiyo kazi yao ya kuigawanya nchi iwe urithi kwa kuandama mipaka yake.
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_22.wav,
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_23.wav,Sawasawa na ile amri ya Bwana wakampa mji alioutaka.
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_24.wav,
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_25.wav,
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_26.wav,Pamoja na hao vichwa vya nyumba za mababa ya kabila za wana wa Israeli.
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_27.wav,
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_28.wav,
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_29.wav,Basi hivyo wakamaliza kazi ya kuigawanya hiyo nchi.
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_30.wav,
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_31.wav,
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_32.wav,Ambayo niliwaambia habari zake kwa mkono wa Musa.
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_33.wav,
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_34.wav,
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_35.wav,Kumkimbia huyo ajilipizaye kisasi cha damu.
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_36.wav,Naye ataikimbilia miji hiyo mmojawapo.
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_37.wav,Naye atasimama hapo penye maingilio ya lango la huo mji.
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_38.wav,Kisha atanena neno lake masikioni mwa wazee wa mji; nao watamtia kwao ndani ya mji.
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_39.wav,
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_40.wav,Na kama huyo mwenye kujilipiza kisasi cha damu akimwandamia.
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_41.wav,Ndipo hawatamtoa huyo mwuaji kumtia mkononi mwake huyo.
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_42.wav,
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_43.wav,
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_44.wav,Hata kifo chake kuhani mkuu mwenye kuwapo siku hizo.
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_45.wav,
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_46.wav,
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_47.wav,Nao wakaweka Kedeshi katika Galilaya katika nchi ya vilima ya Naftali.
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_48.wav,Na Shekemu katika nchi ya vilima ya Efraimu.
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_49.wav,Na Kiriath-arba (ndio Hebroni) katika nchi ya vilima ya Yuda.
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_50.wav,Tena ng'ambo ya pili ya Yordani pande za Yeriko.
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_51.wav,Upande wa kuelekea mashariki wakaweka Bezeri ulioko nyikani.
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_52.wav,Katika nchi tambarare ya kabila ya Reubeni.
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_53.wav,Na Ramothi katika Gileadi katika kabila ya Gadi.
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_54.wav,Na Golani katika Bashani katika kabila ya Manase.
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_55.wav,Miji hiyo ndiyo miji iliyoamriwa kwa ajili ya wana wa Israeli wote.
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_56.wav,Na kwa ajili ya mgeni akaaye kati yao ugenini.
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_57.wav,Ili kwamba mtu awaye yote atakayemwua mtu pasipo kukusudia apate kimbilia huko.
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_58.wav,Asife kwa mkono wa mwenye kujilipiza kisasi cha damu.
|
|
|
200630-121614_swa_5a1_elicit_59.wav,Hata hapo atakapokuwa amekwisha simama mbele ya mkutano.
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_0.wav,"Na Dimna pamoja na malisho yake, na Nahalali pamoja na malisho yake; miji minne."
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_1.wav,"Tena katika kabila ya Reubeni, Bezeri pamoja na malisho yake."
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_2.wav,"na Yahasa pamoja na malisho yake, na Kedemothi pamoja na malisho yake."
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_3.wav,Na Mefaathi pamoja na malisho yake; miji minne.
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_4.wav,Tena katika kabila ya Gadi Ramothi katika Gileadi pamoja na malisho yake.
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_5.wav,"Huo mji wa makimbilio kwa ajili ya mwuaji, na Mahanaimu pamoja na malisho yake."
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_6.wav,"Na Heshboni pamoja na malisho yake, na Yazeri pamoja na malisho yake; jumla yake miji minne."
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_7.wav,Miji hiyo yote ilikuwa ni miji ya wana wa Merari kwa kuandama jamaa zao.
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_8.wav,Ni hizo jamaa za Walawi zilizosalia; na kura yao ilikuwa ni miji kumi na miwili.
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_9.wav,Miji yote ya Walawi iliyokuwa kati ya milki ya wana wa Israeli.
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_10.wav,"Ilikuwa ni miji arobaini na minane, pamoja na malisho yake."
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_11.wav,"Miji hiyo kila mmoja ulikuwa pamoja na malisho yake, yaliyouzunguka pande zote."
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_12.wav,Ndivyo ilivyokuwa katika miji hiyo yote.
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_13.wav,"Basi Bwana aliwapa Israeli nchi hiyo yote, ambayo aliapa kwamba atawapa baba zao."
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_14.wav,"Nao wakaimiliki, na kukaa mumo."
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_15.wav,"Kisha Bwana akawapa raha pande zote, sawasawa na hayo yote aliyokuwa amewaapia baba zao."
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_16.wav,Wala katika adui zao wote hakusimama hata mtu mmoja miongoni mwao mbele zao.
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_17.wav,Yeye Bwana akawatia adui zao wote mikononi mwao.
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_18.wav,Halikuanguka neno lo lote katika jambo lo lote lililokuwa ni jema.
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_19.wav,Ambalo Bwana alikuwa amelinena katika habari ya nyumba ya Israeli; yalitimia mambo yote.
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_20.wav,"Wakati huo Yoshua akawaita Wareubeni, na Wagadi, na hiyo nusu ya kabila ya Manase."
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_21.wav,"Naye akawaambia, Ninyi mmeyaandama hayo yote mliyoamriwa na Musa."
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_22.wav,"Mtumishi wa Bwana, nanyi mmeisikia sauti yangu katika yote niliyowaamuru mimi."
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_23.wav,Hamkuwaacha hao ndugu zenu siku hizi nyingi hata hivi leo.
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_24.wav,"Lakini mmeyashika mausia ya amri ya Bwana, Mungu wenu."
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_25.wav,"Na sasa yeye Bwana, Mungu wenu, amewapa ndugu zenu kustarehe, kama alivyowaambia."
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_26.wav,"Basi sasa rudini ninyi mwende mahemani kwenu, hata nchi ya milki yenu."
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_27.wav,"Ambayo huyo Musa, mtumishi wa Bwana, aliwapa ng'ambo ya pili ya Yordani. |
|
|
Lakini mjibidiishe sana kuzifanya amri na sheria, ambazo Musa. |
|
|
Mtumishi wa Bwana, aliwaamuru, kumpenda Bwana, Mungu wenu. |
|
|
Na kwenenda katika njia zake zote, na kuzishika amri zake. |
|
|
Na kushikamana na yeye, na kumtumikia kwa moyo wenu wote na nafsi yenu yote. |
|
|
Basi Yoshua akawabarikia, na kuwapa ruhusa waende zao; nao wakaenda mahemani kwao. |
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Zaidi ya hayo Yoshua, hapo alipowapeleka waende zao mahemani kwao, akawabarikia. |
|
|
Kisha akanena nao, na kuwaambia, Rudini na mali mengi mahemani kwenu. |
|
|
Na ng'ombe wengi sana, na fedha, na dhahabu, na shaba, na chuma, na mavao mengi sana."
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_39.wav,Mzigawanye na ndugu zenu hizo nyara za adui zenu.
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_40.wav,"Basi wana wa Reubeni, na wana wa Gadi, na hiyo nusu ya kabila ya Manase wakarudi."
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_41.wav,"Wakatoka kwa wana wa Israeli katika Shilo, ulioko nchi ya Kanaani."
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_42.wav,"Ili waende nchi ya Gileadi, hiyo nchi ya milki yao, waliyokuwa wanaimiliki."
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_43.wav,Sawasawa na amri ya Bwana kwa mkono wa Musa.
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_44.wav,"Nao walipofika pande za Yordani, zilizo katika nchi ya Kanaani."
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_45.wav,"Nao wana wa Reubeni, na wana wa Gadi, na nusu ya kabila ya Manase."
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_46.wav,"Wakajenga madhabahu huko karibu na Yordani, iliyoonekana kuwa ni madhabahu kubwa."
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_47.wav,"Wana wa Israeli walisikia ikinenwa, Tazama, wana wa Reubeni."
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_48.wav,"Na wana wa Gadi, na hiyo nusu ya kabila ya Manase."
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_49.wav,Wamejenga madhabahu huko upande wa mbele wa nchi ya Kanaani.
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_50.wav,"Katika nchi iliyo karibu na Yordani, kwa upande huo ulio milki ya wana wa Israeli."
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_51.wav,"Basi, wana wa Israeli waliposikia habari hiyo."
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_52.wav,"Mkutano wote wa wana wa Israeli wakakutanika pamoja huko Shilo, ili waende kupigana nao."
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_53.wav,Kisha wana wa Israeli wakatuma wajumbe waende kwa wana wa Reubeni.
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_54.wav,"Na wana wa Gadi, na hiyo nusu ya kabila ya Manase, hata nchi ya Gileadi."
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_55.wav,"Nao ni hawa, Finehasi mwana wa Eleazari kuhani."
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_56.wav,"Na pamoja naye wakuu kumi, mkuu mmoja wa nyumba ya mababa kwa ajili ya kila kabila ya Israeli."
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_57.wav,Nao kila mmoja alikuwa ni kichwa cha nyumba ya mababa katika maelfu ya Israeli.
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_58.wav,"Nao wakawafikilia hao wana wa Reubeni, na wana wa Gadi, na hiyo nusu ya kabila ya Manase."
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_59.wav,"Katika nchi ya Gileadi, na wakasema nao, wakinena."
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_60.wav,"Mkutano wote wa Bwana wanena, Ni kosa gani hili mlilolikosa juu ya Mungu wa Israeli."
|
|
|
200630-122906_swa_5a1_elicit_61.wav,Hata mkakengeuka hivi leo na kuacha kumwandama Bwana.
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_0.wav,"Katika kujijengea madhabahu, na kuasi hivi leo juu ya Bwana?"
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_1.wav,"Je! Ule uovu wa Peori haututoshi, ambao hamjajitakasa nafsi zenu katika huo hata hivi leo."
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_2.wav,Ijapokuwa ilikuja tauni juu ya mkutano wa Bwana.
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_3.wav,Hata ikawa hamna budi hivi leo kugeuka na kuacha kumwandama Bwana?
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_4.wav,"Kisha itakuwa, kwa kuwa ninyi mwamwasi Bwana hivi leo."
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_5.wav,Kwamba kesho yeye atakasirika na mkutano wote wa Israeli.
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_6.wav,Basi kwamba hiyo nchi ya milki yenu si tohara.
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_7.wav,Ndipo ninyi vukeni na kuingia nchi ya milki yake Bwana.
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_8.wav,"Ambayo maskani ya Bwana inakaa ndani yake, nanyi twaeni milki kati yetu."
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_9.wav,"Lakini msimwasi Bwana, wala msituasi sisi."
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_10.wav,"Kwa kujijengea madhabahu zaidi ya hiyo madhabahu ya Bwana, Mungu wetu."
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_11.wav,Je! Huyo Akani mwana wa Zera hakukosa katika vile vitu vilivyowekwa wakfu.
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_12.wav,Na hasira ikauangukia mkutano wote wa Israeli?
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_13.wav,Kisha mtu huyo hakuangamia peke yake katika uovu wake?
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_14.wav,"Ndipo hapo wana wa Reubeni, na wana wa Gadi, na hiyo nusu ya kabila ya Manase."
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_15.wav,"Wakajibu, na kuwaambia hao waliokuwa ni vichwa vya maelfu ya Israeli, wakasema."
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_16.wav,"Mungu, Mungu Bwana, naam, Mungu, Mungu Bwana, yeye yuajua, na Israeli naye atajua."
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_17.wav,"Kama ni katika uasi, au kama ni katika kosa juu ya Bwana, (usituokoe hivi leo)."
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_18.wav,Sisi kujijengea madhabahu ili kukengeuka na kuacha kumwandama Bwana.
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_19.wav,"Au kama ni kusongeza juu yake sadaka ya kuteketezwa, au sadaka ya unga."
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_20.wav,Au kama ni kusongeza sadaka za amani juu yake.
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_21.wav,Yeye Bwana mwenyewe na alitake jambo hili.
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_22.wav,"Au kama sisi tumefanya jambo hili kwa hadhari sana, tena makusudi."
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_23.wav,"Huku tukisema, Katika siku zijazo wana wenu yamkini wakanena na wana wetu."
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_24.wav,"Na kusema, Ninyi mna nini na Bwana, yeye Mungu wa Israeli?"
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_25.wav,Kwa kuwa yeye Bwana ameufanya huu mto wa Yordani uwe mpaka katikati ya sisi na ninyi.
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_26.wav,"Enyi wana wa Reubeni, na wana wa Gadi, hamna fungu katika Bwana."
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_27.wav,Basi hivyo wana wenu wangewakomesha wana wetu wasimche Bwana.
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_28.wav,"Kwa ajili ya hayo tulisema, Na tufanye tayari ili kujijengea madhabahu."
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_29.wav,"Si kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa, wala kwa sadaka yo yote."
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_30.wav,"Bali itakuwa ni ushahidi kati ya sisi na ninyi, tena kati ya vizazi vyetu baada yetu."
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_31.wav,Ili kwamba tufanye huo utumishi wa Bwana mbele yake kwa njia ya sadaka zetu.
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_32.wav,"Za kuteketezwa, na kwa dhabihu zetu, na kwa sadaka zetu za amani."
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_33.wav,Ili kwamba wana wenu wasiwaambie wana wetu katika zamani zijazo.
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_34.wav,Ninyi hamna fungu katika Bwana.
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_35.wav,"Kwa hiyo tulisema, Itakuwa, hapo watakapotuambia neno kama hilo."
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_36.wav,Au kuwaambia watu wa vizazi vyetu katika zamani zijazo neno kama hilo.
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_37.wav,"Ndipo sisi tutawaambia, Angalieni huu mfano wa madhabahu ya Bwana."
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_38.wav,"Walioufanya baba zetu, si kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa."
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_39.wav,Wala kwa ajili ya dhabihu; lakini ni ushahidi kati ya sisi na ninyi.
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_40.wav,"Mungu na atuzuie msimwasi Bwana, na kukengeuka hivi leo na kuacha kumwandama Bwana."
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_41.wav,"Hata mkajenga madhabahu kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa, au sadaka za unga."
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_42.wav,"Au dhabihu, mbali na ile madhabahu ya Bwana, Mungu wetu, iliyo huko mbele ya maskani yake."
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_43.wav,"Basi Finehasi kuhani, na wakuu wa mkutano."
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_44.wav,"Maana, ni hao waliokuwa vichwa vya maelfu ya Israeli waliokuwa pamoja naye."
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_45.wav,Hapo walipoyasikia hayo maneno waliyoyasema hao wana wa Reubeni.
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_46.wav,"Na wana wa Gadi, na wana wa Manase, maneno hayo yaliwaridhia sana."
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_47.wav,"Naye Finehasi, mwana wa Eleazari, kuhani, akawaambia wana wa Reubeni."
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_48.wav,"Na wana wa Gadi, na wana wa Manase, akasema."
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_49.wav,Siku hii ya leo twajua ya kwamba Bwana yu kati yetu.
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_50.wav,Kwa sababu hamkukosa katika jambo hili mbele ya Bwana.
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_51.wav,Sasa ninyi mmewaokoa wana wa Israeli na mkono wa Bwana.
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_52.wav,"Kisha Finehasi, mwana wa Eleazari, kuhani, na hao wakuu."
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_53.wav,"Wakarudi na kuwaacha wana wa Reubeni, na wana wa Gadi."
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_54.wav,"Wakatoka katika nchi ya Gileadi, na kuingia nchi ya Kanaani."
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_55.wav,"Wakawarudia wana wa Israeli, wakawapa habari."
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_56.wav,Wana wa Israeli nao wakaliridhia jambo hilo.
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_57.wav,Nao wana wa Israeli wakamhimidi Mungu.
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_58.wav,Wala hawakusema tena habari ya kuwaendea juu yao kupigana nao.
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_59.wav,"Wala kuiharibu nchi waliyoikaa wana wa Reubeni, na wana wa Gadi."
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_60.wav,"Basi hao wana wa Reubeni, na wana wa Gadi, wakaiita madhabahu hiyo Edi."
|
|
|
200702-144301_swa_5a1_elicit_61.wav,"Wakasema, Kwa kuwa ni ushahidi kati yetu ya kwamba yeye Bwana ndiye Mungu."
|
|
|
|