Dataset Viewer
text
stringlengths 248
630k
| id
stringlengths 47
47
| metadata
dict |
---|---|---|
Nadhani sauti yake inaweza ikakuhadaa… na kudhani labda Geez ana mwili mkubwa kama Goliath. Wale ambao hawajapata nafasi ya kumuona, basi huyu ndio Geez Mabovu!
Achana na mambo ya mwili — yeye yupo kwenye harakati na sauti yake ndio kombeo (kama la Daudi) la kuangusha propaganda za Goliath.
[Underground/Real] Hip Hop haiwezi kupewa nafasi kwenye vituo vya redio, hata vipindi vya usiku? Hip Hop haiuzi? Jamii ya Tanzania haihitaji kusikia mitazamo ya emcees wa Hip Hop?
Na hoja nyingine ya Geez: Je, mashabiki mnaridhishwa na vitu vinavyoendelea? Tafadhali, tupe maoni kwa ajili ya kijenga Hip Hop ya Tanzania.
Bofya hapa kusikiliza nyimbo nyingine za Geez:
|
<urn:uuid:cdb2176e-8bd3-4327-a9fc-9061474d2970>
|
{
"date": "2013-05-24T11:50:17Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-20",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-20/segments/1368704645477/warc/CC-MAIN-20130516114405-00024-ip-10-60-113-184.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9956198334693909,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 5,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9956198334693909}",
"url": "http://cheusidawa.tv/2011/10/28/fidsyle-friday-week-12-with-geez-mabovu/"
}
|
LEO safu hii ina hadithi fupi kuhusu uhuru na kujitegemea. Ni hadithi niliyotunga kuenzi nusu karne ya uhuru wa nchi za Afrika. Hadithi hii ni ya kutunga. Lakini endapo itatokea majina ya wahusika, maeneo na matukio yakafanana na hali halisi kokote kule barani kwetu basi ninakiri kwamba itakuwa imetokea tu bila kudhamiriwa (coincidence).
Siku moja wanyama waliokuwa utumwani walipewa uhuru kutoka kwa madhalimu waliokuwa wakiwamiliki na kuwatumikisha. Siku hiyo walifurahia mno na kwa kipindi cha juma zima walifanya karamu ya kula na kunywa na kushangilia. Wote walijiona wamoja na kwamba walikuwa sawa. Baada ya sherehe za uhuru wakadhamiria kuanza safari ndefu ya kurejea nyumbani kwao ili kule wakajitawale na kujitegemea.
Ilikuwapo meli kubwa ya kutosha kuwabeba wote ili kuwarejesha ng’ambo ya bahari ambako ndiko asili yao. Ilikuwa ni safari muhimu sana ambayo kwa hakika kila mnyama aliyekuwa na akili timamu alitamani kuifanya.
Lakini siku ya safari ikafika. Likatolewa tangazo la kuwataka wanyama wote kuingia melini. Ghafla wakatimka nguruwe kwa kasi zote na kuingia melini kwanza. Na kule wakaelekea kila pahala palipoonekana nyeti. Katika chumba cha nahodha wakajaa. Kule chumba cha injini wakajaa. Katika stoo ya melini wakajaa. Katika jiko la melini wakajaa. Katika chumba cha mawasiliano ya simu wakajaa. Katika jukwaa la kupigia muziki wakajaa. Katika chumba cha mitambo ya sinema wakajaa. Na katika chumba cha madaktari wakajaa. Nguruwe nguruwe kila pahala.
Wanyama wengine wakaanza kuuliza: “inakuwaje nguruwe wamejaa maeneo yote nyeti ya meli hadi chumba cha nahodha kana kwamba wao wanajua kila kitu ikiwamo kuendesha meli?” Nguruwe wakakaa kimya. Na kila walipoulizwa jambo wao wakazidi kukomaa pale walipo. Walipoambiwa haya basi washeni meli tuanze safari, wao wakawa wanaguna tu. Ikafika wakati nguruwe wakaona kelele za wanyama wengine ni karaha na kadhia kwao.
Wakaanza kujibu mashambulizi. “Hapa hatutoki. Tunajua mna wivu sana. Na bado.” Wanyama wakatumia kila njia ya ushawishi wa maneno lakini wakakwama. Ikafika pahala madhalimu wakawasogelea na kuwauliza: “Kulikoni, mbona meli haiondoki? Au mmeghairi safari ya kurudi kwenye ukombozi wenu?”
Wanyama wale wakawashitakia nguruwe kwa madhalimu: “Mkuu si mnawaona nguruwe wamegomea katika vitengo vyote nyeti, ikiwamo chumba cha nahodha na wanyama wanaojua unahodha wameshindwa kuingia mle ndo maana tumeshindwa.” Basi madhalimu wakawashauri wanyama wale kwamba waanzishe mfumo wa kukalia maeneo nyeti kwa zamu. Na kwamba madhali nguruwe walikwishawahi vitengo, basi ilikuwa hawana budi kumalizia vipindi vyao. Na kwamba baada ya zamu ya nguruwe basi ingelikuja zamu ya wanyama wengine kama nyani au sokwe ambao walikuwa na uwezo wa kuendesha meli. Lakini amkani si shwari tena. Kumbe madhalimu wale baada ya kuona wanyama wenyewe wanahadaika mara moja wakaanza mawasiliano na nguruwe. “Nguruweee, hakikisheni mnakomaa hapo hapo hata zamu yenu ikiisha; tutawalinda.” Nao nguruwe kusikia hivyo wakafurahi kweli kweli.
Lakini kipo kitu kimoja walichokisahau nguruwe wale. Kwamba kila mnyama alikuwa na faida na umuhimu wake kutokana na kipaji chake tofauti na wengine. Ilikuwa ni suala la wanyama wote kukaa pamoja na kufanya majadiliano ili kufikia makubaliano ni mnyama gani atoe mchango gani kwa kadiri ya kipaji chake na hatimaye safari ianze na wote wasafiri kwa starehe hadi katika ng’ambo ya ukombozi wao.
Kwa kifupi tu ni kwamba walichokihitaji nguruwe wale ilikuwa ni raha binafsi; hawakujua injini inawashwaje, hawakujua meli inaendeshwaje au kuongozwaje, hawakujua chakula kinapikwaje, hawakujua muziki unapigwaje, hawakujua sinema inawashwaje, hawakujua wagonjwa wanatibiwaje, hawakujua mawasiliano ya simu melini yanafanywaje. Matokeo yake maisha yakaanza kuwa magumu kwa wanyama wote, wakiwamo nguruwe wenyewe.
Mara nguruwe wale wakaanza kuguguna chochote kilichokuwa mbele yao. Wale waliokuwa katika chumba cha rubani wakaanza kuguguna usukani. Wakaguguna vikorombwezo vya kuongozea meli. Wakaguguna makochi. Mwisho, walipomaliza kuguguna kila kitu, wakaanza kuguguna meli yenyewe.
Waliokuwa stoo wakatafuna chakula chote kule. Walipokimaliza, wakaanza kuguguna vyombo. Vilipomalizika wakaanza kuguguna ukuta wa meli. Waliokuwa jikoni wakaanza kuguguna sufuria. Wakaguguna jiko. Wakaguguna vyombo na walipomaliza; wakaanza kuguguna meli yenyewe. Waliokuwa chumba cha madaktari wakaanza kuguguna dawa. Wakaguguna vifaa vya maabara. Wakaguguna mashuka. Wakaguguna magodoro. Walipomaliza, wakaanza kuguguna ukuta wa meli.
Waliokuwa chumba cha injini wakaanza kunywa mafuta yakaisha. Wakahamia katika vikorombwezo vya injini wakaguguna wakamaliza. Wakaguguna kila kigugunika na walipovimaliza vyote, wakahamia katika ukuta wa meli.
Muda wote nguruwe walipokuwa wakiguguna kila kilichokuwa chini yao wanyama wengine walikuwa wakiwasihi kuacha kufanya hivyo ili walau zamu ya nguruwe ya kukaa katika vitengo itakapomalizika, wanyama wengine wenye ujuzi wakiingia katika vitengo husika safari ianze rasmi.
Kadiri nguruwe walivyozidi kukaa katika vitengo vile bila ujuzi uliohitajika na huku njaa ikiongezeka, sambamba na hamu ya kuguguna, ndivyo walivyozidi kuwa wakali. Matokeo yake kila mnyama aliyehoji kulikoni, nguruwe walipata kisingizio cha kumtafuna na yeye.
Matokeo yake, badala ya wanyama kuendelea kukosoa, nao taratibu wakaacha: wakawa wabeuaji. Nao wakaanza kutafuna au kuguguna kilichokuwa mbele yao. Na wanyama wakubwa kama simba wakaona sasa ipo haja ya kuwatafuna wanyama wadogo walio jirani nao. Wanyama kama nyati ikabidi watafune manyoya ya nyani wakiyafananisha na nyasi. Wanyama wengine wakajiunga na nguruwe katika kushambulia ukuta wa meli. Panya na fuko wao kwa vile walikuwa wadogo kiumbile wakaanzia kuguguna sakafu ya meli.
Wakati huo huo nguruwe wale kwa vile walikwishatengeneza matumbo makubwa sana na kwa vile walichokijua kuliko kingine chochote ni kuguguna na kugugunisha wakaanza kurejea tena kwa madhalimu kuwaomba japo vigugunio. Na kwa vile walikwishaweka nadhiri nao kwamba wataendelea kukalia vitengo, wakawa wakiwadondoshea makombo ambayo nguruwe walikula kwa kujificha.
Mara meli ile ikaanza kuegemea upande na wakati huo maji yakawa yakiingia ndani kwa wingi. Madhalimu wakaingilia kati. Dhalimu mkuu akawaambia wanyama: “Tuliwaambia katu hamuwezi kujitawala nyie. Angalieni sasa si tu kwamba mmeshindwa kuwasha meli na kusafiri zenu, mmeshindwa hata namna ya kushauriana na kutumia vipaji vyenu ili mfanikiwe katika jambo dogo tu la kuwasha meli na kuondoka hapa pwani ya utumwani.” Dhalimu mkuu akameza fundo la mate kisha akaendelea:
“Angalia kwa mfano. Nguruwe yeye uwezo wake mkubwa ni kuzalisha samadi ya kutosha kwa ajili ya kupata gesi na nishati ya kutumia katika meli, akang’ang’ania katika vitengo asivyovimudu. Mwangalie sokwe, hodari wa kuendesha meli lakini kajibanza kule kwenye deka. Haya nyani ilibidi akwee katika mlingoti wa meli kupandisha bendera lakini angepita wapi? Mwangalie sungura na masikio yake hodari kweli kwa mawasiliano ya simu lakini yule kalaliwa na nguruwe anapumua kwa taabu. Nguruwe nguruwe kila pahala.
“Mwangalie kiboko yeye bingwa wa mambo ya stoo lakini hakupata pa kupenya kabakia mguu mmoja ndani ya meli mwingine nje. Mwangalie simba; yeye ndiye bingwa wa kuwasha na kuhudumia mitambo yote ya injini lakini alishindwa kabisa kushuka kule chumba cha injini.” Mara Dhalimu mkuu akatizama juu, kisha akashusha uso wake na kuendelea:
“Mwangalie nyoka pale, yeye ni daktari bingwa wa mabingwa lakini kakosa kabisa pa kujipenyeza kwa vile nguruwe wamekwishajaa mle dispensari. Mwangalie chui, ni bingwa wa kupika na kuhakikisha kila aliye katika meli anapata chakula. Lakini yuuule kwenye deki kule. Mwangalie tembo ni kiongozi mwenye busara sana na angeliwasaidia mno katika majadiliano kufikia mwafaka lakini yeye ndo hata hiyo meli yenyewe ameshindwa kupanda. Nguruwe nguruwe kila pahala! Mmeshindwa kutumia vipaji vyenu katika uhuru na sasa tunawarejesha utumwani tukawasimamie. Sasa itabidi mteremke katika meli ile mrejee nchi kavu kwa sababu kama mnavyoona inaweza kuzama muda wowote nanyi mkiwamo.”
Ndipo wanyama wale wakalia na kusaga meno kwa sababu tu eti waliponzwa na ulafi na ubinafsi wa nguruwe. Nguruwe nguruwe kila pahala, meli yawezaje kwenda?
|
<urn:uuid:0491088e-c283-4670-b14c-4ac48dee1f20>
|
{
"date": "2013-05-24T18:42:05Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-20",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-20/segments/1368704943681/warc/CC-MAIN-20130516114903-00029-ip-10-60-113-184.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.977325439453125,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 3,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.977325439453125, \"swc_Latn_score\": 0.012405053712427616}",
"url": "http://www.raiamwema.co.tz/?q=comment/957"
}
|
MWINGIZAJI wa filamu nchini, Sajuki alidondoka jukwaani juzi wakati akijaribu kuwasalimia mashabiki wake waliofurika kumtazama kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha.
Sajuki ambaye jina lake halisi ni Juma Said Kilowoko alikuwa akisumbuliwa na matatizo ya kupungukiwa dawa na kulazimika kwenda kutibiwa nchini India.
Mwingizaji huyo alipanda jukwaani katika tamasha la lililowahusisha wasanii wa filamu na muziki, lakini ndoto yake ya kusalimia mashabiki wake hakuwezekana.
Mara baada ya kukabidhiwa kipaza sauti Sajuki alitamka neno moja ”ahhh" na kudondoka chini na wasanii wenzake walimsaidia kuinuka na kumuondoa jukwaani hapo. Akizungumza na gazeti hili muda mfupi mara baada ya kushuka jukwaani Sajuki alisema hali yangu si nzuri kwani nahishiwa nguvu na anahitaji matibabu zaidi.
”Kaka hali yangu si nzuri kabisa naumwa, sijisikii vizuri,” alisema Sajuki huku akionekana mnyonge zaidi
Hata hivyo, mashabiki wamefurika uwanjani hapo walionyeshwa kustushwa na hali hiyo na kushutumu wasanii walioamua kumtumia ili wapate fedha ihali mwenzao ni mgonjwa.
“Hawa watu wa Bongo movie ni watu wa ajabu huyu mtu anaumwa, badala ya kumwacha apumzike wenyewe wanamzungusha bila ya kujali afya yake,” walisema mashabiki hao.
|
<urn:uuid:c639079f-0283-4eec-a1a8-2915e6916242>
|
{
"date": "2013-06-19T08:51:26Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-20",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-20/segments/1368708145189/warc/CC-MAIN-20130516124225-00029-ip-10-60-113-184.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9911924600601196,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 49,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9911924600601196}",
"url": "http://mrokim.blogspot.com/2012/12/sajuki-alipoanguka-jukwaani-arusha.html"
}
|
Usistaduu, ubrazameni na mapenzi ya kichina
Mapenzi yamekuwa magumu. Ni mzigo mzito kuubeba. Yanendelea kujeruhi wengi, bado ni mateso kwa wengine. Sasa hivi, asilimia kubwa ya watu, inaamini kwamba kupata mwenzi sahihi wa maisha ni ndoto za alinacha. Ni kamari, ni bahati nasibu.
Maendeleo yamekuja na mambo leo. Kile kinachoonekana ni uzungu, kimeathiri kwa kiasi kikubwa ustaarabu wetu. Mila na desturi zetu, vimepokwa na utandawazi uliotujia. Hii inamaanisha kwamba uhusiano wa kimapenzi wa sasa, hauendani na sura ya utamaduni wetu.
Vijijini kuna unafuu japo na kwenyewe fujo zimeshaingia na mambo yameshabadilika. Mijini ndiyo matatizo yenyewe. Ulimwengu wa digitali na fursa za mitandao zinatutia wazimu. Tunataka kuiga mitindo ya maisha ya wenzetu, matokeo yake tunageuka watumwa wa mapenzi.
Hayakuletwa mapenzi ili yawaumize watu, yapo kwa ajili ya kutoa faraja ndani ya jamii. Yalivyo ni kwamba baada ya misukosuko ya kimaisha, vurugu mechi za kusaka riziki na mihangaiko mingine ya kimaisha, angalau unaweza kusahau yote unaporejea kwa mwenzi wako.
Hata hivyo, mapenzi hugeuka matatizo pale ambapo kazini umeondoka pakiwa moto, unarudi nyumbani nako pia unakuta moto. Unakosa sehemu ya kwenda kujishikiza. Faraja inaota mbawa. Hapa ndipo tafsiri ya mapenzi inapokosa mashiko. Jitazame, muangalie na mwenzako!
Japo ni ukweli usiopingika kuwa mapenzi siku zote hayapo tambarare hata kwa wenza waliostaarabika, ila katika kundi la mabrazameni na masistaduu ni mtihani. Kuna usemi kwamba glasi hugongana kabatini, nakubaliana nao lakini kwa makundi hayo ni pasua kichwa.
Mabrazameni na masistaduu ni zao la mapenzi ya kichina, yaani uhusiano bandia. Inawezekana akiwa kwako akajilegeza kama amefika, kumbe anao wengine wengi. Hili ni janga zito kwa maisha ya sasa. Uaminifu haupo, uzinzi na usaliti vimekuwa fasheni ya kutukuzwa.
Wengine siyo masistaduu wala mabrazameni, wapo kawaida au pengine wana muonekano wa heshima mno. Hata hivyo, ukichimbua hulka zao ndiyo utachoka. Ni wakali wa kuwapanga foleni, akitoka kwa huyu anakwenda kwa yule. Mapenzi yametawaliwa na rangi ya Shetani.
Wapo wanaobadili wapenzi kwa sababu za tamaa, lipo kundi linaloamini miili yao ni mtaji wa kupata fedha, wengine shida za maisha, zikasababisha uamuzi huo wa kujidhalilisha, wapo ambao ni tabia. Bila kugusa huku na huko hatosheki. Makundi yote hayo yamezingirwa na Ibilisi.
Mume wa mtu, anapewa sifa ya ‘uchapaji’ wa vidosho. Kwamba anajua kuwapanga kila kona. Nyumba za kulala wageni, anaingia kama nyumbani kwake. Yaani wanamjua, ni mteja wao hodari. Akifika, wanampeleka kwenye chumba anachokipenda.
Wapo wanaopiga simu, yaani namba za nyumba za kulala wageni zimejaa kwenye simu yake. Akijibiwa kwamba Sinza Kumekucha hakuna vyumba, anapiga Vatican, nako akikosa anajaribu Mori. Inahitaji sala na dua kuishi na mtu wa aina hiyo. Kuna mawili, kama hatakupa maradhi, omba usijue tabia yake, atakuua kwa presha.
Mke wa mtu mkali wa mafiga matatu mpaka matano. Anaita vidumu. Anaingia hoteli na gesti bila woga. Wapo wanaodiriki kuwaingiza wanaume ndani ya nyumba zao, wakati waume zao wakiwa hawapo. Balaa likamkuta yule mwanamke wa Kenya, akagandiana na mwanaume aliyemuingiza chumbani kwake, juu ya kitanda anacholala na mumewe.
Wengine ni ujasiri wa asili, wapo wanaofanya hivyo kwa sababu wanaona fasheni. Katika kundi hili wanaorukaruka, wakijiona ni fasheni ndiyo shabaha yangu kubwa. Itapendeza zaidi mapenzi yakikaa kwenye mstari wake ulionyooka. Maana halisi isipindishwe.
Kama ambavyo Jennifer Lopez, anavyobadili wanaume Marekani, eti na hapa Bongo, Wema Sepetu naye hajambo. Nimeshazungumza mara nyingi na Miss Tanzania huyo wa mwaka 2006-07, hata siku moja hajawahi kuonesha kujuta kwa safari yake ya kubadili wanaume ovyo.
Naseeb Abdul ‘Diamond’, Jumanne Kihangala ‘Mr. Chuz’ na wengine mfano wao, kama Sean Combs ‘P. Diddy’, Christiano Ronaldo na wengineo. Ni mwendo wa kimagharibi. Hakuna mapenzi, ila kupozana haja. Wakitamaniana, wanamalizana leoleo tu. Ameimba Ali Kiba kwenye wimbo Single Boy.
KIINI CHA MAPENZI YA KICHINA
Kuna ulimbukeni uliwaingia watu. Ghafla, kuna tabaka fulani (wakiwemo hawa mastaa wetu), wakaanza kuona mapenzi kama mchezo. Yaani, mtu anaweza kuhusika kimapenzi na mwenzake hata kama hawapendani. Angalia skandali za Wema, Diamond, Jokate Mwegelo, Irene Uwoya na wengineo.
Ni mtindo wa kuyabeba mapenzi kama mchezo wa kujifurahisha. Masistaduu na mabrazameni, hawayabebi kwa uzito wake unaostahili. Wewe msomaji wangu, unayeamini maadili na unathamini moyo wako, utakosea kupita kiasi endapo utaacha njia inayopendeza na kushika mtindo huu wa kimapenzi.
Jaribu kutafakari: Leo inazungumzwa kwamba Diamond anatoka kimapenzi na Aunt Ezekiel. Hapohapo, tambua kuwa Wema alikuwa mchumba wa staa huyo wa Bongo Fleva. Ongeza lingine kuwa Jokate naye kapita kwa kijana huyohuyo. Halafu nakupa siri moja kuwa wote hao ni washiriki wa Miss Tanzania mwaka 2006.
Inamaanisha kuwa walikaa kambi moja lakini wamediriki kuchangia mwanaume mmoja. Wema na Aunt ni marafiki, kwa hiyo hawana wivu. Hata kama ulikuwepo ila sasa umwekwisha. Na hii ndiyo tafsiri ya mapenzi ya Kichina. Mwendo wa kuzungukana, leo kwako, kesho kwa mwingine.
Akina Wema, Jokate na Diamond, kwao inakuwa rahisi kujulikana kutokana na umaarufu wao. Waandishi wa habari wanawafuatilia kila kona, hivyo wanaripotiwa na jamii inajua nyendo zao. Kundi hilo ndilo linatajwa kwamba wahusika wake hawajatulia.
Hata hivyo, upo ukweli uliotimia kuwa mitaani kwa jamii ya watu wa kawaida, wapo wachafu kuliko. Mwanamke mmoja anaweza kuwapanga wanaume watano kwa siku. Akitoka huyu anakwenda kwa mwingine. Anabadili nyumba za kulala wageni.
Huyu, hajitambulishi kama changudoa. Atasimama pembeni na kwamba yeye ni mtu mwenye heshima zake. Akiwaona machangudoa usiku wa manane wakiwa wamejipanga mawindoni na mavazi yao ya nusu uchi, atawalaani. Ni msemo wa nyani haoni makalioni kwake!
Huko nyuma nilishawahi kueleza mfano wa wanandoa kusaliti. Nikabainisha kwamba baadhi ya wanaume hufanya makosa pale wanapowakataza wanawake wao kufanya kazi. Eti wanataka wakae tu nyumbani. Hapa ndiyo kuna jambo, kwani mtu anapokaa bila kazi, hukaribisha hisia za karibu.
Hii ikanifanya nijenge hoja kutokana na muongozo wa kisaikolojia kwamba akina mama wa nyumbani, ni kundi hatari mno kusaliti ndoa. Mara nyingi wanakuwa hawapo bize, kwa hiyo hisia za kimapenzi zinakuwa karibu na matokeo yake hujikuta wakifanya zinaa na watu wa kushangaza.
Hujawahi kusikia mke wa mtu katembea na ‘houseboy’ wake? Vipi mwanamke kufanya zinaa na mdogo wa mume wake? Je, muuza bucha kujilia vyake nyakati za mchana kwa ofa za robo ya nyama anayomuongezea mke wa mtu aliyekwenda kununua kilo mbili? Hayo yapo kwenye mazingira yetu ya kila siku.
Kila siku wauza magenge na maduka, wanaingilia ndoa za watu. Nafasi hizo wanazipata kwa sababu ya kutokuwepo ubize kwa wanawake hao. Asili yetu tunapenda utani, hivyo wakitaniana mara mbili, mwanamke anahama kihisia. Keshokutwa asubuhi mume akiondoka, huyu anakimbilia gengeni.
Huu ni mfano katikati ya mada yetu. Mtu wa aina hii akiwaona machangudoa barabarani, atawalaani kupita kiasi. Hata hivyo, mtindo wa maisha yake hauna tofauti na changudoa kutokana na ukweli kwamba mtu mwenye staha na heshima, hawezi kujilimbikizia vidumu. Mume usiku, mchana muuza bucha au houseboy, haijakaa vizuri.
Hapa nifafanue kuwa yule ambaye anajiona yupo kwenye uhusiano salama, basi aendelee hapohapo kwa sababu ndipo kwenye bahati yake. Kwa wale wenye maumivu pale walipo, basi wajiangalie mara mbilimbili. Maisha yanaendelea. Maisha bora yanajengwa na mtu mwenye akili iliyotulia.
Huwezi kuwa na matatizo, akili haitulii kwa sababu ya misukosuko ya kimapenzi, ukadhani kwamba utajenga maisha imara. Hapo utakuwa unajidanganya. Tibu kwanza janga lako la mapenzi ili maisha yako yanyooke. Ikiwezekana, jipe muda wa kukaa ‘singo’. Inawezekana.
Beba zingatio kuwa lipo kundi la watu wanaowachezea wenzi wao lakini maisha yao ya kimapenzi bado ni imara. Japo anayetendwa ni maumivu kwake, ila mtendaji ni sawa tu. Haumii, anamnyanyapaa mwenzi wake na anaendelea kupendwa. Ni bahati tu.
Wewe unasaga miguu na kuumiza kichwa. Kila siku unajitahidi kumtafuta mwenzi bora wa maisha yako lakini hujampata. Badala ya furaha, unavuna machungu mtindo mmoja. Usijione una bahati mbaya, badala yake endelea kuitazama mbele kwa matumaini.
Huyo huelewani naye kwa sababu siyo wa bahati yako. Wako yupo na bahati mbaya hujamfikia. Jambo la kufanya si papara, kuwa mtulivu, utampata kwa urahisi. Ukijifanya bingwa wa kuwapanga na kuwapangua, hutafanikiwa, matokeo yake utampita na mwenzi bora wa maisha yako bila kujua.
Penda kutazama mifano kwa walio karibu yako. Je, wanaishi vipi na wenzi wao? Kama nao picha haziendi, tambua kwamba wanalazimishana. Watu wanaopenda, haiwezekani kila siku wakawa wanasumbuliwa na migogoro. Kuna mawili, moja litakuwa sahihi.
Mosi; wote hawapendani ila walijikuta wapo pamoja kwa mvuto wa tamaa za mwili, nao wakajidanganya ni mapenzi, hivyo wakawa pamoja. Pili; kama mosi haikuwa sahihi, basi itakuwa mmoja anapenda, mwingine analeta utani, hivyo kufanya misuguano isiyoisha.
Itaendelea wiki ijayo.
|
<urn:uuid:a96ba3f8-e4c1-4b93-9c19-da19b2d3f2c8>
|
{
"date": "2013-05-18T11:11:32Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-20",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-20/segments/1368696382360/warc/CC-MAIN-20130516092622-00019-ip-10-60-113-184.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9667946100234985,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 1,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9667946100234985, \"swc_Latn_score\": 0.02708468586206436}",
"url": "http://www.deiwakaworld.com/index.php?option=com_content&view=article&id=888:usistaduu-ubrazameni-na-mapenzi-ya-kichina&catid=38:loverelationships&Itemid=149"
}
|
Vita kubwa ya kuwania uenyekiti wa Taifa wa Jumuiya ya Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) imeonekana dhahiri, baada ya vigogo wawili wenye nguvu kuchukua fomu za kuwania kiti hicho.
Kuwepo kwa vita kali katika kinyang’anyiro hicho kunatokana na kujitokeza kwa Mbunge wa Same Mashariki, Anne-Kilango Malecela, kuchukua fomu hizo jana.
Mwenyekiti wa sasa wa UWT Taifa, Sophia Simba, juzi alikuwa wa kwanza kuchukua fomu hizo kutetea nafasi yake katika uchaguzi utakaofanyika Oktoba, mwaka huu.
Kilango ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, alichukua fomu hizo akiwa ameongozana na mumewe ambaye ni mwanasiasa mkongwe nchini na ndani ya CCM, Mzee John Malecela.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma jana baada ya kukabidhiwa fomu na Katibu Msaidizi Mkuu wa UWT, Martha Kanakamfumo, Kilango alisema ameamua kugombea nafasi hiyo ya juu kisiasa ndani ya CCM kwa kuwa ana uwezo wa kuwaandaa wanawake kiuchumi na kisiasa.
“Wanawake katika ngazi ya wilaya wanapaswa kuandaliwa wawe kuwa na nguvu za kiuchumi na kisiasa ili wapate na uwezo kutembea nyumba hadi nyumba nyakati za uchaguzi na kukiletea chama chetu ushindi,” alisema Kilango.
Kuhusu uzoefu wake ndani ya UWT, Kilango alisema amewahi kuwa mwenyekiti wa umoja huo katika ngazi ya wilaya.
“Uwezo wangu wa kisiasa umetokana na uongozi wa Mwenyekiti wa UWT ngazi ya wilaya, Wilaya ya Kinondoni. Kwa kifupi nguvu yangu ya kisiasa inatoka ndani ya tumbo la UWT,” alisema Kilango.
Simba ambaye pia ni Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, alichukua fomu hizo juzi asubuhi katika ofisi za UWT mjini hapa.
Akizungumza baada ya kuchukua fomu hizo Simba, alisema ameamua kutetea nafasi hiyo kwa mara nyingine ili amalizie mambo aliyoyaanza wakati wa uongozi wake, ikiwemo ujenzi katika viwanja mbalimbali vya umoja huo nchini.
“Kutokana na uzoefu nilioupata miaka minne iliyopita, tumekuwa kitu kimoja katika kipindi chote, wanawake wenzangu wamenipa ushirikiano mzuri wakati wa utekelezaji wa majukumu yangu ndiyo umenihamasisha kugombea kwa mara nyingine nafasi hii,” alisema Sophia.
Sophia alisema katika kipindi chake cha uongozi, anajivunia kutembelea mikoa yote nchini na kuzungumza na wanawake kuhusiana na mambo mbalimbali ya maendeleo.
Sophia alisema iwapo atachaguliwa kuongoza kwa mara nyingine jumuiya hiyo, ataendeleza waliyoyaanzisha ikiwemo Chama cha Ushirika wa Kuweka na Kukopa (Saccos) ambacho kitazinduliwa Septemba, mwaka huu.
Ingawa bado vigogo zaidi hawajajitokeza kuchukua fomu kuwania nafasi hiyo, lakini kujitokeza kwa Sophia kutetea nafasi yake na Kilango kujaribu kwa mara ya kwanza, ni sababu tosha za kukifanya kinyang’anyiro hicho kuwa na ushindani wa hali ya juu.
Hali hiyo inatokana na Sophia kuwa na ushawishi kwa wajumbe wengi akiwa kama mwenyekiti na vile vile kuungwa mkono na vigogo wa juu wa chama hicho akiwa mjumbe wa Kamati Kuu (CC).
Kwa upande wake, Kilango siyo mtu wa kupuuzwa kwa kuwa pia kama mbunge na mjumbe wa NEC, ana ushawishi mkubwa na vile vile anaweza kunufaika kutokana na umaarufu wa mumewe ambaye ni Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais mstaafu, Makamu Mwenyekiti Bara na mjumbe wa kudumu wa NEC na CC.
Katika uchaguzi uliopita uliomwingiza madarakani, Sophia alimshinda Janeth Kahama, mke wa mwanasiasa mkongwe nchini, George Kahama, huku ukiwemo ushindani mkali.
Kimsingi, nafasi ya uenyekiti wa UWT ni nyeti sana ndani ya chama hicho kwa kuwa mwenyekiti anakuwa mjumbe wa NEC na CC moja kwa moja, ambavyo ni vikao vya kufanya mamuzi makubwa ya chama.
Kwa mfano, kinyang’anyiro hicho kitakuwa ni mwelekeo wa kupanga safu za uongozi wa chama na dola kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2012.
Kwa kujibu wa ratiba ya uchaguzi huo, uchukuaji wa fomu kwa ajili ya uchaguzi huo utaendelea hadi Agosti 6, mwaka huu.
|
<urn:uuid:5fa20c1b-fd6d-494b-ac68-f5f322424cf5>
|
{
"date": "2013-05-26T05:33:47Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-20",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-20/segments/1368706631378/warc/CC-MAIN-20130516121711-00019-ip-10-60-113-184.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9840530753135681,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 8,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9840530753135681, \"swc_Latn_score\": 0.012888025492429733}",
"url": "http://www.ippmedia.com/frontend/index.php/oi.poc/Il=2389=170migrant.ie/%C2%B0_%C3%860?l=44360"
}
|
Serikali imehusika katika kesi 4,380, tafadhali soma zaidi hapa chini:
Source: IppMedia.Serikali imehusika katika jumla ya kesi 4,381
2007-11-08 16:17:30
Na Radio One Habari
Serikali imehusika katika jumla ya kesi 4,381 kati ya mwaka 2000 hadi 2007 zikiwa ni mashauri ya madai ya kawaida na maombi ya kupinga maamuzi ya mamlaka mbalimbali za serikali.
Naibu Waziri wa Sheria na Katiba Mhe. Mathias Chikawe ameliambia bunge kuwa katika kesi 54 kati ya hizo, serikali ilikuwa mdai na kesi 4,227 ilikuwa mdaiwa.
Akijibu swali la Mbunge wa Wawi Mhe. Hamad Rashid Mohamed, Naibu waziri, amesema serikali ilishinda kesi 1,922 kati ya kesi 2, 327 zilizotolewa maamuzi na kushindwa katika kesi 400.
Kuhusu kiasi cha fedha kilichotumika kugharimia kesi hizo, Mhe. Chikawe amesema kwa kesi za kawaida na kesi za maombi ya kupinga maamuzi ya mamlaka mbalimbali, serikali huwatumia mawakili wake ambao ni waajiriwa kwa ajili ya kuendesha kesi hizo.
Amesema katika baadhi ya kesi, hasa za upatanishi, serikali hutumia mawakili binafsi kwa kuzingatia mkataba.
Ametaja sababu ya kutumia mawakili binafsi katika mashauri ya upatanishi kuwa ni pamoja na uhaba wa watalaam hao wenye cheti cha Kimataifa cha Upatanishi.
--Kwenye kipengele cha mwisho hapo juu, je huu ni uhalalisho wa malipo ya kiajabu kwa Wakili Nimrod Mkono kwa niaba ya BoT?!
--Ule utata alio uzua Waziri Magufuli nao malipo yake kwa wahusika wadai ya billion 15 (kama sijakosea) yakiidhinishwa nayo yatatoka kwenye hazina kuu?!
Naomba maelekezo wana JF tafadhali. Lakini muhimu hapa mimi naona ni wahusika wadaiwa kufungwa kama si kuachishwa kazi mara moja.
SteveD.
|
<urn:uuid:18092cf2-d805-4765-b7db-b95862a2425b>
|
{
"date": "2013-05-26T05:39:39Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-20",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-20/segments/1368706631378/warc/CC-MAIN-20130516121711-00019-ip-10-60-113-184.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9936354160308838,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 1,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9936354160308838}",
"url": "http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/7048-serikali-na-kesi-zake-mpaka-sasa-ni-kesi-4-380-toka-mwaka-2000-and-counting.html"
}
|
MCHUNGAJI Ambilikile Mwasapila anayetoa tiba ya magonjwa sugu huko Samunge Loliondo, juzi jioni aliondoka hapa kwenda Babati, Manyara kuhudhuria mazishi ya mtoto wake huku safari yake hiyo ikiratibiwa na Serikali na akipewa ulinzi mkali wa maofisa usalama na polisi.
Aliondoka Samunge saa 12:20 jioni na gari la Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro akiwa na maofisa hao wa usalama, polisi na wasaidizi wake.
Kabla ya kuondoka Samunge, watu mbalimbali walikuwa wamejitolea kumpatia usafiri mchungaji huyo lakini walizuiwa kutokana na sababu za kiusalama.
"Tulikaa kama kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya, tukaona ni busara tuchukue jukumu la kumsafirisha Mchungaji hasa kutokana na sababu za kiusalama," alisema ofisa mmoja mwandamizi wa serikali wilayani hapa.
Alisema mchungaji huyo atalindwa akiwa msibani na atakaporejea Samunge.
Warundi, Wakenya, Waganda wakwama
Zaidi ya raia 100 kutoka Kenya, Burundi na Uganda, wamekwama Samunge kutokana na kusitishwa kwa tiba hiyo hadi Ijumaa.
Licha ya hatua hiyo ya kusitishwa kwa huduma kutangazwa mapema, maelfu ya watu, wakiwamo raia hao wa kigeni, waliendelea kumiminika Samunge kupata matibabu hayo.
Profesa Hakizimana Godefroid kutoka eneo la Muyumba, Burundi akiwa na ujumbe wa watu saba alisema wametumia siku saba kufika hapa na kwamba hatua hiyo imewasikitisha."Gari hili tumekodi kutoka Burundi hadi hapa, tunasikitika sana kukuta hakuna huduma na tunaambiwa ilitangazwa hapa Tanzania pekee kitu ambacho si kizuri," alisema Godefroid.
Alisema kutokana na taarifa ya tiba ya Mwasapila kusambaa karibu nchi zote za Afrika na nje ya bara,Serikali ilipaswa kutoa taarifa za kusitishwa kwa huduma hiyo katika balozi zake zote zilizopo nchini."Tumeondoka Burundi tukijua kuwa huku Tanzania tiba inatolewa tena tulijua hata siku za Pasaka tiba inaendelea. Taarifa zingesambazwa mapema tusingekuja sasa," alisema Godefroid.
Ofisa Uhamiaji ambaye yupo Samunge, Suleiman Saanane akishirikiana na polisi, juzi na jana walitumia muda mwingi kuwaelimisha raia hao wa nchi jirani juu ya kusitishwa kwa tiba hiyo na namna Serikali inavyoisimamia. Raia wa Kenya na Uganda, Peter Kimath na Joram Batengi, walishauri Serikali ya Tanzania kuipa hadhi tiba inayotolewa na Mchungaji Mwasapila wakisema, inawaponya watu na inavyoonekana, maelfu ya watu watafika Samunge.
"Hatuoni kama huyu mzee anapewa usaidizi ila tunachoona ni Serikali kukusanya kodi tu hapa ya magari na helikopta. Sasa kama wanapata fedha nyingi waitambue rasmi hii tiba na kuweka utaratibu mzuri," alisema Kimath. Batengi aliishauri Serikali kuboresha mazingira ya Samunge hasa barabara na eneo la tiba ili watu wanaotoka nchi za nje waamini kwamba tiba hiyo inaponya.
"Uganda wengi wanajua tiba hii na kuna ambao wanasema kuwa wamepona ila ukifika hapa huwezi kuamini kama tiba hii ni nzuri kwani mazingira ya hapa siyo mazuri na hata njia za kufika hapa ni mbaya sana," alisema Batengi.
Raia hao wanalazimika kubaki Samunge hadi Ijumaa siku ambayo Mchungaji Mwasapila atarejea na kuendelea kutoa tiba. Mchungaji Mwasapila anatarajiwa kurejea Samunge leo baada ya kushiriki katika mazishi ya mtoto wake Jackson (43), yaliyofanyika jana.
Msaidizi wa Mchungaji huyo, Frederick Nisajile aliliambia gazeti hili jana kuwa baada ya kurejea, wataanza maandalizi ya kuchemsha dawa ambayo itatumika Ijumaa.
|Wednesday, 27 April 2011 21:50|
0diggsdigg
|
<urn:uuid:93369c6c-efe3-4d15-9bef-808292ce4d29>
|
{
"date": "2013-05-20T05:27:17Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-20",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-20/segments/1368698354227/warc/CC-MAIN-20130516095914-00035-ip-10-60-113-184.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9923602938652039,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 16,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9923602938652039}",
"url": "http://jesusislord4all.blogspot.com/2011/04/babu-wa-loliondo-aenda-msibani-chini-ya.html"
}
|
Milima ya Lebanoni ndogo
Lebanoni Ndogo (pia: Antilebanon) ni safu ya milima katika Lebanoni, Syria na Israel inayoelea sambamba na milima ya Lebanoni yenyewe upande wa mashariki. Kati ya safu hizi mbili liko bonde la Beka'a. Upande mwingine iko Dameski mji mkuu wa Syria.
Mpaka wa Syria na Lebanoni hufuata sehemu za juu za Lebanoni Ndogo.
|
<urn:uuid:811a73da-575b-4d42-9954-702d34aac917>
|
{
"date": "2013-05-20T05:40:14Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-20",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-20/segments/1368698354227/warc/CC-MAIN-20130516095914-00035-ip-10-60-113-184.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9976105093955994,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 28,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9976105093955994}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Milima_ya_Lebanoni_ndogo"
}
|
Academy Ushauri Document, baadhi ya ukweli muhimu. Sisi tunasema, wanasema
Fedha:
Wao Sema: The Academy bila kuboresha huduma hutoa kwa kununua kwao moja kwa moja.
Sisi Sema: Wangekuwa kununua kutoka sawa na duka kona. Mamlaka za Mitaa hununua kutoka sawa sawa na jumla, ambako bei ni nafuu sana kama wanaweza kununua bidhaa na huduma kwa kiasi kiasi kikubwa.
Mahitaji ya Elimu Maalum (Sen)
Wao Sema: The Academy bado kupokea ruzuku moja kwa ajili ya wanafunzi wenye mahitaji maalum ya kielimu na bado ingekuwa kufuatiliwa kwa lea.
Sisi Sema: Mamlaka za Mitaa ingekuwa hakuna mamlaka ya kutekeleza na ya Academy. Ingekuwa kurejesha haki ya kufuatilia sen utoaji bali itakuwa kisheria hawawezi kuingilia katika tukio la mgogoro au tatizo. Wazazi tena kuwa na uwezo wa ushauri kwa lea lazima kitu kwenda vibaya, wangeweza kuwasiliana na Serikali.
waliolazwa na Muda Tarehe:
Wao Sema: The Academy bado ingekuwa zifuatazo lea mwongozo juu ya waliolazwa na itakuwa na uwezo wa kuweka yake mwenyewe tarehe mrefu.
Sisi Sema: Academy The (katika kubwa, bidhaa ujenzi wa jengo jipya) itakuwa karibu shaka kuwa oversubscribed ambayo kumweka inakuwa kisheria na haki ya marekebisho ya waliolazwa ni utaratibu na kuanza uteuzi. Watoto kuonekana kama ‘ngumu’ inaweza kuwa alikataa uandikishaji. Tofauti mrefu tarehe ya familia na watoto katika shule zaidi ya moja itakuwa chaotic.
Utawala Bora:
Wao Sema: The Academy itakuwa na jukumu la kuteua ni watawala wenyewe.
Sisi Sema: Academy watawala si kuwajibika kwa wazazi, Mamlaka za Mitaa, au ya umma. Makubwa ya wadhamini wa Chuo, ambayo inaweza kuwa binafsi biashara, ni moja kwa moja kutokana na wengi udhibiti wa uongozi.
Majengo:
Wao Sema: The Academy bila kuwa na zaidi udhibiti wa majengo ni occupies na itakuwa bure kwa kusimamia na kulipa kwa ajili ya matengenezo.
Sisi Sema: The Academy bila kuwa na kuchukua umiliki wa mali kulipwa kwa pamoja na fedha za walipa kodi. Ya shule mpya ni sehemu ya maendeleo kubwa kulipwa kwa umma, kuhamisha umiliki wa sehemu ya tovuti ingeweza kusababisha matatizo makubwa ya kisheria, kifedha na vitendo.
Pendekezo Academy ina faida NO elimu kwa watoto. shule ni nguvu kwa pamoja katika familia LOCAL YA SHULE YA kusimama peke yake SHULE OUT kwa ajili ya faida na ushindani.
|
<urn:uuid:5a218885-5112-459f-abb1-a05c04856b8c>
|
{
"date": "2013-06-20T01:24:54Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-20",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-20/segments/1368709337609/warc/CC-MAIN-20130516130217-00035-ip-10-60-113-184.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9314937591552734,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 1,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9314937591552734, \"swc_Latn_score\": 0.0609733909368515}",
"url": "http://sayingno.org/cms/consultation/academy-consultation-document-some-important-facts-they-say-we-say/swahili/"
}
|
Daniel Nathans
Daniel Nathans (30 Oktoba 1928 – 16 Novemba 1999) alikuwa mwanabiolojia kutoka nchi ya Marekani. Hasa anajulikana kwa kuchunguza mfumo wa kijenetiki wa virusi mbalimbali. Mwaka wa 1978, pamoja na Werner Arber na Hamilton Smith alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.
|Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
|
Je, unajua kitu kuhusu Daniel Nathans kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
<urn:uuid:fd4fba7d-f07b-4d33-8288-b0b1d19fbc63>
|
{
"date": "2013-06-19T22:17:40Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-20",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-20/segments/1368709337609/warc/CC-MAIN-20130516130217-00035-ip-10-60-113-184.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9761671423912048,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 63,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9761671423912048, \"swc_Latn_score\": 0.021115915849804878}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Daniel_Nathans"
}
|
Yangon
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Yangon (pia:Rangun) ni mji mkubwa wa Myanmar. Ilikuwa mji mkuu wa nchi hadi 2005.
Kuna wakazi zaidi ya milioni 4. Mji uko kando la mto Hlaing karibu na bahari.
Picha za Rangun[hariri]
|Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
|
Je unajua kitu kuhusu Yangon kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
<urn:uuid:43cc8875-1c91-4abf-9d6c-4ed9d870fa85>
|
{
"date": "2013-12-08T12:07:19Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-48",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-48/segments/1386163065342/warc/CC-MAIN-20131204131745-00008-ip-10-33-133-15.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9980852603912354,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 81,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9980852603912354}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Yangon"
}
|
Matokeo ya mapema ya upasuaji wa maiti ya mpenzi wa mkewe waziri wa zamani Raphael Tuju, Tony Ogunda yanadhihirisha kuwa kuhusiana na kitendawili kinachozingira kifo cha aliyedaiwa kuwa mpenzi wa mkewe waziri huyo wa zamani, Tony Ogunda alikuwa amepigwa na silaha butu kabla ya kufariki.
Ripoti kamili ya upasuaji aidha inatarajiwa kuwekwa peupe mnamo kwa muda wa majuma mawili yajayo
Anavyoarifu mwanahabari wetu, marehemu ogunda atazikwa mnamo tarehe kumi na tatu mwezi Julai kwao kaunti ya Homabay.
|
<urn:uuid:7fd47405-1b9b-4840-abef-b81459a04bbc>
|
{
"date": "2013-12-10T18:26:40Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-48",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-48/segments/1386164023039/warc/CC-MAIN-20131204133343-00046-ip-10-33-133-15.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9710755348205566,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 1,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9710755348205566, \"swc_Latn_score\": 0.01950426585972309}",
"url": "http://k24tv.co.ke/?p=6913"
}
|
Jumatano shirikisho la soka nchini (TFF) lilitiliana saini mkataba na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia bia yake ya Kilimanjaro kwa ajili ya udhamini wa timu ya taifa ya soka, Taifa Stars, kwa miaka mitano.
Udhamini huo, kwa mujibu wa mkataba, utagharimu dola za Marekani milioni 10, ikiwa ni zaidi ya mara tatu ya mkataba uliomalizika chini ya kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) ambao walianza kuidhamini Stars mwaka 2006 kwa Sh. milioni 700 kwa mwaka.
Katika udhamini mpya, Stars itapatiwa basi la kisasa la kukaa watu 40, wachezaji watakaa katika hoteli za kuanzia nyota tatu zenye bwawa la kuogelea, posho za wachezaji zitaongezeka kwa zaidi ya mara tatu, timu itatafutiwa mechi nyingi za kujipima ndani na nje ya nchi, wachezaji watapatwa vifaa vya kisasa vya michezo vikiwemo viatu, jezi, suti za michezo, suti za kawaida na kadhalika.
Udhamini huo utagusa pia mafunzo kwa wafanyakazi wa TFF ndani na nje ya nchi, semina na mikutano ya utawala bora pamoja na uendeshaji wa tovuti ya TFF ambayo kwa sasa ukiifungua taarifa zake nyingi utakazokutana nazo ni za zamani.
Ni jambo kubwa na la kupongezwa limefanywa na TBL kwa sababu kukosekana kwa morari ya wachezaji katika kambi ya timu ya taifa ilikuwa ni moja ya matatizo makubwa.
Tumewasikia wachezaji wakilalamika kichini chini, na mmojawapo, Athumani Machuppa, amewahi kuandika kilio cha wachezaji katika ukurasa wake Facebook aliposema kwamba posho ya Sh.15,000 kwa wachezaji wa taifa inashusha morari ya wachezaji kambini.
Mlengwa mkubwa katika udhamini wa Stars anapaswa kuwa mchezaji mwenyewe kwa sababu yeye ndiye anayeingia uwanjani kupambana na wadhamini wanapaswa kulitazama hilo .
Inakuwa jambo kwa timu kufanikiwa ikiwa timu imedhaminiwa kwa vifaa na kadhalika lakini mchezaji mwenyewe anaingia uwanjani akiwa ananung'unika kwamba kambi ya Stars inamuumiza kwa sababu hajaacha hata senti nyumbani kwake.
Ndio. Ataacha kiasi gani nyumbani kama amepewa Sh. 15,000 kwa maisha ya sasa?
Hauwezi kufananisha maisha ya wachezaji wa timu za taifa za Ulaya kwa mfano, ambao tayari wana mishahara mikubwa katika klabu zao hivyo posho katika timu ya taifa inaweza isiwe 'ishu' sana .
Kwa soka letu changa la ridhaa, ambapo wachezaji kwenye klabu zao, wengi wanalipwa pesa ndogo ukilinganisha na ukubwa wa majina yao ama klabu wanazochezea, mazingira mazuri kwa mchezaji wa taifa ni jambo muhimu sana .
Hii haimaanishi kwamba wachezaji wetu si wazalendo ambao ni lazima walipwe vinono ndio wacheze 'jihad'. Uzalendo upo, lakini nyumbani watoto wanalia njaa, kutakuwa na umakini kweli katika kudumisha uzalendo hapo?
Tunawapongeza TBL kwamba wameliona hilo katika mkataba wao na TFF. Mchezaji anayelala katika hoteli ya hadhi ya juu, anayevaa kiatu kizuri, jezi yenye ubora na posho ya kuridhisha, hakika anaongezeka kujiamini akutanapo na wapinzani wenye majina makubwa uwanjani. Ni suala la kisaikolojia zaidi.
Tunaamini kwamba kwa udhamini huu, wachezaji watapigania zaidi nafasi ya kuchezea Stars.
Na watakaopata fursa hiyo watapambana zaidi kutafuta matokeo uwanjani, jambo ambalo ni manufaa kwa maendeleo ya soka la Tanzania , ambayo kwa sasa kila viwango vya ubora vya FIFA vinapotolewa sisi tunazidi kupiga hatua za kurudi nyuma.
Wachezaji kadhaa wamewahi kutangaza kutoichezea tena taifa pengine kwa kuona kwamba hakuna anayewajali wanapojitoa kuipigania nchi yao .
Beki wa Yanga, Stephano Mwasika, aliwahi kutangaza kutoichezea tena Stars baada ya kuumia wakati akiwa na timu ya taifa na kulazimika kwenda kutibiwa na klabu yake iliyomsafiri kwenda India kwa ajili ya kufanyiwa upasuaji wa goti.
Kwa udhamini huu, tunatarajia kwamba, matukio kama haya hayatakuwa na nafasi.
Na tunatarajia kwamba kwa kuwa ni mkataba wa taifa, hakutakuwa na mambo ya kufichana-fichana, kila kitu kitakuwa wazi. Kwamba kwamba kiasi gani kinakwenda wapi na watu wapewe nafasi ya kuhoji kama ni kweli thamani ya kitu hicho inalingana na kilichoandikwa kwenye makaratasi?
Kumekuwepo na malalamiko kuhusiana wadhamini kujipa wenyewe majukumu yote ya kufanya manunuzi na kisha vifaa vinavyonunuliwa kuwa havilingani na thamani ya pesa iliyotajwa.
Tunapenda kuamini alichokisema wakili wa TFF, Alex Mgongolwa, ambaye alikuwepo wakati wa maafikiano hadi kusainiwa kwa mkataba huo kwamba jukumu la manunuzi litaachwa kwa TFF, kwamba hata pesa ya kununulia basi hilo la kisasa itakabidhiwa kwa TFF na kwamba vifaa vitasambazwa na Adidas. Hivi ndivyo vilivyokuwa vilio vikubwa Stars.
|
<urn:uuid:ac7005c9-204e-47c3-a353-d6fff05e4b2a>
|
{
"date": "2013-12-10T18:16:53Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-48",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-48/segments/1386164023039/warc/CC-MAIN-20131204133343-00046-ip-10-33-133-15.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.988908588886261,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 156,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.988908588886261}",
"url": "http://www.ippmedia.com/frontend/index.php/=INSuR6&ses/tabin&i5d/function.fopen?l=41539"
}
|
Kamati Kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo inatarajia kutoa tamko lake baada ya kukutana jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa Chadema, John Mnyika, aliyasema hayo jana alipozungumza na NIPASHE na kuongeza kuwa tamko la kamati hiyo litatolewa na Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe.
Alisema tamko hilo litatolewa katika kikao cha Baraza Kuu la chama hicho leo.
|
<urn:uuid:1555f384-d58e-4e16-b4f9-1a52b6403da0>
|
{
"date": "2013-12-10T01:43:12Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-48",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-48/segments/1386164004057/warc/CC-MAIN-20131204133324-00012-ip-10-33-133-15.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9977799654006958,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 25,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9977799654006958}",
"url": "http://www.ippmedia.com/frontend/index.php?l=50601"
}
|
Algiers
|Jiji la Algiers|
|
|
|Nchi||Algeria|
|Jimbo||Jimbo ya Algiers|
Algiers (Kiarabu مدينة الجزائر, madīnat al-djazā'ir ("mji wa visiwa"), Kifaransa Alger) ni mji mkuu pia mji mkubwa kabisa wa nchi Algeria ikiwa na wakazi milioni 2 (mwaka 2005), pamoja na mitaa ya nje takriban milioni tano. Iko mwambaoni wa Mediteranea. Algiers ni makao ya serikali na kitovu cha uchumi, biashara, utamaduni na mawasiliano nchini.
Historia[hariri]
Mji ulianzishwa kama koloni ya Wafinisia katika karne ya 4 KK. Mahali palifaa kutokana na visiwa vinne vidogo vilivyokuwepo karibu na mwambao (lakini katika karne ya 17 BK viliunganishwa na bara). Baada ya kuenea kwa Dola la Roma ikawa mji wa Icosium na kuvamiwa na Waarabu Waislamu mwaka 702. Waberber wa kabila la Beni Mezghenna walikaa katika eneo hili. Mwaka 960 kiongozi wa Kiberber Buluggin ibn Ziri aliyekuwa gavana ya makhalifa wa Fatimiya wa Misri aliteua mahali pa Icosium na kujenga boma hapa. Mji uliitwa sasa "Al-djazair-Mezghenna" yaani "visiwa vya Beni Mezghenna". Hapa ndipo asili ya jina la leo "Al djaza'ir (الجزائر)" yaani "visiwa". Katika karne zilizofuata mji ulivamiwa na watawala Wamurabitun na Wamuwahidun kutoka Moroko. Baadaye mji ukawa chini ya masultani wa Algeria ya Kaskazini.
Mnamo mwaka 1302 Hispania ilifaulu kushika visiwa vidogo mwambanoni kwa miaka kadhaa hadi kufukuzwa tena na mharamia Barbarossa aliyeteka mji kwa niaba ya Sultani wa Uturuki. Tangu karne ya 16 BK Algiers ikawa mji wa kujitawala ndani ya Dola la Uturuki. Imekuwa mara kwa mara makao makuu ya maharamia ya Mediteranea ya magharibi. Maharamia hawa walishambulia jahazi za Wakristo kama Waitalia, Wafaransa, Wahispania na kadhalika na kuteka abiria pamoja na mabaharia. Waliuzwa kama watumwa au kurudishwa kwao baada ya kulipa pesa. Maharamia waliweza pia kushambulia miji ya Wakristo mwambaoni wa Mediteranea na kutwaa wakazi kama watumwa. Hali hiyo ilisababisha tena na tena majaribio ya nchi za Ulaya kuvamia Algiers lakini bila kufaulu hadi karne ya 19. Mwaka 1815 Marekani ilishambulia Algiers baada ya kupotea meli na raia kwa maharamia wa mji; mwaka 1816 Waingereza pamoja na Waholanzi walishambilia tena kwa kusudi ya kulinda meli na raia zao. Walifaulu kumlazimisha mtawala wa Algiers atie sahihi kwenye mkataba wa kutochukua tena Watumwa kutoka nchi za Ulaya ingawa biashara hii iliendelea kwa siri hata baadaye.
Mwaka 1830 Wafaransa walivamia mji na kuanzisha utawala uliokuwa mwanzo wa ukoloni wa Kifaransa katika Algeria.
Wafaransa walipanusha na kubadilisha mji wa Kiarabu na Kiberber. Katika karne ya 19 Wafaransa wengi walihamia Algeria hadi Algiers ilikuwa mji mwenya wakazi wengi Wafaransa kuliko wenyeji asilia waliokaa hasa katik mji wa kale ulioitwa "Kasbah". Wafaransa waliozaliwa Algeria walijiita "pieds noir" (miguu meusi). Wakati wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia Alegria ilikuwa chini ya serikali ya Kifaransa katika maeneo yasiyovamiwa na Ujerumani hadi kuingiliwa na wanajeshi Waamerika na Waingereza mwaka 1942. Baadaye ikawa mji mkuu wa "Ufaransa Huru" hadi mwisho wa vita.
Tangu uhuru wa Algeria 1962 Algiers imekuwa mji mkuu wa Algeria. Akina pieds noir walio wengi waliondoka wakihofia uchungu baada ya vita ya ukombozi.
Marejeo[hariri]
|Makala hii kuhusu maeneo ya Algeria bado ni mbegu.
|
Je unajua kitu kuhusu Algiers kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
<urn:uuid:2871c6c5-adbf-4817-9b67-0ab860431107>
|
{
"date": "2013-12-09T13:22:26Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-48",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-48/segments/1386163973624/warc/CC-MAIN-20131204133253-00049-ip-10-33-133-15.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.998347282409668,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 48,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.998347282409668}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Algiers"
}
|
Wasanii machachari Bongo Move Wema Sepetu (kushoto) na Aunt Ezekiel wakicheza muziki wa bongo Fleva uliokuwa ukishushwa na Msanii wa Bongofleva,Ferooz katika uzinduzi wa Tamasha la Serengeti Fiesta 2012 Bhaaaaass! katika Uwanja wa Chuo cha Ushirika Mjini Moshi usiku huu. Tamasha hilo limebamba ile mbaya.Ferooz akiwa na mmoja wa mashabiki wake wakilishambulia jukwaa vilivyo.Sehemu ya wakazi wa mji wa Moshi wakiendelea kushuhudia makamuzi ya wasanii mbalimbali wanaotumbuiza usiku huu kwenye uzinduzi wa tamasha la
Prezoo akiwarusha mashabiki kibao (hawapo pichani) waliojitokeza jioni ya leo kwenye uzinduzi wa tamasha la Serengeti Fiesta 2012
Pichani juu na chini ni mwanamuziki kutoka nchini Kenya na mmoja wa shiriki wa shindano la Big Brother Stargame,CMB Prezoo akitumbuiza jukwaani usiku huu kwenye uzinduzi wa tamasha la Serengeti Fiesta 2012 ndani ya uwanja wa chuo cha ushirika mjini Moshi.Mmoja wa wasanii wa hip hop Joh Makini akikamua vilivyo usiku huu mbele ya umati mkubwa wa watu uliojitokeza kwenye uzinduzi wa tamasha la Fiesta.Msanii mahiri wa bongofleva,Lina akiwa na densaz wake wakilishambulia jukwaa vilivyo.Lina akiimba wimbo wake YalaitiMkali mwingine wa hip hop Mwana FA akishusha mitindo huru.Pichani juu na chini Mwana FA akilishambulia jukwaa vilivyo kwa mitindo yake huru iliyokuna vilivyo mashabiki wake,waliofika kwa wingi kwenye tamasha la Serengeti Fiesta 2012.Wasanii wa nyota wa Filamu hapa nchini nao walijumuika kwa pamoja kwenye uzinduzi wa tamasha la Serengeti Fiesta 2012,pichani jukwaani ni Wema Sepetu,Jacob Steven a.k.a JB,pamoja na Aunt Ezekiel wakilisakata sebene.Ray nae akilisakata sebene vilivyo.
|
<urn:uuid:e7322261-cd5c-4350-9933-38c70212865c>
|
{
"date": "2013-12-11T02:05:48Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-48",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-48/segments/1386164029048/warc/CC-MAIN-20131204133349-00049-ip-10-33-133-15.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9948898553848267,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 41,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9948898553848267}",
"url": "http://irenemwamfupejamii.blogspot.com/2012/08/picha-11-za-ukweliraywemaprezoofank.html"
}
|
Vyombo vya habari matatani BurundiKusikiliza /
Nchini Burundi, serikali imepitisha sheria mpya ya vyombo vya habari. Mengi yameibuka baada ya Rais Pierre Nkurunzinza kutia saini sheria hiyo kutokana na kile kinachoelezwa kuwa kinabana vyombo vya habari na kuweka vikwazo kwa uhuru wa kujieleza na kupata habari ambavyo ni moja ya haki za msingi za binadamu.
Tayari Umoja wa mataifa kupitia katibu Mkuu Ban Ki-Moon umetaka Burundi kuangalia upya hatua hiyo kwani ni ya kusikitisha. Mathalani yaelezwa waandishi wa habari kwa mujibu wa sheria mpya wanapaswa kufichua vyanzo vyao vya habari na kubwa zaidi faini kwa makosa ya uandishi wa habari imeongezwa kwa asilimia Mia Mbili.
Je kulikoni? Basi ungana na mwandishi wetu wa maziwa makuu kutoka mjini Bujumbura, Ramadhani Kibuga.
(MAKALA NA RAMADHAN KIBUGA)
|
<urn:uuid:834d028e-f862-4165-96f8-6bc314f5201f>
|
{
"date": "2013-12-12T12:24:05Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-48",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-48/segments/1386164583115/warc/CC-MAIN-20131204134303-00049-ip-10-33-133-15.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9877122044563293,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 29,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9877122044563293, \"swc_Latn_score\": 0.010476821102201939}",
"url": "http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2013/06/vyombo-vya-habari-matatani-burundi/"
}
|
MJUMBE KAMATI YA UTENDAJI YANGA AFARIKI DUNIA
MJUMBE wa Kamati ya Utendaji ya Yanga, Wakili Theonist Rutashoborwa amefariki dunia usiku wa kuamkia leo, nyumbani kwake, Dar es Salaam.
Ofisa Habari wa Yanga, Louis Sendeu ameaimbia bongostaz asubuhi hii kwamba bado wanawasiliana na familia ya marehemu ili kujua zaidi na saa 5:00 asubuhi watafanya Mkutano na Waandishi wa Habari.
Rutta ni mwanachama ambaye alichangia kwa kiasi kikubwa klabu hiyo kupata ufadhili wa Yussuf Manji mwaka 2006, kutokana na harakati alizoanzisha za Harambee ya Yanga kufuatia hali mbaya ya kifedha ndani ya klabu hiyo chini ya uongozi wa Francis Mponjoli Kifukwe enzi hizo.
|
<urn:uuid:69d5108a-9974-426a-a08d-487d9121b858>
|
{
"date": "2013-12-10T05:36:43Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-48",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-48/segments/1386164009894/warc/CC-MAIN-20131204133329-00021-ip-10-33-133-15.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9676163792610168,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 54,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9676163792610168, \"swc_Latn_score\": 0.02915976196527481}",
"url": "http://rumaafrica.blogspot.com/2012/04/mjumbe-kamati-ya-utendaji-yanga-afariki.html"
}
|
NA MBEYA YETU
MAKAMANDA wa polisi wa Mikoa ya Kikanda, wamekutana leo Jijini Mbeya, kujadili hali ya uhalifu ikiwa na kuweka mikakati itakayosaidia kuwabana askari watakaobainika kukiuka sheria na taratibu za kazi. Mkutano huo unafanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya, lengo kuu likiwa ni kujadili hali ya usalama na uhalifu wa maeneo katika Mikoa ya Morogoro, Iringa, Ruvuma, Njombe na Mbeya .
Akizungumzia mikakati hiyo, Mwenyekiti wa Mkutano Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Morogoro, Ndugu Faustine Shilogile alisema katika kikao hicho agenda kuu itakuwa ni kujadili matukio ya uhalifu wa unyang’anyi wa kutumia silaha, matukio ya ajali pamoja na kujadili nidhamu kwa watendaji wa jeshi hilo.
Amesema Wahalifu wamekuwa na tabia ya kuhama hama mara wanapofanya tukio, hawakai sehemu moja hivyo mkutano huu utasaidia kwa wajumbe kubadilishana na kupeana uzoefu wa kazi,’alisema Aidha, amefafanua kuwa jeshi la polisi hivi sasa kupitia baadhi ya askari limekuwa likikumbwa na matukio ya ukiukwaji wa maadili kwa kukutwa na tuhuma mbalimbali za uhalifu.
Kwa upande wake, Kamanda wa polisi wa mkoa wa mbeya, Ndugu Diwani Athumani ambaye ni mwenyeji wa Mkutano huo , alisema kikao hicho kinatarajia kutoka na mikakati itakayosaidi kupunguza wimbi la uhalifu pamoja na ajali barabarani.
Amesema mara nyingi Wahalifu wamekuwa wakitumia njia nyingi kufanya uhalifu na kukimbilia mikoa ya jirani hivyo mkutano huu ambao unahudhuriwa na Makamanda pamoja na wakuu wa upelezi utasaidia kuwabaini ikiwa na kusambaratisha mtandao uliopo Mkutano huo ni watatu baada ya mkutano wa kwanza kufanyika Mkoani Iringa na wa pili ulifanyika Mkoani Morogoro na kwamba wajumbe wanatarajia kutoka na maadhimio mapya.
|Kamanda wa polisi wa mkoa wa mbeya, Ndugu Diwani Athumani ambaye ni mwenyeji wa Mkutano huo , amesema kikao hicho kinatarajia kutoka na mikakati itakayosaidi kupunguza wimbi la uhalifu pamoja na ajali barabarani.|
|Baadhi ya maafisa wa jeshi hila la Polisi wakiwa makini kusikiliza mwenyekiti wao katika kikao hicho|
|Baadhi ya makamanda wa polisi wakiwa maetulia kwa umakini kumsikiliza mwenyekiti wa kikao hicho|
|Picha ya pamoja|
|
<urn:uuid:ae3fe5c3-6749-43f7-8b3d-16b90ef9e949>
|
{
"date": "2013-12-09T17:24:50Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-48",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-48/segments/1386163992191/warc/CC-MAIN-20131204133312-00067-ip-10-33-133-15.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9856253862380981,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 31,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9856253862380981}",
"url": "http://issamichuzi.blogspot.com/2013/05/makamanda-wa-polisi-wa-mikoa-ya-kikanda.html"
}
|
Unyanyasaji wa kingono katika jimbo la kivu kaskazini, DRC umeongezeka:UNHCRKusikiliza /
Mapigano ya mara kwa mara katika jimbo la Kivu Kaskazini katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC yanawalazimu raia wengi zaidi kuhama makwao na kuwatia wanawake, wasichana na hata wanaume katika hatari ya kubakwa, kwa mujibu wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi katika Umoja wa Mataifa, UNHCR. Joseph Msami na taarfia zaidi. (TAARIFA YA JOSEPH MSAMI)
Uchunguzi uliofanywa na timu ya wataalamu kutoka UNHCR umebaini kuwepo ongezeko kubwa la matukio ya unyanyasaji wa kingono na kwamba katika kipindi cha kuanzia mwezi Januari mwaka huu jumla ya visa 705 zimerekodiwa ikiwemo matukio 619 ya ubakaji.
UNHCR inasema kuwa waathirika wa matukio hayo ni pamoja na makundi ya watoto wapatao 288, na wanaume 43 na kuongeza watendaji wa matukio hayo ni askari wenye silaha. Fatoumata Lejeune-Kaba ni msemaji wa UNHCR
(SAUTI YA FATOUMATA)
|
<urn:uuid:14c2b632-b087-4a89-88e9-a0865739a2b6>
|
{
"date": "2013-12-09T01:24:41Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-48",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-48/segments/1386163839270/warc/CC-MAIN-20131204133039-00030-ip-10-33-133-15.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9788896441459656,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 31,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9788896441459656, \"swc_Latn_score\": 0.018403086811304092}",
"url": "http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2013/07/unyanyasaji-wa-kingono-katika-jimbo-la-kivu-kaskazini-drc-umeongezekaunhcr/"
}
|
Gottfried Leibniz
|Gottfried Wilhelm von Leibniz
|
|
|
|Alizaliwa||1 Julai 1646 Leipzig|
|Alikufa||14 Novemba 1716 Hannover|
|Nchi||Ujerumani|
|Kazi yake||balozi na mtaalamu wa falsafa,
|
hisabati, historia na sheria
Gottfried Wilhelm Leibniz (pia Leibnitz au von Leibniz; 1 Julai 1646 - 14 Novemba 1716) alikuwa mwanasayansi na mwanafalsafa Mjerumani aliyeandika hasa kwa Kilatini na Kifaransa. Aliandika vitabu na insha nyingi kuhusu mada za siasa, sheria, historia, isimu na mengineyo. Anasemekana alikuwa mtu wa mwisho aliyeweza kushika ujuzi wote wa ustaarabu wake.
Alisoma mwenyewe sharia na falsafa. Akahudumia familia mbili za kitemi nchini Ujerumani, kwanza katika Bavaria na baadaye katika Hannover. Katika utumishi wa watemi hao alisafiri kote Ulaya kama mbalozi wao. Sehemu ya mwisho wa maisha yakke alikaa Hannover alipounda maktaba kubwa.
Alibuni hisabati ya kalkulasi na pia hisabati ya binari ambayo ni msingi wa teknolojia ya kompyuta. Alitengeneza pia mashine ya mahesabu.
Katika falsafa alitoa jibu la swali la theodisea au jinsi gani Mungu mwenye haki anaweza kuruhusu mabaya. Alisema ya kwamba dunia yetu jinsi ilivyo si baya lakini ni dunia bora iliyoweza kuumbwa na Mungu.
Alishughulika mambo mengi sana pamoja na
- mipango ya kutengeneza nyambizi
- kuboresha kufuli za milango
- kifaa cha kupima mwendo wa upepo
- ushauri kwa waganga wapime homa mara kwa mara
- aliunda bima la yatima na wajane
|Makala hii kuhusu mtu bado ni mbegu.
|
Je, unajua kitu kuhusu Gottfried Leibniz kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
<urn:uuid:4620c7b6-1bf9-4e93-baef-1f6cbd042418>
|
{
"date": "2013-12-10T09:44:46Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-48",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-48/segments/1386164014852/warc/CC-MAIN-20131204133334-00030-ip-10-33-133-15.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.977328360080719,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 62,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.977328360080719, \"swc_Latn_score\": 0.01594788394868374}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Gottfried_Leibniz"
}
|
Lagos
Lagos ni mji mkubwa wa Nigeria. Ilikuwa mji mkuu wa nchi hadi 1991. Ikiwa na wakazi takriban milioni 9 katika eno la jiji na milioni 12 - 15 katika rundiko la mji ni kati ya miji mikubwa zaidi ya Afrika; inaweza kuwa na nafasi ya pili baada ya Cairo.
Jiografia[hariri]
Historia[hariri]
Lagos ilianzishwa kama kijiji cha Wayoruba ikaendelea kukua kutokana na na biashara, bandari yake na kipindi kama mji mkuu wa Nigeria. Nafasi ya mji mkuu ilichukuliwa na Abuja lakini hadi leo Lagos inaendelea kuwa mji mkuu wa biashara na uchumi nchini.
Inaaminiwa ya kwamba Kisiwa cha Lagos kilikaliwa na wavuwi na wakulima Wayoruba tangu karne ya 14. Katika karne ya 15 eneo lilikuwa kwa muda chini ya ufalme wa Benin. Wakati ule lilitwa "Eko".
Mwaka 1472 mbaharia Mreno Ruy de Sequeira alifika Eko akaanzisha kituo cha biashara lililoitwa "Lagos" - kwa Kireno neno hili lamaanisha "maziwa" ni pia jina la mji Lagos katika Ureno ya kusini. Katika karne zilizofuata Lagos pamoja na utajiri wa Oba ilikua kutokana na bishara ya watumwa.
Katika karne ya 19 Waingereza walijaribu kukandamiza biashara hii ya watumwa katika Afrika ya Mashariki . 1841 Oba mpya aliyeitwa Akitoye alipiga biashara ya watumwa marufuku lakini alipinduliwa kwa sababu ya upinzani wa wafanyabiashara wenyeji. Akitoye aliomba usaidizi wa Uingereza. Manowari za kiingereza walishambulia Lagos tar. 26 na 27 Desemba 1852 na kumrudisha mfalme. Matatizo ya biashara ya watumwa yaliendelea na Waingereza walichukua kisiwa cha Lagos na kuifanya kwanza eneo lindwa halafu koloni. Oba alibaki na madaraka machache.
|Makala hii kuhusu maeneo ya Nigeria bado ni mbegu.
|
Je unajua kitu kuhusu Lagos kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
<urn:uuid:ae97ac9b-01ee-4ffd-a3c4-9b2da44182d7>
|
{
"date": "2013-12-10T09:58:29Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-48",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-48/segments/1386164014852/warc/CC-MAIN-20131204133334-00030-ip-10-33-133-15.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9971529841423035,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 38,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9971529841423035}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Lagos"
}
|
Usalama na haki za binadamu bado changamoto Sudan Kusini: UMKusikiliza /
Mkuu wa ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani huko Sudan Kusini, UNMISS Hilde Johnson amesema mwaka mmoja na nusu wa taifa la nchi hiyo umekumbwa na changamoto mbali mbali ikiwemo ukosefu wa usalama na ukiukwaji wa haki za binadamu.
Katika mahojiano maalum na radio ya Umoja wa Mataifa, Bi. Johnson ambaye pia ni mwakilishi maalum wa katibu mkuu huko Sudan Kusini, ametolea mfano kuwa jeshi la polisi la nchi hiyo licha ya kwamba ni kubwa lakini bado halina uwezo wa kudhibiti usalama wa raia.
(SAUTI YA HILDE-Police)
Halikadhalika Mkuu huyo wa UNMISS amesema visa ukiukwaji wa haki za binadamu na unyanyasaji ikiwemo wa waandishi wa habari na wanaharakati vimeongezeka na wamepinga vikali na tayari Rais wa Sudan Kusini amesema hilo si sahihi na wahusika wajirekebishe.
(SAUTI YA HILDE-Rights)
|
<urn:uuid:a259e05c-bc7b-4758-a1f9-19968be2032f>
|
{
"date": "2013-12-13T09:37:03Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-48",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-48/segments/1386164923389/warc/CC-MAIN-20131204134843-00030-ip-10-33-133-15.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9974923729896545,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 29,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9974923729896545}",
"url": "http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2013/02/usalama-na-haki-za-binadamu-bado-changamoto-sudan-kusini-um/"
}
|
Tarehe 10 Julai 2013, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ilitangaza matokeo ya kupangwa Kidato cha 5 wanafunzi waliohitimu kidato cha 4 mwaka 2012. Katika tangazo hilo Wizara iliwahimiza wanafunzi kuripoti katika shule zao walizopangwa kabla ya tarehe 29 Julai 2013. Baada ya tangazo hilo, Wizara imepokea maombi ya wanafunzi wanaotaka kubadili shule au machaguo (combinations) walizopangwa kwa sababu mbalimbali. Wizara imetafakari maombi hayo na kufanya mabadiliko ya shule/machaguo kwa wanafunzi wenye sababu zifuatazo:
Waliopangwa shule za kutwa mahali ambapo hawana pa kuishi;
- Waliopangwa mbali sana kutoka sehemu wanazoishi;
- Walio wagonjwa wanaohitaji kuwa karibu na hospitali;
- Walioomba kuhamia shule za kutwa kwa sababu za kiuchumi;
- Walioomba kubadili ‘combinations’ ambazo hazipo katika shule walizopangwa awali
Wakuu wa shule wanaelekezwa kuwapokea wanafunzi hawa katika shule hizo mpya na kuwasiliana na wakuu wa shule walizopangwa awali ili wawatumie ‘Sel form’ za wanafunzi hawa. Aidha, mnatakiwa kuhakiki uhalali wa kila mwanafunzi mnayempokea kwa kutumia orodha ya majina yaliyomo katika tovuti pamoja na Result Slip za wanafunzi hao.
Wizara inawaagiza wanafunzi wote waliokubaliwa kubadilishiwa shule/combinations ambao taarifa zao zipo kwenye tovuti waripoti mara moja katika shule hizo. Wizara haitatoa barua kwa mwanafunzi yeyote. Aidha kuanzia sasa Wizara haitapokea maombi yoyote ya kubadilisha shule/combinations. Endapo yatakuwepo maombi yo yote yafuate utaratibu wa kawaida wa uhamisho kupitia kwa wakuu wa shule.
Imetolewa na
KATIBU MKUU
WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI
|
<urn:uuid:7c657063-b48c-471b-bf50-3b0990a88645>
|
{
"date": "2013-12-12T04:13:28Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-48",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-48/segments/1386164452243/warc/CC-MAIN-20131204134052-00036-ip-10-33-133-15.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.976470410823822,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 1,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.976470410823822, \"swc_Latn_score\": 0.019641751423478127}",
"url": "http://www.wavuti.com/4/post/2013/08/majina-ya-wanafunzi-wa-kidato-cha-tano-waliobadilishiwa-shulemachaguo-2013.html"
}
|
Pasta
Aina ya pasta inayofahamika zaidi ni spaghetti. Lakini kuna aina nyingi za pasta.
Chanzo cha pasta hufanana kiasi na ugali yaani unga (wanga) unakorogwa na maji isipokuwa maji ni baridi. Kinyunga kinachotokea ni imara sana hukatwa kwa vipande vidogo venye maumbo mbalimbali na kupikwa kama vipande vya pekee. Kama pasta imekauka inatunzwa kwa muda mrefu hauozi na inapikwa haraka. Madukani inauzwa kama pasta kavu.
Kuna namna nyingi za kubadilisha kinyungo asilia kwa kuongeza mayai, mafuta, jibini na vingine ndani yake.
Utamu wa chakula cha pasta unakuja pamoja na mchuzi au supu zake.
Chanzo cha pasta iko katika Italia lakini zimeenea kote duniani. Ila tu hadi leo Italia ni nchi yenye aina nyingi za pasta hizi. Tambi za kufanana lakini kwa namna tofauti zinatoka katika Asia ya Mashariki.
Zinazojulikana kimataifa ni kwa mfano:
Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]
- www.archimedes-lab.org :: Pasta shapes – history and a pasta shapes list
- www.food-info.net :: Pasta shapes – a well-illustrated list
- www.lifeinitaly.com :: History of Pasta – includes pictures of how pasta is made.
- Information about Italian Pasta
|Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu.
|
Je, unajua kitu kuhusu Pasta kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
<urn:uuid:bb2fcd84-22db-478c-9dc8-40477b8d0b9c>
|
{
"date": "2014-03-07T11:34:18Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-10",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-10/segments/1393999642306/warc/CC-MAIN-20140305060722-00083-ip-10-183-142-35.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9924490451812744,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 70,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9924490451812744}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Pasta"
}
|
Hollywood, Florida
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
- Tazama pia Hollywood, California
|Hollywood|
|Anwani ya kijiografia:|
|Nchi||Marekani|
|Jimbo||Florida|
|Wilaya||Broward|
|Idadi ya wakazi|
|-||141,740|
|Tovuti: http://www.hollywoodfl.org/|
Hollywood ni mji wa Marekani katika jimbo la Florida. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2008, mji una wakazi wapatao 141,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 3 kutoka juu ya usawa wa bahari. Eneo lake ni 71 km².
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
|Makala hii kuhusu maeneo ya Florida bado ni mbegu.
|
Je unajua kitu kuhusu Hollywood, Florida kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
<urn:uuid:2f914f34-57d2-4c70-b150-21ebee12e7f6>
|
{
"date": "2014-03-09T13:04:25Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-10",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-10/segments/1393999678556/warc/CC-MAIN-20140305060758-00083-ip-10-183-142-35.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.996301531791687,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 62,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.996301531791687}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Hollywood,_Florida"
}
|
Kitibea
Kitibea ni lugha ya Kibantu nchini Kamerun inayozungumzwa na Watibea. Mwaka wa 1992 idadi ya wasemaji wa Kitibea imehesabiwa kuwa watu 1400 katika vijiji vitatu tu. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kitibea kiko katika kundi la A50.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
|Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
|
Je, unajua kitu kuhusu Kitibea kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
<urn:uuid:3a5a2b9b-baaa-4244-b453-3dace04c371c>
|
{
"date": "2014-03-10T11:50:42Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-10",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-10/segments/1394010776091/warc/CC-MAIN-20140305091256-00083-ip-10-183-142-35.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9970126748085022,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 82,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9970126748085022}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Kitibea"
}
|
Siku ya watu asili yaadhimishwa BurundiKusikiliza /
Agosti 9 ulimwengu huadhimisha siku ya kimataifa ya watu asili. Watu hao wamekuwa wanakumbana na changamoto nyingi za kuwa staawisha katika jamii wanamoishi na kukubalika kama wananchi katika mataifa yao asili. Moja mwa sehemu ambako wanashuhudiwa kwa wingi watu hao asili ni katika eneo la maziwa makuu.Wawakilishi wa jamii hizo za watu asili wamekutana wiki hii mjini Bujumbura kupaza sauti kushinikiza uwakilishi katika taasisi za maongozi ya taifa, kama sehemu ya jitihada ya kutaka kusikilizwa kero zao.
Ili kujua mengi zaidi kuhusiana na watu hao asili, Muandishi wetu wa Maziwa Makuu Ramadhani KIBUGA ametuandalia makala haya akiwa mjini Bujumbura. Karibu ungana naye.
|
<urn:uuid:6fdbb965-95a9-4206-a217-cc6c0cde0dc3>
|
{
"date": "2014-03-11T02:06:12Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-10",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-10/segments/1394011090254/warc/CC-MAIN-20140305091810-00088-ip-10-183-142-35.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9840752482414246,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 27,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9840752482414246, \"swc_Latn_score\": 0.010125690139830112}",
"url": "http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2013/08/siku-ya-watu-asili-yaadhimishwa-burundi/"
}
|
LE MUTUZ LIVE WITH MABEBS WA UKWELI AT THE CH ..
LE MUTUZ LIVE WITH MABEBS WA UKWELI AT THE CHURCH KIBOROLONI/MOSHI!!
LE MUTUZ with Mabebs wa Ukweli few minutes ago at Kiboroloni Church in Moshi: From left is Super Star Bea John from USA, Super Loveness Iron Lady DMV\' CCM Chairman Super Star Clara from South Africa!! Kama vipi ni Mabebs wa Ukweli hapajatosha leo hapa!! cause walikuja wamejipanga!!
|
<urn:uuid:9e5e0437-382f-418c-97bd-7603811c9fbe>
|
{
"date": "2014-03-12T13:04:09Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-10",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-10/segments/1394021767149/warc/CC-MAIN-20140305121607-00091-ip-10-183-142-35.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.8676866292953491,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 27,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.8676866292953491, \"eng_Latn_score\": 0.031161077320575714, \"ssw_Latn_score\": 0.026456834748387337, \"run_Latn_score\": 0.021345308050513268}",
"url": "http://m.gushit.com/viewbookmark/le_mutuz_live_with_mabebs_wa_ukweli_at_the_church_kiboroloni_moshi_.html"
}
|
Aaron Ciechanover
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Aaron Ciechanover (amezaliwa 1 Oktoba 1947) ni mwanabiolojia kutoka nchi ya Israel. Hasa alichunguza kuyeyusha kwa protini. Mwaka wa 2004, pamoja na Avram Hershko na Irwin Rose alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.
|Makala hii kuhusu mshindi wa Tuzo ya Nobel bado ni mbegu.
|
Je, unajua kitu kuhusu Aaron Ciechanover kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
<urn:uuid:ef20777d-dbf8-47ea-b7bc-0352f0848f7a>
|
{
"date": "2014-03-07T14:59:33Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-10",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-10/segments/1393999645327/warc/CC-MAIN-20140305060725-00084-ip-10-183-142-35.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9881908893585205,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 76,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9881908893585205}",
"url": "https://sw.wikipedia.org/wiki/Aaron_Ciechanover"
}
|
Jina limetokana na Vitus Bering aliyekuwa Mdenmark katika urumishi wa Kaisari wa Urusi aliyevuka mlnago huu mwaka 1728.
Maeneo kando la mlango Bering pande zote mbili yana watu wachache kwa sababu ya mazingira baridi.
Kufuatana na nadharia za wataalamu wa historia hapa palikuwa mahali pa kuvuka kwa watu wa kwanza kutoka Asia kwenda Amerika. Inafikiriwa ya kwamba wakati wa Enzi ya Barafu miaka 10,000 iliyopita mlango ulikuwa kavu ukapitika kwa miguu.
|
<urn:uuid:1997b0bc-dd2a-4c24-9f7f-ee661d8290b9>
|
{
"date": "2014-03-12T12:14:22Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-10",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-10/segments/1394021762714/warc/CC-MAIN-20140305121602-00084-ip-10-183-142-35.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9871470928192139,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 47,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9871470928192139, \"swc_Latn_score\": 0.010902932845056057}",
"url": "https://sw.wikipedia.org/wiki/Mlango_wa_Bering"
}
|
18 February 2013
Serikali kuboresha TBS
Na Grace Ndossa
SERIKALI imesema kuwa inaangalia uwezo wa kuboresha Shirika la viwango Tanzania ili waweze kufanya kazi kwa ubora na umahiri unaotakiwa.
Kauli hiyo imetolewa na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS)Bw.Leandri Kinabo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari wakati Maseneta na Wawakili wa bunge la Nigeria walipotembelea TBS.
Alisema kuwa lengo la masenata hao pamoja na wawakili ni kujifunza sheria mpya ya TBS inapofanyakazi na namana wanapodhibiti bidhaa ambazo hazina viwango.
"Masenata na wawakilishi wa bunge la Nigeria walikuja kwa lengo la kubadilishana uzoefu pamoja na kujifunza njia mbali mbali wanazotumia katika kudhibiti viwango vya ubora wa bidhaa hapa nchini,"alisema Bw. Kinabo.
Naye Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la viwango wa Nigeria Dkt.Joseph Odumodu alisema kuwa lengo la ziara ya siku tatu ya masenata na wabunge wa nigeria ni kujifu7nza pamoja na kuimarisha ushirikina baina ya nchoi moja na nyingine.
Pia alisema Tanzania ni nchi mojawapo inayofanya vizuri katika kudhibiti viwango vya ubora na nchi nyingine ni Ethiopia pamoja na Kenya ambazo watatembelea na kupata mbinu mbali mbali za kudhibiti bidhaa feki zinazoingizwa nchini.
Hata hivyo alisema kuwa wanaangali ni kwa jinsi gani watashirikiana katika kufanya biasahara na kudhibiti uborawa viwango vya bidhaa zinazozalishwa ili ziwezekuwa na viwango sawa.
|
<urn:uuid:b26cc955-5821-4876-aba4-c9fe81d3a1a2>
|
{
"date": "2014-03-12T03:39:40Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-10",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-10/segments/1394021278114/warc/CC-MAIN-20140305120758-00089-ip-10-183-142-35.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9946208000183105,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 38,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9946208000183105}",
"url": "http://majira-hall.blogspot.com/2013/02/serikali-kuboresha-tbs.html"
}
|
ajira mpya
Ajira mpya za walimu 2014\2015, Walimu kumwagiwa ajira 26,000 januari serikali imetangaza kutoa ajira mpya 26,000 za walimu kuanzia januari mwakani [2014], ikiwa ni mpango endelevu wa kupunguza. Ajira mpya jeshi la polisi - jamiiforums, Jeshi la polisi latangaza nafasi za mafunzo kwa undergraduate wanaomaliza mwaka huu anayejisikia anatakiwa ku download fom na kutuma. Document details | tangazo kuhusu ajira mpya ya walimu, Property: value: name: tangazo kuhusu ajira mpya ya walimu awamu ya pili: description: filename: tangazo kuhusu ajira mpya ya walimu awamu ya pili.pdf.
Matukio na wanavyuo: ajira mpya za walimu katika ngazi, Bofya hapa kutazama matokeo ya kidato cha nne bofya hapa kutazama matokeo ya kidato cha nne bofya hapa kutazama matokeo ya kidato ch. Jobs in tanzania - pata ajira in tanzania, Search and apply for the latest jobs in tanzania. new job listings posted daily. explore pata ajira with top companies recruiting in tanzania.. Nafasi mpya za kazi tanesco - ajira zetu, The tanzania electric supply company (tanesco) is focusing on increasing the outreach and service quality of its energy products for tanzanian people..
|
<urn:uuid:b3b5726a-2678-452f-b273-e726f7b3c08c>
|
{
"date": "2014-03-16T04:43:30Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-10",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-10/segments/1394678701207/warc/CC-MAIN-20140313024501-00091-ip-10-183-142-35.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9940254092216492,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 1,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9940254092216492}",
"url": "http://unladylikebehavior.com/2012/09/21/ajira-mpya/"
}
|
Hawthorne, California
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
|Hawthorne|
|Anwani ya kijiografia:|
|Nchi||Marekani|
|Jimbo||California|
|Wilaya||Los Angeles|
|Idadi ya wakazi|
|-||100,754|
|Tovuti: http://www.hermosabch.org/|
Hawthorne ni mji wa Marekani katika jimbo la California. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2005, mji una wakazi wapatao 100,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 22 kutoka juu ya usawa wa bahari. Eneo lake ni 16 km².
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
|Makala hii kuhusu maeneo ya California bado ni mbegu.
|
Je unajua kitu kuhusu Hawthorne, California kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
<urn:uuid:60338a93-eecc-4b30-b3ed-c487d3846cb3>
|
{
"date": "2014-03-07T18:41:27Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-10",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-10/segments/1393999650254/warc/CC-MAIN-20140305060730-00084-ip-10-183-142-35.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9938328266143799,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 66,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9938328266143799}",
"url": "https://sw.wikipedia.org/wiki/Hawthorne,_California"
}
|
Nadhani itakuwa kwa manufaa ya wasomaji kutizama kwa umakini hadithi isemayo kwamba vita ya Marekani ya wenyewe kwa wenyewe ilitokea kwa lengo la kuwakomboa watumwa. Ni ngano ambayo iliyobuniwa na haina uhusiano wowote na hali halisi ya ukweli. Nina nukuu hapa kutoka kwenye sura ya 22 ya “Lincoln, the Unkown” kilichoandikwa na mwandishi wake maarufu Dale Carnegie.1 Anaanza na maneno haya: - “Muulize raia wa kawaida wa Kimarekani leo kwa nini Waamerika walipigana vita ya wenyewe kwa wenyewe, atakacho kuambia ni kwamba, ‘Kuwakomboa watumwa.’ “Ni kweli hivyo?”
“Hebu tuangalie. Hapa ni sentenso ambayo imechukuliwa kutoka kwenye hotuba ya kwanza ya Lincoln ya kuzindua urais wake. ‘Sikusudii kuingilia kati, taasisi ya utumwa, moja kwa moja au kuzunguuka kwenye majimbo ambayo utumwa bado upo. Nina amini sina haki ya kisheria kufanya hivyo, na sipendelei kufanya hivyo.”
Ukweli ni kwamba mzinga ulikuwa unanguruma na majeruhi wanatoa sauti ya kulemewa kwa takribani miezi kumi na nane kabla Lincoln hajatoa tangazo la “Ukombozi wa watumwa.”
Wakati wote huo watu wenye msimamo Mkali na Watetezi wa kukomesha utumwa walimsihi achukue hatua haraka, walimshambulia kupitia kwenye magazeti na kumshutumu kwenye majukwaa ya mikutano.
“Wakati mmoja ujumbe wa mawaziri wa Chicago ulikwenda Ikulu ya Marekani na kile walichokitangaza kwamba ilikuwa ni amri ya moja kwa moja kutoka kwa Mungu Mweza wa Yote kuwaachia watumwa kuwa huru haraka sana. Lincoln aliwaambia kwamba alidhani kwamba kama Mweza wa Yote alikuwa na ushauri wowote wa kutoa, Angekuja moja kwa moja makao makuu na ushauri huo, badala ya kuwasilisha kwa mzunguuko wa kupitia Chicago.”
Zaidi ya hayo, Dale Carnegic anaendelea kunukuu kutoka kwenye jibu la Lincoln alipojibu makala ya Greedy, ‘The Prayer of Twenty million.’(‘Sala ya milioni ishirini).
“Kusudio langu kubwa katika mapambano haya ni kuokoa Muungano, na wala si kuokoa au kukomesha utumwa. Kama ningeokoa Muungano bila kumpa uhuru mtumwa hata mmoja, ningefanya hivyo; na kama ningeokoa Muungano kwa kuwapa uhuru wa watumwa wote ningefanya hivyo, na kama ningeuokoa Mungano kwa kuwapa uhuru baadhi yao na kuwaacha wengine, pia ningefanya hivyo.
Ninachofanya kuhusu watumwa na machotara, ninafanya hivyo kwa sababu ninaamini inasaidia kuokoa Muungano, na kile ninachovumilia, ninavumilia kwa sababu siamini kama ingesaidia kuokoa Muungano. Sitafanya yote wakati wowote nitakapoamini kile ninachokifanya kitadhu- ru lengo; na nitazidisha juhudi nitakapoamini kufanya hivyo itasaidia lengo.”
Akifafanua jibu hilo Dale Carngie anaandika: “Majimbo manne yamebakia na watumwa pamoja na Kaskazini, na Lincoln alitambua kwamba kama angetoa tangazo la “ukombozi wa watumwa” mapema mno katika mzozo huu, angewafukuzia kwenye Shirikisho, kuimarisha kusini, na pengine kuvunja Muungano daima milele. Palikuwepo na methali wakati huo ambayo Lincholn angependa kuwa na Mungu Mweza wa Yote upande wake, lakini lazima aipate Kentucky.
“Hivyo alisubiri wakati mzuri, na kufanya mambo kwa tahadhari”
“Lincoln mwenyewe alioa kwenye familia yenye kumiliki watumwa, ya Jimbo la mpakani. Sehemu fulani ya fedha ambayo mke wake Lincoln alipokea ilitoka kwenye urithi wa shamba la baba yake ambayo ilitokana na mauzo ya watumwa. Na rafiki mmoja tu wa karibu sana na wa kweli ambaye Lincoln alikuwa naye, alikuwa Joshua Speed ambaye alitoka kwenya familia yenye watumwa. Lincoln aliwahurumia watu wa Kusini kwa maoni yao. Kwa upande mwingine, alikuwa na desturi ya kumshehimu mwanasheria Mkuu kuhusu Katiba na sheria na rasilimali. Hakutaka kusababisha shida kwa mtu yeyote. (ila kwa watumwa)
“Lincoln aliamini kwamba majimbo ya kaskazini yalistahili kulaumiwa sana kwa kuendelea kuwepo kwa utumwa “Marekani (U.S.A)” kama ilivyo huko kwenye majimbo ya Kusini; na kwamba kuliondoa tatizo hilo, sehemu zote lazima zivumilie mzigo sawa kwa sawa. Kwa hiyo hatimaye alitengeneza mpango ambao ulikuwa karibu sana na moyo wake. Kwa mujibu wa mpango huo, wamiliki wa watumwa waliokuwa kwenye mipaka ya majimbo yenye uaminifu walipewa dola mia nne kwa kila Mtu Mweusi. Watumwa walitakiwa kuachiwa huru polepole, polepole sana.
Mlolongo wa mambo haya haukutakiwa kumalizika kikamilifu hadi Januari 1, 1900. Lincoln aliwaita wawakilishi kutoka kwenye Majimbo ya mipaka wamuone huko Ikulu White House, akawasihi wakubali pendekezo lake.
“Lincoln alihoji na kusema, mabadiliko yaliyomo kwenye pendekezo lake, yanakusudiwa kuja polepole kama umande unavyo dondoka kutoka mbinguni, bila kupokonya au kuvunja matarajio ya watu. Kwa nini msikubali pendekezo hili? Mambo mengi sana mazuri bado hayajafanyika kwa jitihada moja, katika wakati wote uliopita, kama ilivyo katika upaji wa Mungu sasa hivi ni upendeleo wenu wa juu kutekeleza. Muda mwingi ujao na upana wake usije ukalalamika kwamba ulipuuzia jambo hili.”
Msomaji angekumbuka kwamba mpango huu wa kuwapa watumwa uhuru “kwamba ulikuwa karibu mno na moyo wake Lincoln” ulikuwa sawa na mpango ambao tayari ulik- wisha wekwa na kutekelezwa miaka 1300 iliyopita katika Uislam na ambao ulitoa matokeo ya kushangaza katika ulimwengu wa Kiisilamu. Kama mpango huo ungekubaliwa na ndugu zake Lincoln, hapange kuwepo na chuki kubwa baina ya mataifa, migongano ya ndani, mageuzi ya kijamii na udhaifu wa hisia ambao bado unaendelea kuwepo nchini Marekani (U.S.A.) karne moja baada ya kile kilichoitwa Ukombozi wa watu weusi (Emancipation of Negroes).
Bahati mbaya, wawakilishi wa Majimbo hayo yaliyokuwa yanapakana walikataa mpango huo. Carnegie anasema, “Lincoln mara moja alikasirika sana. Lazima niiokoe serikali hii, kama inawezekana, alisema na inaweza ikaeleweka, kwa mara zote, kwamba sitakubali kuacha mchezo huu, na kuacha kadi yoyote ile ipatikanayo iwe haijachezwa….Ninaamini kwamba kuwapa uhuru watumwa na kuwapa silaha watu weusi sasa imekuwa jambo la msingi na muhimu kivita. Nimesukumwa kwenye uchaguzi ama kutekeleza hilo au kuuwachia) Muungano (usambaratike).
“Ilibidi Lincoln ashughulike haraka, kwani Ufaransa na Uingereza walibakia kidogo watambue Shirikisho. Kwanini? Sababu zilikuwa rahisi. Tuchukue mfano wa Ufaransa kwanza.”
Napoleon wa III alikuwa mfalme wa Ufaransa. Alikuwa na shauku kubwa ya kutaka utukufu wa mamlaka ya utawala, kama alivyokuwa ami yake mtukufu, Napoleon Bonaparte, alivyo fanya. Kwa hiyo, alipoona majimbo yanapigana, na alitambua kwamba walikuwa na shughuli nyingi mno kuweza kufikiria kuhusu utekelezaji wa sheria ya “Momoe Doctrine,” aliamuru jeshi kwenda Mexico, huko likaua wazalendo elfu kadhaa, likashinda nchi, ikaitwa Mexico iliyo chini ya himaya ya Ufaransa, na likamweka Archduke Maximilian kukalia kiti cha enzi.
“Napoleon aliamini na si bila sababu, kwamba kama kundi linalotaka shirikisho lingeshinda, lingependelea ufalme wake mpya; lakini kama kundi linalotaka shirikisho lingeshinda, United States ingechukua hatua za haraka za kuifukuza Ufaransa huko Mexico. Kwa hiyo, ulikuwa ni upendeleo wake Napoleon, kwamba Kusini ifaulu kujitenga, na alitaka kuisaidia kutekeleza kujitenga huko kwa kadiri ya uwezo wake.
Mwanzoni mwa vita, jeshi la majini la Kaskazini lilifunga bandari zote za Kusini, bandari 189 zikawa chini ya ulinzi wao na walifanya doria kwenye eneo la maili 9,614 za uwanda wa pwani, njia nyembamba za maji zinazounganisha bahari na zinazounganisha bahari na maziwa, vinamasi na mito. Hiki kilikuwa kizuizi kikubwa mno ambacho ulimwengu haujapata kuona. Kundi lililotaka Muungano lilikuwa lina haha.
Halikuweza kuuza pamba yake, wala kuweza kununua bunduki, risasi, viatu, madawa au chakula. Watu hawa walianza kuchemsha karanga na mbegu za pamba kuwa mbadala wa kahawa, na walianza kuchemsha majani ya miti ya matunda mithili ya mibuni na kuchuja maji yake na kuwa mbadala chai. Magazeti yalianza kuchapishwa kuwekwa kwenye matangazo. Nyumba zenye sakafu za udongo na zenye kufuka moshi, zililoweshwa dabwa dabwa kwa mafuta ya wanyama, zikachimbuliwa na kuchemshwa ili kupata chumvi.
Kengele za makanisa ziliyeyushwa na kutiwa katika mizinga. Reli za magari madogo mitaani katika mji wa Richmond zilikatwa katwa na kufanywa silaha katika mashua za kivita zenye bunduki.
Watu wa Muungano hawakuweza kuzifanyia matengenezo reli zao au kununua vifaa vipya, kwa hiyo usafiri ulibakia kidogo sana; nafaka ambayo ilinunuliwa kwa dola mbili, pishi tisa huko Geogia, ilinunuliwa kwa dola kumi na tano Richmond. Watu waishio Virgini walikuwa wanashinda na njaa.
Ilibidi utaratibu fulani ufanywe haraka sana. Kwa hiyo, Kusini walikubali kumpa Napoleon wa III dola milioni 12 kama angeutambua Muungano na atumie meli za Kifaransa kuondoa kizuizi. Kwa upande mwingine, waliahidi kumzidishia nguvu kwa amri ambayo ingeanzisha moshi kwenye kila kiwanda huko Ufaransa usiku na mchana.
Kwa hiyo Napoleon akazisihi Urusi na Uingereza kuungana naye katika kuutambua Muungano. Utawala wa makabaila uliokuwa madarakani, wahusika wake waliweka sawa miwani zao, wakanywa toti kadhaa za Scotch Whisky, na wakasikiliza kwa hamu kubwa mazungumzo ya awali ya Napoleon. Marekani (U.S.A.) ilianza kutajirika sana na kuwa na uwezo mkubwa wa kuwaridhisha, Walitaka kuona taifa linagawanyika, Muungano unavunjika. Kwa upande mwingine, walitaka pamba ya Kusini. Viwanda kadhaa vya Uingereza vilifungwa, na watu milioni moja hawakuwa tu hawana kazi, bali pia kuwa fukara na kushuka chini kuwa omba omba halisi.
Watoto walikuwa wanalia njaa, mamia ya watu walikuwa wanakufa kwa sababu ya njaa. Michango ya raia kwa ajili ya kununua chakula cha wafanya kazi wa Uingereza ilichukuliwa na kupelekwa kwenye vijiji vya ndani kabisa ya dunia hata India ilioko mbali sana na China ambayo ilibanwa na umasikini. Palikuwepo na njia moja, na njia moja tu, kwamba Uingereza ingeweza kupata pamba na hiyo ilimaanisha waungane na Napoleon III katika kuutambua Muungano na kuondoa kizuizi.
“Kama hilo lingefanyika, nini kingetokea Marekani? Kusini wangepata bunduki, baruti, mkopo, chakula vifaa vya njia ya reli, na msaada mkubwa sana wa hali na mali.
“Na Kaskazini wangepata nini? Wangepata maadui wawili wapya na wenye nguvu. Hali hiyo kuwa mbaya kiasi hicho sasa, hapangekuwepo na matumaini.
“Hakuna aliyejua hilo vizuri zaidi kumzidi Abraham Lincoln. “Ni kama vile tumecheza kadi yetu ya mwisho’, aliungama hivyo katika mwaka 1892. Ama lazima tubadili mbinu zetu au tukubali kushindwa mchezo.’
Kama ilivyoona Uingereza, makoloni yote yalikwisha jitoa kutoka kwenye utawala wake tangu mwanzo. Sasa makoloni ya Kusini nayo yamekwishajitoa kutoka makoloni ya Kaskazini; na Kaskazini ilikuwa inapigana kuilazimisha na kuitiisha Kusini. Je, pangekuwa na tofauti gani kwa mtu wa kawaida huko London au mwana mfalme huko Paris kama Tenessee na Texas zingetawaliwa kutoka Washington au Richmond? Hakuna. Kwao vita haikuwa na maana yoyote na yenye kuleta hatari bila madhumuni ya maana.
‘Nilikuwa sijapata kuona vita imepamba moto kama hiyo katika uhai wangu’, aliandika Carlyle, ‘iliyokuwa inaonekana zaidi kama ya kipumbavu.
Lincoln aliona kwamba msimamo wa Ulaya kuhusu vita hiyo lazima ubadilike, na alijua jinsi ya kufanya. Watu milioni moja huko Ulaya walikwisha soma “Uncle Toms Cabin” walikisoma kisa hicho na wakalia na wakajifunza kuchukia michomo ya moyo na udhalimu wa utumwa. Kwa hiyo Abraham Lincoln alitambua kwamba kama angetoa tangazo lake la “ukombozi wa watumwa”, watu wa Ulaya wangeiona vita kwa namna tofauti. Haingekuwa tena ugomvi wa kumwaga damu kwa sababu ya kudumisha Muungano ambao haukuwa na maana yoyote kwao. Badala yake, ingetukuzwa kuwa vita takatifu ya kutokomeza utumwa. Serikali za Ulaya hazingeitambua Kusini. Maoni ya watu hayangestahamili kuwasaidia watu ambao wanapi- gana kwa lengo la kuendeleza utumwa wa kibinadamu.
Hatimaye, kwa hiyo, mnamo Julai, 1862, Lincoln akiwa amedhamiria kutoa tangazo lake, lakini McClellan na Papa mnamo siku chache za nyuma waliliongoza jeshi la Kusini kwenye fedheha ya kushindwa mara kadhaa. Seward alimwambia Rais kwamba muda huo haukuwa mwafaka, hivyo angelazimika kungoja na kutoa tangazo kwenye kilele cha ushindi wao.
“Ushauri huo ulionekana wa hekima. Kwa hiyo Lincoln akangojea na miezi miwili baadaye ushindi ukapatikana.”
Na kwa hiyo, kuendeleza Vita ya Muungano, tangazo la “Ukombozi wa Watumwa” lilichapishwa mnamo Septemba 1862, ambalo lilitakiwa lianze kutekelezwa tarehe Moja, Januari 1863.
Ninampa Abraham Lincoln heshima ya juu sana na amekuwa mmoja wapo wa mashujaa ninao wapenda tangu nilipokuwa mdogo. Lakini heshima hiyo msingi wake ni kwenye ukweli na hali halisi, si kwenye mambo ya kubuniwa. Lincoln alikuwa na ubinadamuna, na yeye, kutoka ndani ya moyo wake alikuwa dhidi ya utumwa. Lakini haina maana kwamba tumtukuze kwa propaganda za uwongo. Uhalisi wa jambo hili ni kwamba hakupigana vita ya wenyewe kwa wenyewe kwa lengo la kuwapa watumwa uhuru, kwa usahihi zaidi aliwapa watumwa uhuru kwa lengo la kushinda vita na kuokoa Muungano.
|
<urn:uuid:54ad2d40-3af7-4ff1-abd6-6620b43ad3d6>
|
{
"date": "2014-03-10T17:39:13Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-10",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-10/segments/1394010916587/warc/CC-MAIN-20140305091516-00084-ip-10-183-142-35.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.914442241191864,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 116,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.914442241191864, \"swc_Latn_score\": 0.07468147575855255}",
"url": "http://www.al-islam.org/sw/print/book/export/html/25013"
}
|
|
||
|
Ni kwa nini niamini katika ufufuo wa kristo?
Swali: "Ni kwa nini niamini katika ufufuo wa kristo?"
Jibu:
Ni jambo linalofahamika vizuri sana kuwa hakika kwamba Yesu Kristo alikuwa alinyongwa hadharani katika Uyahudi, katika karne ya 1 Baada ya Yesu kuzaliwa, chini ya Pontio Pilato , kwa njia ya mateso, kwa amri ya Baraza ya Wayahudi. Maelezo ya kihistoria yasiyo ya Mkristo ya Flavius Josephus, Cornelius Tacitus, Lucian wa Samosata, Maimondes na hata Baraza la Wayahudi yanathibitisha ushahidi wa hawali wa Wakristo waelezea tukio hili muhimu ya kihistoria la kifo cha Yesu Kristo.
Kuhusu ufufuo wake, kuna mistari kadhaa ya ushahidi ambayo inatulazimisha kuuamini. Hayati waziri wa kimataifa Bwana Lionel Luckhoo (wa kitabu cha umaarufu cha matukio ya kimataifa jambo lisilo la kawaida mara 245 mfululizo wa tetezi zake za kuachilia huru watuhumiwa wa kesi za mauaji) kwa ufupi shauku Mkristo na kujiamini katika nguvu ya kesi kwa ufufuo wakati yeye aliandika, "Nimetumia zaidi ya miaka 42 kama mwanasheria wakili wa kesi katika mahakama kuu, huku nikionekana katika sehemu nyingi za dunia na bado ninaendelea katika taaluma ya uwakili. Nimekuwa na bahati ya kupata idadi ya mafanikio katika majaribio ya kuwa katika kile kikao cha Mahakama ya rufaa na mimi ninasema bila utata wowote kuwa ushahidi wa ufufuo wa Yesu Kristo ni kweli na wa kukubalika ambao hauachi na nafasi ya shaka."
Jamii ya kidunia yajibu kuhusu ushahidi huo kuwa ule hauna haja ya ahadi zao thabiti kulingana na mbinu ya mtazamo wa hoja. Kwa wale wasio na ufahaamu wa kawaida kuhusu; mbinu yay a vitu vinavyo onekana ni jitihada za binadamu kwa kueleza kila kitu katika suala la sababu za asili na sababu za asili tu. Kama madai ya tukio ya kihistoria yanahitilafiana na maelezo ya asili (kwa mfano, ufufuo wa kimiujiza), wasomi wa kidunia kwa ujumla hulichukulia swala kwa tashwishwi, mbali na ushahidi, bila kujali lazimisha nzuri litakalo kuwepo.
Kwa mtazamo wetu, kama vile utii kwa sababu ya asili bila kujali ushahidi halisi ushahidi mkubwa kinyume na sizo nzuri kwa upendeleo (na hivyo kutosha) uchunguzi wa ushahidi. Tunakubaliana na Daktari Wernher von Braun na wengine wengi ambao bado wanaamini kwamba kulazimisha falsafa maarufu ya maelekezo juu ya ushahidi unaozuia usawa. Au katika maneno ya Daktari von Braun, "Kwa kulazimishwa kuamini hitimisho moja tu ... utakiuka ule usawa wa sayansi yenyewe."
Baada ya kusema hayo, hebu sasa tuchunguza mistari kadhaa ya ushahidi ambao waungua mkono ufufuo.
Mstari wa kwanza wa Ushahidi wa ufufuo wa Kristo
Kwa kuanzia, tumeonyesha ukweli wa shuhuda za ushahidi. Watume Wakristo wa kwanza walitoa mamia ya ushahidi waliouona kwa macho, ambao baadhi yao walinakili kumbukumbu ya uzoefu wao wenyewe. Wengi wa mashahidi hawa kwa makusudi na uthabiti walivumilia mateso ya muda mrefu na kufa kuliko kukataa ushahidi wao. Ukweli huu washuhudia uaminifu wao, wakifutilia mbali uongo kwa upande wao. Kwa mujibu wa rekodi ya kihistoria (kitabu cha Matendo 4:1-17; Barua ya Pliny kwa Trajan wa kumi, 96, nakadhalika) Wakristo wengi wanaweza kukomesha mateso yao tu kwa kukana imani yao. Badala yake, inaonekana kwamba wengi wamechagua kuvumilia mateso na kutangaza ufufuo wa Kristo hadi kifo chao.
Kule kuuawa kwa ajili ya imani, sio jambo la kulazimisha. Haihalalishi imani sana kama inavyo mtibitishia muumini imani yake (kwa kuonyesha uaminifu wake katika njia inayoonekana). Kinachowafanya mashahidi wa kale wa Kikristo kuwa mashujaa ni kwamba walijua kamba kile walichokuwa wanakikiri ni kweli. Wao aidha walimwona Yesu Kristo akiwa hai na baada ya kifo chake au hawakumwona. Hii ni ajabu. Kama hayo yote ni uongo, kwa nini wengi kuuendeleza ingawa mazingira yao hayakuwa mazuri? Kwa nini wao wote huku wakijua kushikamana na uongo usio na faida katika hali ya mateso, kufungwa jela, mateso na kifo?
Mwezi wa tisa (Septemba) 11, 2001, watekaji nyara wa kujitolea muhanga wa mauaji bila shaka waliamini chenye walicho kikiri (kama inavyothibitishwa na nia yao ya kufa kwa ajili yake), lakini hawakuweza kujua kama ni kweli. Wao huweka imani yao katika mila walizozirithid kutoka kwa vizazi vingi. Kwa ulinganisho mwingine, mashujaa wa imani wa zamani wa Kikristo walikuwa kizazi cha kwanza. Aidha wao walikiona chenye walichokitangaza, au wao hawakukiona.
Miongoni mwa ushahidi tukufu uliokiriwa ni wa Mitume. Wao kwa pamoja walipitia mabadiliko yasiyo kataliwa kufuatia madai ya kuonekana kwa Kristo baada ya ufufuo. Mara tu baada ya kusulubiwa kwake, walijificha kwa sababu ya hofu ya kupoteza maisha yao. Kufuatia ufufuo huo waliingia mitaani, kwa ujasiri kutangaza ufufuo licha ya kuongezeka kwa mateso. Ni nini kinachangia mabadiliko yao makubwa na ya ghafla? Hakika hailikuwa faida ya kifedha. Mitume walitoa kila kitu walichokuwa nacho ili wahubiri ufufuo, ikiwa ni pamoja na maisha yao.
Mstari wa pili wa Ushahidi kwa ufufuo wa Kristo
Mstari wa pili wa ushahidi kuhusu kuoka kwa baadhi wasioamini, hasa Paulo na Yakobo. Paulo alikuwa mtekeleshaji wa mateso na vurugu ya kanisa la kwanza. Baada ya kile anachokieleza kuwa kukutana na Kristo aliye fufuka, Paulo alipitia ubadilisho wa haraka kutoka kutesa Kanisa na kuwa mmoja wa watetezi wake. Kama Wakristo wengi wa kwanza, Paulo alipitia mateso umaskini, mateso, kupigwa, kufungwa jela, na kunyongwa kwa ahadi yake imara kwa ufufuo wa Kristo.
Yakobo alikuwa na wasiwasi, ingawa si adui kama Paulo. Kule kukutana na Kristo kunao tuhumiwa baada ya kufufuka kulimgeusha na kuw muumini mwenye msimamo usiotingizika, na kuwa kiongozi wa kanisa la Yerusalemu. Bado tuna kile wasomi kwa ujumla hukubali kuwa mojapo wa nyaraka zake kwa kanisa la kwanza. Kama Paulo, Yakobo kwa hiari aliteswa hadi akafa kwa ajili ya ushahidi wake, ukweli ambao washuhudia uaminifu wa imani yake (angalia kitabu cha Matendo Ya Mitume na Josephus ' Mambo ya Kale ya Wayahudi XX, ix, 1).
Mstari wa Tatu na wa Nne wa Ushahidi kwa ufufuo wa Kristo
Mstari wa tatu na mstari wa nne wa ushahidi kuhusu tangazo la uadui la kaburi tupu na ukweli kwamba imani katika ufufuo alichukua mizizi katika Yerusalemu. Yesu alinyongwa hadharani na kuzikwa katika Yerusalemu. Ingekuwa jambo lisilowezekana kwa imani katika ufufuo wake kuchukua mzizi katika Yerusalemu wakati mwili wake ulikuwa bado katika kaburi ambapo Baraza kuu lingeweza kuufukua, na kuuweka mahali unaweza kuonekana na umma, na hivyo kufunua uongo. Badala yake, baraza kuu waliwatuhumia wafuasi wa Yesu kuwa waliuiba mwili wake, hii inaonekana ni jitihada katika kueleza kupotea kwa mwil wake (na kwa hivyo na kuacha kaburi tupu). Je, sisi tunaelezaje ukweli wa kaburi tupu? Hapa kuna maelezo matatu ya kawaida:
Kwanza, wanafunzi waliuiba mwili. Kama hii ndio kesi, wangejua ufufuo ulikuwa wa uongo. Basi wao hawangekuwa tayari kuteseka na kufa kwa ajili yake. (Angalia mstari wa kwanza wa ushahidi unao onyesha ukweli kuhusu mashahidi wa moja kwa moja.) Wote wanaodai mashahidi waliona matukio kwa macho yao, wangejua kwamba hawakumwona Kristo na hivyo wamstarina uongo. Kwa pamoja wengi wa wanaoshirikiana, hakika mtu angekiri kwamba, ikiwa si kwa kukomesha mateso yake mwenyewe basi angalau kukomesha mateso ya marafiki zake na familia. Kizazi cha kwanza cha Wakristo walifanyiwa ukatili, hasa kufuatia ule moto katika mji wa Roma katika miaka ya 64 Kabla Yesu azaliwe (moto ambayo Niro aliamrisha ali apanue makzi yake kwa ajili ya upanuzi wa nyumba yake, lakini yeye mwenye akawalaumiwa Wakristo wa Roma katika jitihada ya kujiondolea lawama yeye mwenyewe). Cornelius Tacitus kama mwanahistoria ya Kirumi alielezea katika kumbukumbu yake ya Roma (iliyochapishwa tu na kizazi baada ya moto):
"Niro akakazia Wakristo hatia na kuachilia mateso zaidi juu kile kikundi kilichochukiwa kuwa katili, kwa jina walilojulikana kwalo sana na watu ni Wakristo. Kristo, asili ya jina lao, walipata adhabu kubwa mno wakati wa utawala wa Tiberio kwa mikono ya mmoja wa maliwali, Pontio, mkatili mbaya zaidi, kwa muda alikoma kidogo, tena kukatokea maovu katika Uyahudi pekee, chanzo cha kwanza na ubaya, bali hata katika Roma, ambapo mambo yote maovu na ya aibu kutoka kila sehemu ya dunia yalipata kituo na kuwa maarufu. Vile vile, kukamatwa kwa mara ya kwanzakulifanyika kwa wote ambao walikiri, na kisha, juu ya habari zao, umati mkubwa wa watu ulipatikana na hatia, si eti ni kwa ajili ya uhalifu wa kuuchoma mji, kama chuki dhidi ya mwanadamu. Kejeli ya kila aina iltunikwa kwa vifo vyao. Kufunikwa kwa ngozi za wanyama, waliliwa na mbwa na kuuwawa, au walisulubiwa msalabani, au kuangamizwa kwa moto na kuteketezwa, ili watumike kama mwanga wa usiku, wakati mwanga wa mchana uliisha. "(Kumbukumbu, XV, 44)
Niro aliwateketeza Wakristo wakikwa hai ili watumike kama mwanga wa bustani. Hakika mtu angeweza kukiri ukweli chini ya tishio la maumivu kama hilo. Ukweli ni kwamba, ingawa, hatuna rekodi ya Mkristo yeyote wa awali aliyekaana imani ili akomeshe mateso yake. Badala yake, tuna kumbukumbu nyingi za baada ya ufufuo zamamia ya mashahidi walio ona kwa macho yao wakiwa tayari kuteseka na kufa kwa ajili yake.
Kama wanafunzi hakuiba mwili wa Yesu, ni namna gani tunawelezea kaburi tupu? Baadhi ya watu wamependekeza kwamba Kristo alijidai amekufa na baadaye alitoroka kutoka kaburini. Hili ni jambo la kusikitisha. Kwa mujibu wa shuhuda za ushahidi, Kristo alipigwa, aliteswa, na kukwaruzwa, na kupigwa. Alipata uharibifu wa ndani, akapoteza damu, kukosa hewa, na kuchomwa mkuki kwa moyo wake. Hakuna sababu nzuri ya kuamini kwamba Yesu Kristo (au mtu mwingine yeyote kwa sababu ya jambo hili) kuwa Yesu anaweza kuishi kwa tatizo kama hilo la bandia kwa kifo chake, kukaa kaburini kwa siku tatu mchana na usiku bila matibabu, chakula wala maji, kuondoa jiwe kubwa ambalo lilifunika kaburi yake, kuepuka bila kujulikana ( bila kuacha nyuma ya uchaguzi tone la damu ), kushawishi mamia ya mashahidi kwamba alifufuka kutoka wafu, na katika afya njema, na kisha kutoweka bila kuwaeleza. Dhana kama hiyo ni ya kukanganya.
Mstari wa tano wa Ushahidi kwa ufufuo wa Kristo
Hatimaye, mstari wa tano wa ushahidi maalumu wa wale walioshuhudia. Katika hadidhi simulizi zote kuu za ufufuo wanawake wemetunukiwa sifa kama mashahidi wa kwanza na wa msingi. Hii itakuwa uvumbuzi usio wa kawaida jinsi katika tamaduni za kale za Wayahudi na Warumi wanawake walidunishwa sana. Ushuhuda wao ulichukuliwa kuwa si wa maana na kutupiliwa mbali. Kutokana na ukweli huu, kuna uwezekano mkubwa kwamba wahusika wowote wa uongo katika karne ya 1 katika Yudea bila kuchagua wanawake kuwa mashahidi wao wa msingi. Wanafunzi wake wote wa kiume ambao walidai kumwona Yesu akiwa amefufuka, kama wote walikuwa wanadanganya na ufufuo ulikuwa wa kashfa, ni kwa nini wao waliupokea ushuhuda potovu usioweza kuaminika ambao wangeweza kupata?
Daktari William Lane Craig anaeleza, "Wakati unaelewa jukumu la wanawake katika jamii ya karne ya kwanza katika jamii ya Wayahudi, kilicho cha ajabu ni kwamba hii hadithi ya kaburi tupu lazima iwahusishe wanawake kuwa wa kwanza wenye walioigundua kaburi tupu. Wanawake waliwekwa kitika kiwango cha chini sana cha ngazi ya kijamii katika karne ya kwanza ya Wapalestina. Kuna medhali za kirabi ambayo inasema, 'Heri maneno ya Sheria yachomwe kwa moto badala ya kutolewa kwa wanawake ' na ' heri ni mtu yule ambaye watoto wake ni wa kiume, lakini ole wake mtu ambaye watoto wake ni kike.' Ushahidi wa wanawake alichukuliwa kuwa sio wa maan kiwango kwamba hawakuruhusiwa kutumika kama mashahidi wa kisheria katika mahakama ya Sheria ya Wayahudi. Katika mwanga wa hili, ni ajabu kwamba mashahidi wakuu wa kaburi tupu ni hawa wanawake ... kumbukumbu yoyote ile ya baadaye bila shaka ingehuzisha wanafunzi wa kiume kama ndio wa kugundua kaburi - Petro au Yohana, kwa mfano. Ukweli kwamba wanawake ndio mashahidi wa kwanza wa kaburi tupu kwa uwezekano mwingi inaelezwa kwa ukweli kwamba – kama huo au sio - kuwa wao ndio waligundua kaburi tupu! Hii inaonyesha kwamba waandishi wa Injili kumbukumbu kwa uaminifu walinakili kile kilichotokea, hata kama ilikuwa aibu. Hii yazungumza kinyume na historia ya mila hii badala ya hadhi yake ya hadithi." (Daktari William Lane Craig , alinukuliwa na Lee Strobel , Uchunguzi kihusu Kristo, Grand Rapids. Zondervan, 1998, p 293)
Kwa Ufupi
Mistari hii ya ushahidi: usafi unaodhihirishwa na mashahidi wa moja kwa moja (na katika kesi ya Mitume, kulazimisha, mabadiliko yasiyo elezeka), badiliko la ukweli liwezalo thibitishwa la maadui wakuu - na la wenye shaka liliwabadilisha mashujaa wa imani, ukweli wa kaburi tupu, kataa la adui kwa kaburi tupu, ukweli kwamba haya yote yalifanyika katika Yerusalemu, mahali ambapo imani katika ufufuo alianza na ilinawili, ushahidi wa wanawake, umuhimu wa ushahidi kama huo uliotolewa katikia mazingira ya kihistoria; yote haya kwa nguvu yanashuhudia historia ya ufufuo. Tunawahimiza wasomaji wetu kufikiri kwa umakini shuhuda hizi. Je, wao wanapendekeza nini wewe? Baada ya sisi wenyewe kuyatafakari, sisi kwa uthabiti tunathibitisha tamko la msomi Lionel:
"Ushahidi kwa ajili ya ufufuo wa Yesu Kristo ni wa kufutia mno na walazimisha kukubalika kwa ushahidi ambao kwamwe hauaji kabisa hakuna nafasi ya shaka."
Rudi kwa ukurasa wa nyumbani wa Kiswahili
Ni kwa nini niamini katika ufufuo wa kristo?
|
||
|
|
<urn:uuid:a987ed4c-3cf1-4ed1-87a0-0daa27f2ff9f>
|
{
"date": "2014-03-11T16:17:22Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-10",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-10/segments/1394011221943/warc/CC-MAIN-20140305092021-00084-ip-10-183-142-35.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9334717392921448,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 66,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9334717392921448, \"swc_Latn_score\": 0.04902201518416405, \"ssw_Latn_score\": 0.010141733102500439}",
"url": "http://www.gotquestions.org/Kiswahili/kwa-nini-uamini-ufufuo.html"
}
|
Mlima Meru
mlima Meru ni mlima wa volkeno na una urefu wa mita 4565(futi 15064) kutoka usawa wa bahari. Mlima huu ni wa tano kwa urefu katika bara la Afrika.
Mlima Meru unapatikana ndani ya Hifadhi ya Arusha ambayo ilianzishwa mwaka 1960 ambapo wanyama pori kuzunguka Maziwa ya Momella na Volcano ya Ngurudoto (Ngurudoto crater) walihifadhiwa na kulinwa katika eneo hili.
Vivutio katika hifadhi hii vinajumuisha volkeno, maziwa, Misitu na wanyama pori kama twiga, tembo, pundamilia, nyati na wengine wengi. Pia kuna ndege wa aina nyingi wakiwemo flamingo, pia misitu katika mlima Meru ni makazi ya nyani.
Kupanda Mlima Meru inachukua siku tatu hadi nne na wakati mzuri wa kupanda mlima ni kuanzia mwezi Juni hadi Februari ambapo mvua zinaweza kunyesha katika mwezi wa Novemba. Na wakati mzuri wa kuona Kilimanjaro kutokea Meru ni mwezi kati ya Desemba na Februari.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
Majarida ya Utalii na maliasili za Tanzania
|
<urn:uuid:17984f27-74b7-423b-a3fb-5197e88e2b71>
|
{
"date": "2014-03-12T15:04:41Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-10",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-10/segments/1394021889832/warc/CC-MAIN-20140305121809-00084-ip-10-183-142-35.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9988340735435486,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 40,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9988340735435486}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Mlima_Meru"
}
|
Uhifadhi wa maji
Uhifadhi wa maji unahusu kupunguza matumizi ya maji na kuchakata maji taka kwa malengo tofauti kama kusafisha, viwanda, kilimo nk
Yaliyomo
Maskani[hariri | hariri chanzo]
Teknolojia ya kuokoa maji ya nyumbani ni pamoja na:
- Vichwa vya mifereji ya kuoga vyenye viwango vya chini vya mtiririko(Low-flow shower heads) (wakati mwingine huitwa vichwa vyenye ufanisi wa kinishati kwani pia zinatumia nishati kidogo, kutokana na kiasi kidogo cha maji kuchemshwa).[onesha uthibitisho]
- Vyoo visivyohitaji nguvu nyingi kusafisha (Low-flush toilets) na vyoo vya kuhifadhi(composting toilets). Hivi vina makubwa katika ulimwengu uliyoendelea, kwani kwa kawaida vyoo vya Magharibi hutumia maji kwa wingi.
- Maji chumvi (maji ya bahari) au maji ya mvua yanaweza kutumika kwa kusafisha vyoo.
- Vipulizi vya faucet, ambayo huvunja mtiririko wa maji kuwa matone faini ili kudumisha "ufanisi wa unyevu" wakati huo ukitumia kiasi kidogo cha maji. Faida ya nyongeza ni kwamba zinapunguza kuruka kwa maji wakati wa kuosha mikono na kuosha sahani.
- Marudio ya matumizi ya maji taka (reuse)) au mifumo ya kuchakata, huruhusu:
- Kuchota maji ya mvua
- Mashine za kusafisha nguo zenye ufanisi wa hali ya juu
- Vifaa vinavyosimamia unyunyi
- Midomo ya mifereji inayojifunga wakati haitumiwa, badala ya kuruhusu a hose kukimbia.
Maji pia inaweza kuhifadhiwa kwa kupanda mimea asili na kwa kubadilisha tabia, kama kufupisha muda bafuni na kutoachilia maji yakitiririka wakati unasafisha meno.
Kibiashara[hariri | hariri chanzo]
Vifaa vingi vya kuokoa maji (kama vyoo vya kusafishwa na maji kidogo) ambayo ni muhimu katika makaazi pia inaweza kufaa katika kuokoa maji katika biashara. Teknolojia zingine za kuokoa maji kibiashara ni pamoja na:
- Sehemu za mkojo zisizo na maji
- Usafishaji magari bila maji
- Faucet za Infrared au zinazoendeshwa na mguu- , ambazo zinaweza kuokoa maji kwa kutumia mitiririko fupi ya maji katika kuosha jikoni au bafuni
- Vifagiomaji vyenye presha, ambavyo vinaweza kutumika badala ya mifereji kusafisha mapito.
- Mifumo wa kurudia mizunguko ya kutengeneza filamu za X-ray
- Vifaa vya kusimamia uenezaji katika minara ya kupoesha
- Vifaa vya kuokoa maji ya mvuke, kwa matumizi ya hospitali, nk
Kilimo[hariri | hariri chanzo]
Kwa unyunyizaji wa mazao ufanisi wa juu kwa maji unamaanisha upunguzaji wa hasara kutokana na uvukizi, mtiririko au kumwagika kwa maji chini ya ardhi. Sahani ya Uvukizi inaweza kutumiwa kubaini kiasi cha maji ya kinachohitajika kunyunyiza ardhi. Unyunyizaji wa gharika, iliyo kongwe na aina ya kawaida, kwa mara nyingi sana hukosa usawa katika usambazaji, kwani sehemu ya shamba hupokea kiasi kinachozidi cha maji ili kutoa wingi wa kutosha kwa maeneo mengine. Unyunyizaji wa kutoka juu, unaotumia mzunguko wa katikati au mifereji inayosonga-upande, inatoa ruwaza sawa zaidi na usambazaji unaweza kudhibitiwa. Unyunyizaji wa drip(tone) ni ghali sana na hautumiwi sana, lakini unatoa matokeo bora katika kufikisha maji kwa mizizi ikiwa na hasara ndogo.
Kama vile kubadilisha mifumo ya unyunyizaji inaweza kuwa ghali kutekeleza, juhudi za uhifadhi mara nyingi hulenga kuongeza ufanisi wa mfumo uliopo. Hii ni pamoja na kutawanya ardhi iliyoshikamana, kujenga kingo za mitaro kuzuia mtiririko, na kutumia unyevu wa udongo na vifaa vya kuhisi mvua kuongezea ratiba ya unyunyizaji.[1]
- Mashimo, ambayo yanachota maji ya mvua inayotiririka na kuitumia kuongezea maji ya ardhini. Hii inasaidia katika malezi ya visima vya maji vya ardhini nk na hatimaye hupunguza mmomonyoko wa udongo unaosababishwa na maji inayotiririka.
- Upunguzaji wenye manufaa yoyote katika upotezaji wa maji, matumizi, au taka;
- Upunguzaji katika matumizi ya maji unawezekana kwa kutekeleza uhifadhi wa maji au hatua za kuongeza ufanisi wa maji; au,
- Mazoea ya usimamizi wa maji ambayo yanapunguza au kuboresha matumizi ya manufaa ya maji. Hatua ya uhifadhi wa maji ni tendo, mabadiliko ya kitabia, kifaa, teknolojia, au kuboreshwa kwa muundo au mchakato unaotekelezwa ili kupunguza hasara, taka, au matumizi ya maji. Ufanisi wa maji ni chombo cha uhifadhi wa maji. Inayopelekea ufanisi zaidi katika matumizi ya maji na hivyo kupunguza mahitaji ya maji. Thamani na ufanisi wa gharama ya hatua ya ufanisi wa maji lazima utathminiwe katika uhusiano wake na madhara yake kwa matumizi na gharama ya maliasili nyingine (kama nishati au kemikali).[2]
Ufanisi wa maji[hariri | hariri chanzo]
Ufanisi wa maji unaweza kuelezwa kama uhitimishaji wa kazi, mchakato, au matokeo na kiasi kidogo cha maji yakinifu, au kiashirio cha uhusiano kati ya kiasi cha maji kinachohitajika kwa kusudi maalumu na kiasi cha maji kinachotumika, kinachochukuliwa au kinachofikishwa.[2]
Lengo na Muundo wa Mtandao wa Chini Kabisa wa Maji[hariri | hariri chanzo]
Ufanisi kigharama wa mtandao wa maji ya chini ni mwongozo wa kiujumla kwa ajili ya kuhifadhi maji ambayo husaidia katika kuamua kiasi cha chini cha maji safi na shabaha ya maji taka katika mfumo wa viwanda au mijini kwa kuzingatia mpangilio wa usimamiaji wa maji yaani inaangazia mbinu zote za kuokoa maji. Mbinu hii inahakikisha kwamba taka kipindi cha kurudisha malipo kilichotamaniwa na aliyeunda kimeridhishwa kwa kutumia mbinu ya Systematic Hierarchial Approach for Resilient Process Screening (SHARPS).
Mbinu nyingine iliyoanzishwa kwa upeo wa kuokoa maji ni mbinu ya uchambuzi wa maji wa pinch. Hata hivyo, mbinu hii inalenga tu kuongeza maji safi na kupunguza maji taka kupitia marudio ya matumizi na uzalishaji upya.
Angalia Pia[hariri | hariri chanzo]
- Amri za Berlin Kuhusiana na Raslimali za Maji
- Biolojia ya uhifadhi
- Maadili ya uhifadhi
- Harakati za uhifadhi
- Ufanisi kigharama wa mtandao wa maji ya chini
- Unyunyizaji naksi
- Harakati za Ecolojia
- Ulinzi wa mazingira
- Uhifadhi wa Makaazi
- Uvukizi wa Sahani
- Upeo wa juu wa kiwango cha maji
- Kilimo endelevu
- Kipimo cha matumizi
- Uchambuzi wa kuteleza kwa maji
- Mita ya maji
- Upimaji wa maji
- Pinch ya maji
- Mpangilio wa usimamizi wa maji
- WaterSense
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
Asili[hariri | hariri chanzo]
- Helmle, Samuel F., "Water Conservation Planning: Developing a Strategic Plan for Socially Acceptable Demand Cont Programs" (2005). Applied Research Projects. Chuo Kikuu cha Jimbo la Texas Karatasi ya 2.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Nakala ya Ufanisi wa Maji, Nakala ya Wataalam wa Uhifadhi wa Maji
- Njia Rahisi za kuhifadhi maji Nyumbani
- Kuhifadhi Maji ndani na Nje ya Nyumba
- Ukame na Njia za Kuokoa maji kutoka Shirika la Msalaba Mwekundu la Uingereza
- Uhifadhi wa Maji ( eneo la mada ya WQIC)
- Muungano kwa Ufanisi wa Maji (AWE)
- H2O Conserve Kihasibu cha Maji
- Water Conserve: Tovuti ya Uhifadhi wa Maji
- maji "Ukame"
- Blue Gold na Maude Barlow
- Maji-itumie vyema
|
<urn:uuid:d84b318a-2389-4c21-b92a-9daa03a273a7>
|
{
"date": "2014-03-08T22:50:35Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-10",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-10/segments/1393999665917/warc/CC-MAIN-20140305060745-00085-ip-10-183-142-35.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9956693053245544,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 62,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9956693053245544}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Uhifadhi_wa_maji"
}
|
NI sahihi kuamini kwamba kasi ya viongozi na wanawachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhamia upinzani hususani Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) inaongezeka.
Kitendo cha wana-CCM kukikimbia chama hicho kilichoanzishwa Februari 5, 1977 hakijaanza kwenye uongozi Rais Jakaya Kikwete. Ni muendelezo uliokuwepo husasun baada ya kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi vya siasa.
Itakumbukwa kwamba wakati wa ukoloni, Tanganyika na Zanzibar zilizoungana Aprili 26, 1964 na kuunda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, zilikuwa katika mfumo wa vyama vingi.
Hata Tanganyika na Zanzibar zilipoungana kuiunda Tanzania iliyopo, vyama vingi vikiwa na sera, dira, malengo na mwelekeo tofauti, vilikuwepo katika pande mbili hizo.
Mwaka mmoja baada ya Muungano, yaani 1965, mfumo wa vyama vingi ‘uliuawa’ kwa mujibu wa sheria, ikiaminishwa kwamba vilishindwa kutekeleza wajibu wake kwa umma.
Hapo Tanzania ikaendelea kuwa yenye mfumo wa chama kimoja cha siasa, hadi ilipofika 1992, hali ikabadilika na kuruhusiwa (kwa mujibu wa sheria) kuanzishwa vyama vingi vya siasa.
Kuanzishwa kwa mfumo huo kuliwafanya viongozi na wanachama wengi wa CCM hasa waliokuwa wanasigana ndani yake kuhusu namna tofauti za uendeshaji na utekelezaji wa majukumu yake, walijiengua na kujiunga ama kuanzisha vyama vya siasa.
Hapo utaona kwamba sehemu kubwa ya walio katika upinzani walitoka CCM. Wakifuata sheria, taratibu na kanuni zilizohalalisha uwepo na utendaji kazi wa vyama hivyo.
Kwa hali hiyo, wimbi la viongozi na wanachama wa CCM wanaokikimbia chama hicho na kujiunga Chadema si la kwanza, lakini kwa namna ya pekee, linafanyika katika taswira inayoonyesha mwelekeo hasi wa chama tawala.
Ikumbukwe pia kwamba hata mwaka 1992 baada ya kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi, viongozi na wanachama mahiri wa CCM, wakiongozwa na aliyewahi kuwa Naibu Waziri Mkuu, Waziri wa Mambo ya Ndani na Waziri wa Kazi na Maendeleo ya Vijana ya Vijana, Augustine Mrema.
Mrema alijiengua CCM na kujiunga NCCR-Mageuzi, hali iliyoonekana kama ‘tsunami’ kwa chama tawala. Mrema hakukaa sana NCCR-Mageuzi kutokana na mgogoro mkubwa wa kisiasa uliobuka ndani ya chama hicho.
NCCR-Mageuzi ikameguka makundi mawili, moja likimuunga mkono Mrema na jingine likiwa upande wa aliyekuwa Katibu Mkuu, Mabere Nyaucho Marando.
Hatimaye Mrema ‘alibwaga manyanga’ akakimbilia TLP, huko pia alifuata na watu ingawa kwa uchache ikilinganishwa na alipotoka CCM na kujiunga NCCR-Mageuzi.
Wimbi la wana-CCM kukihama chama hicho lilikuwa upande wa Zanzibar, wengi wao wakijiunga Chama cha Wananchi (CUF), wakakipa nguvu zaidi na sasa kimebaki kuwa kinara wa upinzani visiwani humo.
Wimbi la kuelekea Chadema
Je, hatua ya wana-CCM kuhamia Chadema hivi sasa, ina maana gani kwa uhai wa chama tawala?
Tangu kundoka kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) mkoa wa Arusha, James Ole Millya kujiunga Chadema, moto huo umesambaa maeneo mengine nchini.
Millya ameondoka na sasa madiwani na wanachama wengine katika maeneo tofauti ya nchi, wanajiengua.
Jambo lililo miongoni mwa yenye msingi wa tofauti kati ya kuhama kulikotokea awali na sasa, ni kwamba CCM ya sasa imegawanyika. Ni chama kimoja chenye makundi mengi yakiwa na malengo na matamanio yanayotofautiana.
Hivyo wanapotokea wanachama wanahama, CCM inakosa uhalali wa kubuni mkakati wa pamoja wa kuwarejesha ama kukomesha hali hiyo. Kwa maana inategemea zaidi mtu ama ofisi inayopaswa kuidhibiti hali hiyo.
Mwenye mamlaka hayo anaweza kuwaona walioondoka na wanaoendelea kuondoka ‘si watu wetu’ bali watu wa kundi lile. Kuondoka kwao kunakuwa faida kwa kundi lake kwa maana ‘kundi adui’ ndani ya chama ndilo limepata pigo.
Upepo wa mageuzi
Mabadiliko ya upepo wa kisiasa yanayoifanya CCM izidi kupoteza udhibiti wa wanachama na viongozi wake, ni miongoni mwa sababu ya kukua kwa wimbi la kukihama chama hicho na kukimbilia Chadema.
Ikumbukwe kwamba awali, kulikuwa na dhana potofu kwamba mafanikio yoyote ya kisiasa hayawezi kupatikana isipokuwa kupitia CCM.
Dhana hiyo ilisakafiwa na matumizi ya nguvu za dola, vitisho na hujumu dhidi ya haki za kidekrasia, kuwafanya watu wabaki ndani ya CCM hata kama hawakipendi chama hicho, hawaguswi na sera ama uongozi wake.
Hapo ndipo yanapokumbukwa matukio kama ya waraka wa aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa CCM, Laurence Gama, alipoandika akitaka majina ya watu waliosaidia upinzani katika Uchaguzi Mkuu wa 1995 ili washughulikiwe.
Kama vile haikutosha, aliyekuwa Waziri Mkuu, Frederick Tluway Sumaye, akimkampenia aliyekuwa mgombea ubunge wa Moshi Vijijini (CCM), Elizabeth Minde, akatangaza kuwa mtu yeyote anayetaka mambo yake yamnyookee, atundike bendera ya CCM.
Wafanyabiashara tofauti zikiwemo za nyumba za wageni, baa, migahawa ya chakula hata kama ziliendeshwa kinyume cha sheria, kanuni na taratibu, walitundika bendera za CCM!
Wasafirishaji kwa njia za barabara na majini, hata kama walibeba bidhaa haramu na zinazohujumu uchumi ama kuhatarisha amani na usalama nchini, walipeperusha bendera za CCM, hawakukuguswa.
Kwa sababu Waziri Mkuu alishantangaza, kwamba anayetaka mambo yake yamnyokee, apeperushe bendera ya CCM.
Lakini hiyo haikuwa katika kuiimarisha CCM, ilikiangamiza chama hicho kwa maana kila jambo ovu na lenye nia ovu, lilifanyika kupitia mgongo wa CCM.
Pengine hata kuimarisha kwa kundi la mafisadi waliojipenyeza hadi ndani ya Baraza la Mawaziri, ni matokeo ya mfululizo wa vitendo hasi vya viongozi wa CCM na serikali.
Hapo ndipo kinapotokea chama mbadala kama Chadema, kikazungumza lugha ya Watanzania, kikawaunganisha Watanzania, kikakemea wanaowahujumu Watanzania na kuahidi kuipigania Tanzania huru itakayowanufaisha Watanzania wote, kinaaminika kwa urahisi.
Ndio maana unapoisoma historia ya mageuzi nchini, Chadema ni chama pekee cha upinzani upande wa Tanzania Bara ambapo mafanikio yake yamekuwa yakiongezeka mwaka baada ya mwaka.
Wameongezeka kwa idadi ya viongozi wa serikali katika ngazi za vitongoji, vijiji na mitaa, wameongezeka kwa viti vya madiwani na ubunge, wameongezeka kwa kuaminiwa na wananchi, wameongezeka kwa ushawishi unaougusa umma mpana.
Hali hiyo umebomoa uwezo wa CCM kuhodhi na kuudhibiti umma, kwamba umma sasa haupo katika kuamini kwamba ili mambo yako yakunyookee, upeperushe bendera ya CCM!
Kwamba ili ushinde katika ngazi ya kitongoji, kijiji, mtaa, kata ama jimbo, lazima uwe umetokana na CCM, si hivyo tena! Kasi ya madaliko imekuwa kubwa, inaonekana kuzidi uwezo wa CCM iliyobaki katika makundi kinzani.
Inapofikia hatua hiyo, busara pekee kwa waliopewa dhamana ya umma kama wabunge na madiwani, ni kuyaelekeza macho na masikio yao kwa umma, kuutambua umma unataka nini na si chama kinataka nini.
Kama chama kinakuwa sehemu ya vikwazo katika kuyafikia matarajio ya umma, haina maana ya kuendelea kuwemo ndani yake, ndio maana wimbi la kuondoka linaongezeka, na watazidi kuondoka.
Wataondoka kama wanaotangaza kuondoka sasa, wakiwa katika nafasi mbalimbali ambazo si rahisi kuushawishi umma uamini kwamba kuhama huko ni kwa sababu ya ‘njaa zao.’
Migogoro isiyofikia ukomo
Tangu wakati na baada ya kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2005 ambapo Rais Jakaya Kikwete aliingia madarakani kwa mara ya kwanza, CCM ilipata mpasuko mkubwa.
Waliokuwa wagombea, wafadhili na washauri wao, walitumia mbinu chafu ya kueneza uongozi wenye kukigawa chama hicho, ili watimize matakwa yao.
Walizusha mambo hata yasiyostahili kuzushwa, kwa maana hayakuwa na ukweli hivyo kukosa uhalali wa kimaadili, isipokuwa kukigawa na kukiangamiza chama hicho.
Mgawanyiko huo ukakua hadi kufikia hatua ya kuundwa Kamati ya Wazee, ikiwa na Mwenyekiti wake, Rais mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi, Abdurrahman Kinana na Pius Msekwa.
Taarifa ya kamati hiyo iliyolenga kubaini chanzo cha mgawanyiko na kupendekeza suluhu yake, haijulikani kama ilitolewa ama imehifadhiwa kwenye makabati ya nyumbani kwa wajumbe ama ofisi za CCM.
Aidha dhana ya kujivua gamba iliyoasisiwa na Rais Jakaya Kikwete, inaendelea kuwa mwiba dhidi ya umoja na mshikamano ndani ya CCM.
Lakini yote kwa ujumla wake, CCM imepoteza nguvu ya udhibiti wa wanachama wake, imepoteza nguvu ya mvuto na kuaminika kwa wananchi, inakimbiwa na huenda ikaendelea kukimbia hasa ifikapo 2015.
|
<urn:uuid:995f4d7b-28e6-4961-9a76-5108db201855>
|
{
"date": "2014-03-09T21:36:31Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-10",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-10/segments/1394010355709/warc/CC-MAIN-20140305090555-00085-ip-10-183-142-35.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9932640194892883,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 124,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9932640194892883}",
"url": "http://www.ippmedia.com/frontend/index.php/2main/frontend/functions/send_email.php?l=40903"
}
|
Soko la Hisa la Dar-es-Salaam
Soko la Hisa la Dar es Salaam ni liko Dar es Salaam, mji mkubwa zaidi nchini Tanzania. Liliunganishwa mnamo Septemba 1996 na ununzi ulianza Aprili mwaka wa 1998; soko hili ni mwanachama wa Shirika la Masoko ya Hisa ya Afrika. Kwa sasa lina makampuni 11 yaliyoorodheshwa. Ununuzi hufanyika kwa muda wa chini ya saa moja kwa kila juma[0].
Orodha ya kampuni zilizorodheshwa[hariri | hariri chanzo]
|Kifupisho||Kampuni||Maelezo|
|1.DAHACO||Dar es Salaam Airports Handling Company||Shughuli za uchukuzi wa angani na majini|
|2.EABL||East African Breweries||Bia, Gin, mvinyo|
|3.KQ||Kenya Airways||Usariri wa ndege|
|4.SIMBA||Tanga Cement||Saruji|
|5.TBL||Tanzania Breweries||Inashirikiana na shirika la South African Breweries|
|6.TCC||Tanzania Cigarette Company||Bidhaa za tumbaku, Sigara|
|7.TOL||Tanzania Oxygen||Oksijeni, Nitrojeni, asetilini, gesi za dawa, vifaa vya kulehemu|
|8.TATEPA||Tanzania Tea Packers||Chai na Kahawa|
|9.TWIGA||Twiga Cement||Saruji|
|10.NICOL||Taifa Investments Company Limited||Uwekezaji|
|11.KCB||Kampuni ya Kenya Commercial Bank||Benki|
- Kampuni za East African Breweries na Kenya Airways zimeorodheshwa kwenye soko la hisa la Uganda Securities Exchange na Soko la Hisa la Nairobi.
- Kampuni ya Kenya Commercial Bank imeorodheshwa pia kwenye soko la hisa la Nairobi, soko la hisa la Uganda Securities Exchange na soko la hisa la Rwanda[1]
Tazama Pia[hariri | hariri chanzo]
- Uchumi wa Tanzania
- Orodha ya masoko ya hisa
- Orodha ya masoko ya hisa barani Afrika
- Masoko ya hisa ya nchi za uchumi mdogo
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Tovuti rasmi ya Soko la Hisa la Dar es Salaam
- Tovuti rasmi ya Soko la Hisa la Dar es Salaam -vidokezo na utafiti wa kampuni zilizoorodheshwa
- Shirikisho la Masoko ya Hisa ya Africa
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
|Makala about stock exchanges bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari.|
|Makala hii kuhusu maeneo ya Tanzania bado ni mbegu.
|
Je unajua kitu kuhusu Soko la Hisa la Dar-es-Salaam kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|Makala African corporation or company bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari.|
|
<urn:uuid:cd227931-72cc-443d-aa6e-27154a5e85d0>
|
{
"date": "2014-03-12T17:53:55Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-10",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-10/segments/1394023862701/warc/CC-MAIN-20140305125102-00085-ip-10-183-142-35.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9981142282485962,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 62,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9981142282485962}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Soko_la_Hisa_la_Dar-es-Salaam"
}
|
Jana Baraza la Mitihani la Taifa lilitangaza matokeo ya mtihani wa taifa wa kidato cha sita wa mwaka 2012 yakionyesha kiwango cha kufaulu ni cha juu, yaani asilimia 87.58 sawa na watahiniwa 46,499 ya watahiniwa 53,255 waliofanya mtuhani huo.
Matokeo hayo yanaonyesha kuwa idadi ya waliofaulu haitofautiani sana mwaka jana ambayo matokeo yalionyesha kuwa waliofaulu walikuwa asilimia 87.24 sawa na wanafunzi 49,653.
Kama ambavyo imekuwa ikidhihirika katika miaka ya hivi karibuni, shule binafsi zimeendelea kufanya vizuri zaidi kuliko shule za serikali, hali inayoonyesha kuwa bado juhudi za serikali kuziwezesha shule za umma hazijazaa matunda ya kutosha.
Mathalan, katika wanafunzi bora watano wa mcheopuo wa sayansi, wanne wanatoka shule binafsi za Marian Girls wanafunzi wawili, Feza Boys’ wanafunzi wawili na mwanafunzi mmoja kutoka Minaki, ambayo ni shule ya serikali.
Hata hivyo, matokeo hayo pia yanaonyesha kuwa katika kundi la shule bora kumi zenye wanafunzi zaidi ya 30, shule za serikali zimefanya vizuri kidogo kwa kutoa shule sita wakati za binafsi zikiingiza shule nne, wakati katika kundi la wanafunzi chini ya wanafunzi 30, hakuna hata shule moja ya serikali, inawezekana ni kwa sababu hakuna shule ya umma yenye wanafunzi wachache.
Kwa ujumla matokeo hayo yanaonyesha kuwa kiwango cha ufaulu kwa masomo ya sayansi ya fizikia, kemia, elimu viumbe na hisabati ni wa chini ikilinganishwa na masomo ya saana ya historia, lugha (Kiingereza na Kiswahili), Jiografia na yale ya biashara, uchumi na uhasibu.
Tunachukua fursa hii kupongeza wananfunzi na shule zao kwa ufaulu huu wa kutia moyo, tunawapongeza tukiamini kwamba wanatambua wajibu wao katika kuendeleza taifa hili katika nyanja za elimu ili kutoandoa katika janga linalotuandama la kuyumba kwa elimu yetu kwa muda mrefu sasa.
Tunazipongeza kwa njia ya kipekee shule zote za binafsi ambazo zimeendelea kung’ang’ania kileleni mwaka baada ya mwaka, lakini pia tunazipongeza kwa njia ya kipekee shule zote za umma ambazo nazo zimekataa kumezwa na wimbi na juhudi za shule binafsi na kuonyesha ushindani wa dhati katika kiwango cha ufaulu.
Tunaamini matokeo ya mwaka huu yana nafuu kubwa kwa sababu kiwango cha ufaulu kati ya darajala kwanza na la tatu kimeongezeka hadi asilimia 79.48 kutoka asilimia 79.41 mwaka jana.
Kiwango hili ni cha juu sana hasa kinapolinganishwa na hali ilivyokuwa kwa matokeo ya mtihani wa taifa wa kidato cha nne mwaka jana kwani waliofaulu kati ya daraja la kwanza hadi la tatu walikuwa ni takribani asilimia 10 tu.
Tunaamini kufaulu huku ni changamoto. Ni changamoto kwa sababu katika mazingira ya kawaida kwa kuwa waliovuka kidato cha nne na kujiunga na kidato cha tano ni wale waliofaulu vizuri ingelikuwa ni matarajio ya Watanzania kuwa walau kiwango cha kufaulu kingekuwa si chini ya asilimia 90.
Tunasema haya kwa kuwa tunaamini kwamba hakuna anayevuka mtihani wa kidato cha nne kwa bahati, ni matokeo ya juhudi na kujituma kwa bidii.
Kadhalika, tunachukua fursa hii kupongeza uamuzi wa Baraza wa kupunguza adhabu iliyotolewa kwa wanafunzi wa kidato cha nne wapatao 3,000 waliopatikana na udanganyifu na sasa adhabu yao imepunguzwa kutoka miaka mitatu hadi mwaka mmoja, tunaamini kuwa nafuu hii itatumiwa vizuri na wanafunzi hawa ili kujipanga upya kurejea darasani kwa sababu ni kweli tupu kwamba bila elimu vijana hawa hawatakuwa na lolote la maana maishani mwao.
Ni matarajio yetu kwamba hali iliyojidhihirisha mwaka huu kwa kupungua kwa kiwango cha udanganyifu katika mtihani huo kwa kuwa ni watahiniwa sita tu wamekamatwa, watatu wa shule na watatu wa kujitegemea, hali hii inaonyesha kuwa tatizo linazidi kupungua mwaka hadi mwaka.
Tungeomba Baraza lizidishe juhudi ili udanganyifu utoweke kabisa katika sekta ya elimu, hususan katika mitihani.
|
<urn:uuid:fa6b608f-a149-435b-974b-8c4c86bd5095>
|
{
"date": "2014-03-09T10:13:12Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-10",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-10/segments/1393999677208/warc/CC-MAIN-20140305060757-00083-ip-10-183-142-35.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9769691824913025,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 140,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9769691824913025, \"swc_Latn_score\": 0.01973636820912361}",
"url": "http://www.ippmedia.com/frontend/index.php/2m=0/12/10/modules/poll/css/css/function.fopen?l=41138"
}
|
MINUSMA yasaidia usafirishaji wa nyaraka za matokeo ya uchaguzi MaliKusikiliza /
Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kusimamia kurejea kwa utulivu nchini Mali, MINUSMA inasaidia mamlaka za uchaguzi nchini humo kuharakisha mchakato wa kuhesabu kura kufuatia awamu ya pili ya uchaguzi iliyofanyika Jumapili. MINUSMA imesema kuwa hakuna jambo kubwa lililojitokeza wakati wa upigaji kura ingawa mvua kubwa zilikwamisha kwa kiasi fulani upigaji kura kwenye sehemu nyingi nchiniMali. Kauli hiyo imetolewa na Naibu Msemaji wa Umoja wa Mataifa Eduardo Del Buey alipozungumza na waandishi wa habari mjiniNew York, Marekani.
(SAUTI YA DEL BUEY)
“Kwa mujibu wa mamlaka yake, MINUSMA imetoa misaada ya kiufundi na vifaa kwa awamu zote mbili za uchaguzi pamoja na kusaidia mamlaka za ulinzi. Katika kuharakisha mchakato wa kuhesabu kura, MINUSMA kwa kutumia ndege inasaidia mamlaka za uchaguzi n chini Mali kurejesha nyaraka za matokeo ya uchaguzi huo kutoka Gao, Timbuktu na Kidal."
Awamu ya kwanza ya uchaguzi wa Rais nchiniMaliilifanyika tarehe 28 mwezi uliopita ikiwa ni jitihada za kumaliza mgogoro wa kisiasa ulioanza mwaka jana baada ya askari kupindua serikali. Mgogoro huo ulisababisha kuibuka kwa mapigano kati ya majeshi ya serikali na vikosi vya waasi wa Tuareg na sehemu ya kaskazini mwaMalikushikiliwa na waislamu wenye msimamo mkali.
|
<urn:uuid:c908a383-9e57-4c14-a987-67c0b450a706>
|
{
"date": "2014-03-09T10:13:37Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-10",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-10/segments/1393999677208/warc/CC-MAIN-20140305060757-00083-ip-10-183-142-35.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9947393536567688,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 29,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9947393536567688}",
"url": "http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2013/08/minusma-yasaidia-usafirishaji-wa-nyaraka-za-matokeo-ya-uchaguzi-mali/"
}
|
Wilaya ya Kaliro
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
|Wilaya ya Kaliro|
|Nchi||Uganda|
|mji mkuu||Kaliro|
|Eneo|
|- Wilaya||904 km²|
|Idadi ya wakazi (2010 Makadirio)|
|-||228,600|
|Tovuti: http://www.kaliro.go.ug|
|Makala hii kuhusu maeneo ya Uganda bado ni mbegu.
|
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Kaliro kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
|
|
<urn:uuid:df695e36-74a7-46d0-b7fc-e89296f9dc25>
|
{
"date": "2014-03-12T06:30:10Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-10",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-10/segments/1394021425440/warc/CC-MAIN-20140305121025-00083-ip-10-183-142-35.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.993931770324707,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 42,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.993931770324707}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Wilaya_ya_Kaliro"
}
|
Serikali ya mapinduzi Zanzibar imeongeza mshahara wa kima cha chini kwa sekta binafsi kutoka shilingi elfu 70 hadi shilingi laki moja na elfu 45 kwa mwezi sawa na ongezeko la asimia 107.14.
Akitangaza ongezeko hilo kwa wandishi wa habari, waziri wa kazi, uwezeshaji wananchi kiuchumi na ushirika Harouna Ali Suleiman amesema wafanyakazi wa vibarua kwa siku watalipwa shilingi elfu 10 kutoka shilingi 4,500 ya malipo ya zamani.
Aidha amesema wafanyakazi wasiokuwa na ujuzi watalipwa shilingi elfu saba kwa siku kutoka shilingi 3,500 na wafanyakazi wa mjumbani watalipwa shilingi elfu 60 kutoka shilingi elfu 30 kwa mwezi sawa na ongezeko la asilimia 100.
Waziri Suleiman amesema mishahara hiyo mipya itaanza kulipwa kuanzia tarehe mosi mwezi ujao na kuwataka wajiri kutekeleza agizo hilo la serikali la kuanza kulipa mishahara mipya.
Hata hivyo amesema wajiri wanaweza kuowaongezea mishahara wafanyakazi wao kulingana na hali ya uzalishaji itakavyoruhusu kwenye sekta zao.
Kuhusu suala la mikataba kwa wafanyakazi wa sekta binafsi hasa kazi za majumbani amewataka wananchi wasikubali kufanya kazi kabla ya kufunga mktaba.
Mara ya mwisho serikali ya mapinduzi ya Zanzibar ilipandisha mishahara ya watumishi wa sekta binafsi kwa shilingi elfu 70 kima cha chini mwaka 2008.
|
<urn:uuid:ba8bfbe6-aa2a-4357-ad5d-ddb53c3ddc4b>
|
{
"date": "2014-03-08T01:29:47Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-10",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-10/segments/1393999651919/warc/CC-MAIN-20140305060731-00086-ip-10-183-142-35.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9918825030326843,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 34,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9918825030326843}",
"url": "http://zanzibarislamicnews.wordpress.com/2012/01/20/smz-yangeza-mishahara-ya-watumishi-wa-sekta-binafsi-kwa-zaidi-ya-asilimia-100/"
}
|
Şemdinli
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]
|
|
|Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu.
|
Je unajua kitu kuhusu Şemdinli kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
<urn:uuid:d14a5b18-c637-4994-8831-a6a278e24dc5>
|
{
"date": "2014-04-20T05:52:11Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1397609538022.19/warc/CC-MAIN-20140416005218-00448-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9926347136497498,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 244948,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9926347136497498}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/%C5%9Eemdinli"
}
|
Sapporo, Hokkaido
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
|Sapporo|
|
|
|Nchi||Japani|
|Kanda||Hokkaido|
|Mkoa||Hokkaido|
|Idadi ya wakazi|
|-||1,884,939|
|Tovuti: www.city.sapporo.jp/city/|
|Makala hii kuhusu maeneo ya Japani bado ni mbegu.
|
Je unajua kitu kuhusu Sapporo, Hokkaido kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
<urn:uuid:feb3c004-a685-42f3-95ca-78bb8bb0f8e7>
|
{
"date": "2014-04-18T14:00:32Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1397609533689.29/warc/CC-MAIN-20140416005213-00072-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9847532510757446,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 83,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9847532510757446}",
"url": "https://sw.wikipedia.org/wiki/Sapporo,_Hokkaido"
}
|
Mfumuko wa bei kwa mwezi Aprili umepungua kutoka asilimia 19.0 Machi hadi kufikia asilimia 18.7 huku thamani ya Shilingi ya Tanzania ikiendelea kuporomoka.
Taarifa ya kila mwezi ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), inaonyesha kwamba thamani ya fedha ya Tanzania imeendelea kuporomoka thamani kutokana na gharama za bidhaa kupanda kila wakati.
"Thamani ya Shilingi ya Tanzania inapima badiliko la uwezo wake katika kununua bidhaa na huduma zilezile za mlaji ambazo Shilingi ya Tanzania itaweza kununua katika vipindi tofauti, ikiwa wastani wa farihisi za bei za taifa unaongezeka, thamani ya fedha hupungua," ilieleza sehemu ya taarifa ya NBS iliyotolewa na Mkurugenzi Mkuu wa ofisi hiyo.
Taarifa hiyo ilieleza kuwa bei za vitu mbalimbali zimeongezeka kutokana na kupanda kwa bei za vyakula, vinywaji baridi, nishati na mafuta.
Ilieleza kwamba kwa kipindi cha Aprili mwaka jana hadi Aprili mwaka huu, bidhaa hizo zimekuwa na mwenendo wa bei usio imara ikilinganishwa na bidhaa nyingine.
Hata hivyo, taarifa hiyo ilifafanua kuwa mfumuko wa bei za nishati umepungua kutoka asilimia 29.4 Machi hadi asilimia 24.9 Aprili.
Kwa upande mwingine, ilieleza kuwa mfumuko wa bei ambao haujumuishi vyakula na nishati imeongezeka hadi asilimia 9.0 Aprili, kutoka asilimia 8.8 Machi.
Iliongeza kuwa bei za vyakula vimechangia mfumuko wa bei ikiwemo mchele ambao umeongezeka kwa asilimia 3.0 na unga wa mahindi kwa asilimia 0.5.
Baadhi ya vyakula vingine vilivyoongeza mfumuko wa bei na asilimia zake kwenye mabano ni punje za mahindi (1.6), vitafunwa (7.3), unga wa mihogo (6.7), mayai (2.1), siagi (2.9), machungwa (6.8) na maembe (12.8).
|
<urn:uuid:c8abdef4-60c9-42d7-b130-0e1097b7e490>
|
{
"date": "2014-04-23T23:02:07Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1398223203841.5/warc/CC-MAIN-20140423032003-00168-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9961662888526917,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 27,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9961662888526917}",
"url": "http://www.ippmedia.com/frontend/index.php/o/nightlife/ba/?l=41612"
}
|
Rocky Mountains
Rocky Mountains (Kiing. kwa Milima ya Miamba), kifupi pia "Rockies" ni safu ndefu ya milima katika Amerika ya Kaskazini ambayo ni sehemu ya milima inayofuatana na pwani la Pasifiki kuanzia Alaska hadi Meksiko. Mara nyingi hutazamiwa kuanza katika jimbo la British Columbia upande wa magharibi wa Kanada huelekea kusini hadi jimbo la New Mexico la Marekani. Urefu wa safu hii ni takriban kilomita 4,800. Mara nyingi hata milima ya Alaska na pia ya Meksiko ya kaskazini huhesabiwa kuwa sehemu za nje za Rockies.
Kijiolojia Rockies zimejitokeza kutokana kwa kugongana kwa mabamba ya gandunia yaani bamba la Pasifiki na bamba la Amerika ya Kaskazini. Mshtuko wa kugongana au kusukumana kwa mabamba haya yamekunja uso wa ardhi na kuzaa safu hii ya milima.
|Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
|
Je unajua kitu kuhusu Rocky Mountains kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
<urn:uuid:dba797d8-321a-4468-86f1-07aae430141d>
|
{
"date": "2014-04-25T06:21:52Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1398223210034.18/warc/CC-MAIN-20140423032010-00200-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9947854280471802,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 81,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9947854280471802}",
"url": "https://sw.wikipedia.org/wiki/Rocky_Mountains"
}
|
Gustav Vasa
Gustav Vasa, pia Gustav I na Gösta, alizaliwa kama Gustav Eriksson, alikuwa wafalme katika Uswidi. Alizaliwa 12 Mei 1496 na alifariki 29 Septemba 1560. Alikuwa wafalme tangu 1523 hadi kifo chake. Yeye ilianzisha ukiritimba na yeye ni kufikiriwa mwanzilishi wa kisasa Uswidi. Basi, siku wakati akawa wafalme ni Siku ya Taifa ya Uswidi.
|Makala hii kuhusu mtu bado ni mbegu.
|
Je, unajua kitu kuhusu Gustav Vasa kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
<urn:uuid:f3d7dfcc-a421-456c-bad0-4682f4ffe015>
|
{
"date": "2014-04-16T10:10:28Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1397609523265.25/warc/CC-MAIN-20140416005203-00024-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9840848445892334,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 92,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9840848445892334, \"swc_Latn_score\": 0.013256579637527466}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Gustav_Vasa"
}
|
Demokrasia
Demokrasia (ni neno kutoka lugha ya Kigiriki, demokratia maana yake utawala wa watu) ni aina ya serikali. Kwenye demokrasia, watu fulani wa kwenye jumuia wanamchagua kiongozi wao. Kuna njia nyingi za kufanya hivi, lakini mchakato kamili kikawaida huitwa kushikilia uchaguzi.
Vyama vya kisiasa] uhusika na masuala ya kisiasa. Yaonekana kwamba yaweza kuwa rahisi kuwa na chama cha kisiasa. Chama kitakachoshinda uchaguzi watamchagua kiongozi wanayemtaka.
|
<urn:uuid:a0c5ca7e-d522-40c7-9f4c-893cc7f60492>
|
{
"date": "2014-04-17T22:16:18Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1397609532128.44/warc/CC-MAIN-20140416005212-00056-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9921817779541016,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 35,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9921817779541016}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Demokrasia"
}
|
David Baltimore
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
David Baltimore (amezaliwa 7 Machi 1938) ni daktari kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza uhusiano kati ya virusi na jeni. Mwaka wa 1975, pamoja na Howard Temin na Renato Dulbecco alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.
|Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
|
Je, unajua kitu kuhusu David Baltimore kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
<urn:uuid:a6302492-982a-4a75-b387-33125aa4a79f>
|
{
"date": "2014-04-19T04:26:22Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1397609535775.35/warc/CC-MAIN-20140416005215-00088-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9875884652137756,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 63,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9875884652137756, \"swc_Latn_score\": 0.010397575795650482}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/David_Baltimore"
}
|
Kisonono
Ingawa kwa makisio maambukizi 360,000 ya kisonono huripotiwa kila mwaka nchini Marekani, wataalamu wamekisia kuwa watu karibia 650,000 huambukizwa kwa mwaka.
Kama ilivyo klamidia, kisonono nayo huwa haionyeshi dalili. Kisonono ikiwepo huwa na dalili kama zile za klamidia ambazo huhusisha mauvimu wakati wa kukojoa na kutokwa kwa maji yanayonuka au usaha katika uke au uume.
Kisonono huonekana kwa urahisi kwa wanaume ambao hutoa usaha kutoka katika mfereji wa mkojo (urethra). Huanza kidogo, lakini huongezeka na huwa mwingi na kusababisha kusikia haja ya kukojoa mara kwa mara huku kukiwa na maumivu.
Kisonono ikisambaa na kufikia tezi kibofu, mfereji wa mkojo huziba kwa kiasi fulani. Kwa wanawake maambuki hutokea katika urethra, uke au mlango wa uzazi (cervix). Ingawa mwasho unaotokana na majimaji katika uke unaweza kuwa mkubwa, mara nyingi dalili hizi huwa ni chache au hamna kabisa katika hatua za awali.
Kisonono isiyotibiwa inaweza kusababisha PID kwa wanawake. Watoto wanaozaliwa na mama wenye kisonono huwa na hatari ya kuambukizwa wakati wa kuzaliwa; maambukizo haya yanaweza kusababisha magonjwa ya meno kwa wachanga.
Uchunguzi wa ugonjwa hufanywa kwa kuchungunza usaha kutoka katika uke au uume au mkojo kwa uwepo wa Neisseria gonorrhoeae.
Kisonono iliongezeka kwa kiasi kikubwa Marekani mnamo miaka ya 1970 na mwanzoni mwa miaka ya 1980, hadi kukaribia kufikia kiwango cha magonjwa ya mlipuko (epidemic proportions) kwa vijana wanaobalehe na watu wa umri wa kati.
Kisonono hutibiwa kwa antibiotiki kadhaa, ingawa maambukizi yamekuwa na ukinzani juu ya tiba ya baadhi ya madawa katika miongo ya nyuma. Moja kati ya mambo magumu katika kupambana na kisonono ni kutafuta mahusiano yote ya kimapenzi ya nyuma ya aliyeambukizwa ili kuweza kuzuia usambaaji zaidi wa ugonjwa.
|
<urn:uuid:0fd19fe5-e03b-43d4-b2a8-e90106da1889>
|
{
"date": "2014-04-19T04:20:42Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1397609535775.35/warc/CC-MAIN-20140416005215-00088-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9966369867324829,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 90,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9966369867324829}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Kisonono"
}
|
Ufalme
Ufalme ni mfumo wa utawala ambako mfalme, malkia au mtu mwingine aliyerithi cheo chake ni mkuu wa dola. Vyeo vingine vya mkuu katika ufalme ni pamoja na kaisari, shah, tenno, sultani, amiri au mtemi. Kwa kawaida mfalme amerithi cheo chake kutoka kwa babake au mamake kwa hiyo alizaliwa kama mfalme mteule na ataendelea kuwa na cheo hiki hadi kifo chake. Lakini kama mfalme aliyetangulia hakuwa na mrithi inawezekana ya kwamba mfalme mpya amechaguliwa. Mfano wa dola lenye mfumo wa ufalme ambako mkuu anachaguliwa mara kwa mara ni Vatikani ambao Papa ni mkuu wa dola.
Kiwango cha madaraka cha mfalme huwa na tofauti kubwa. Leo hii karibu wafalme wengi wako chini ya katiba ya nchi na mara nyingi wana madaraka machache; nafasi yao ni ya heshima na desturi. Lakini kuna falme kadhaa ambako mfalme bado ana madaraka makubwa habanwi na katiba wala bunge wala serikali kama vile Omani au Saudia.
Yaliyomo
Tofauti ya ufalme na jamhuri[hariri | hariri chanzo]
Kinyume cha ufalme ni jamhuri inayoongozwa na mkuu, mara nyingi kwa cheo rais au katika nchi kadhaa na kamati ya watu wanaochaguliwa na kwa kawaida kwa kipindi fulani. Mara nyingi rais wa nchi huchaguliwa kwa kipindi cha miaka 4-6 na katika nchi nyingi kuna uwezekano ya kwamba anarudi tena kwa kipindi cha ziada. Kuna jamhuri ambako vongozi wanalenga kuhakikisha ya kwamba mtoto wao anaendelea na cheo cha mkuu wakiacha kutawala lakini hii kwa kawaida si utaratibu wa kisheria katika jamhuri; mfano wa kisasa ni Korea Kaskazini ambayo ni jamhuri inayotawaliwa na familia Kim katika kizazi cha pili ilhali mtoto wa kiongozi Kim Jong Il anateuliwa kumfuata baba.
Historia[hariri | hariri chanzo]
Sababu za kuanzishwa kwa ufalme[hariri | hariri chanzo]
Ufalme ni muundo wa kale sana lakini haikuwa mfumo wa kwanza wa serikali. Wataalamu huona ya kwamba chanzo chake ni azimio la kabila au kundi dogo la watu kumruhusu mtoto wa kiongozi mwenye nguvu na uwezo kuendelea na shughuli za baba. Kuna mifano ya kwamba watu walioishi na viongozi wa muda tu waliamua kuwa na mfalme wakati wa vita wakiona uongozi mwenye nguvu ni lazima. Kulitokea pia ya kwamba kiongozi aliyeteuliwa kwa kipindi cha matatizo au vita alionekana kuwa na uwezo akaendelea hadi kifo na kumpatia mtoto wake nafasi ya mrithi wakati bado alikuwa na nguvu.
Historia ya Biblia kama mfano wa kuanzishwa kwa ufalme[hariri | hariri chanzo]
Biblia inasimulia mfano jinsi gani watu wa Israeli ya Kale walioongozwa kila mahali na wazee lakini kama walipata matatizo makubwa viongozi walijitokeza walioitwa "maamuzi" na kuwa na jukumu za kijeshi pamoja na kisheria. Kitabu cha Maamuzi 8#22 kinaonyesha pia jinsi gani swali la ufalme lilikua na ugumu; mwamuzi Gideon alipoombwa na watu kuwa mfalme alikataa na kudokeza ya kwamba Mungu pekee anastahili kuwa na cheo hiki. Baadaye Sauli alijitokeza kama kiongozi dhidi ya tishio la Waamoni alipowashinda vitani watu walimfanya Sauli mfalme wao wa kwanza. Mataifa mengi walipata ufalme kwa njia zilizofanana na Israeli ya Kale yaani wakati wa vita ambako wengi walikubali haja la kiongozi mwenye nguvu.
Kupinduliwa kwa wafalme au kubanwa kwa madaraka yao[hariri | hariri chanzo]
Mfano mashuhuri wa kinyume ni historia ya Athens au Roma ya Kale ambao zilitawaliwa zamani na wafalme lakini viongozi wa miji hii walifukuza wafalme baada ya kuona tabia za kidikteta na upuuzi wa haki za watu na kuanzisha jamhuri zilizoteuliwa na viongozi waliochaguliwa kwa muda tu. Lakini Roma ya Kale ilirudi kwa mfumo wa ufalme tangu Kaisari Augusto ingawa kwa jina iliendelea kama jamhuri hadi mwisho.
Mara nyingi wafalme waliunganisha nafasi za mkuu wa serikali na kiongozi wa jeshi na jaji mkuu. Mataifa mbalimbali walimjua mfalme pia katika nafasi ya kidini kama kuhani mkuu au kama mkuu anayeshika nafasi ya Mungu duniani.
Mamlaka makubwa ya wafalme yalisababisha mara nyingi jitihada za kubana madaraka yao. Mfano mashuhuri ni Uingereza ambako wafalme walipaswa kushauriana na bunge ya wakubwa na wawakilishi wa miji kabla ya kukusanya kodi kwa ajili ya vita au kwa shughuli maalumu. Jmabo kama hili halikutokea katika Uingereza pekee lakini katika nchi hii bunge lilikuwa taasisi ya kudumu isiyofutwa tena na hivyo kuwa chanzo kwa muundo wa ufalme wa kikatiba ambako mamlaka ya mfalme yako chini ya sheria fulani.
Tangu uhuru wa Uholanzi, Marekani na baadaye mapinduzi ya Kifaransa nafasi ya ufalme ilianza kupungua katika Ulaya na kutoka hapa pia katika sehemu nyingine za dunia. Hasa baada ya Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia falme muhimu kama Ujerumani, Austria-Hungaria, Urusi na Milki ya Osmani zilibadilisha mfumo wa utawala zikawa jamhuri.
Ukoloni na ufalme[hariri | hariri chanzo]
Ukoloni wa karne ya 19 ulisababisha kupotea kwafalme nyingi dunani. Mwanzoni wakoloni walitumia mara nyingi wafalme na watemi waliokuwepo kama makala wa utawala wao ndani za koloni. Lakini kadri walivyounganisha falme mbalimali za kale ndani ya maeneo mapya makubwa yaliyoendelea kuwa mataifa mapya walidhoofisha pia nafasi ya ufalme wa kieneo. Nchi za Afrika zilipopata uhuru mara nyingi zilijitangaza kuwa jamhuri na kwa njia hii falme za kale za Afrika ama zilifutwa au kupoteza madaraka za kiutawala na kubaki kwa jina tu kama taasisi za kiutamaduni.
Ufalme leo[hariri | hariri chanzo]
Kuna nchi 44 dunaini zilizoendela na mfumo wa ufalme hadi karne ya 21. (lnganisha jedwali). Ufalme wa kale ni Japani ambako kuna wafalme tangu zaidi ya miaka 2000. ni United Kingdom,where the present line of Kings and Queens has been around for nearly 1,000 years, Denmark where the royal line has remained unbroken for almost 1,200 years, and Japan, which has records showing a line of Emperors dating back even farther.
|Nchi||
|
Aina ya ufalme
|
|
Cheo
|
|
Jina
|
|
Maelezo
|Japan||Ufalme wa kikatiba - mamlaka ya bunge||Tenno||Akihito||Tenno hana madaraka ya kisiasa. Tangu 1945 ni mwakilishi wa taifa pekee. Japani ni ufalme wa kale duniani tangu zaidi ya miaka 2500. Cheo cha tenno chamaanisha „mtawala wa kimbingu“|
|Antigua na Barbuda[1]||Ufalme wa kikatiba - chini ya usimamizi wa bunge||malkia||Elizabeth II wa Uingereza||—|
|Australia[1]||—|
|Bahamas[1]||—|
|Bahrain||Ufalme wa kikatiba||Mfalme||Hamad ibn Isa Al Khalifa||Hadi 2002 Emirati, baadaye ufalme; tangu mabadiliko ya kisiasa imekuwa ufalme wa kikatiba||—|
|Barbados[1]||Ufalme wa kikatiba - mamlaka ya bunge-||Malkia||Elizabeth II wa Uingereza||—|
|Ubelgiji||Ufalme wa kikatiba - mamlaka ya bunge||Mfalme||Albert II||—|
|Belize[1]||Ufalme wa kikatiba - mamlaka ya bunge||malkia||Elizabeth II wa Uingereza||—|
|Bhutan||Ufalme wa kikatiba||Mfalme||Jigme Khesar Namgyel Wangchuck||[[ 1907 hadi 18 Julai 2008 ufalme bila masharti, tangu 2008 ufalme wa kikatiba||—|
|Denmark||Ufalme wa kikatiba - mamlaka ya bunge||malkia||Margrethe II||Mfalme / malkia wa Denmark ni pia mkuu wa nchi ya Greenland na ya Visiwa vya Faroe.||—|
|Grenada[1]||Elizabeth II wa Uingereza||—|
|Jamaika[1]||—|
|Jordan||Ufalme wa kikatiba||Mfalme||Abdullah II||nchi ilianzishwa 1921 na Ufalme wa Maungano||—|
|Kambodia||Norodom Sihamoni||hadi 1955 na tangu 1993 ufalme||—|
|Kanada[1]||Ufalme wa kikatiba - mamlaka ya bunge||malkia||Elizabeth II wa Uingereza||—|
|Ufalme wa Nchi za Chini (Uholanzi)||Ufalme wa kikatiba - mamlaka ya bunge||Beatrix I||Ufalme unajumlisha Uholanzi katika Ulaya na majimbo ya kujitawala katima Amerika ya Kati Aruba, Curaçao na Sint Maarten.||—|
|Lesotho||Mfalme||Letsie III||Mfalme aliitwa hadi 1965 „Mtemi Mkuu“. Mfalme hana madaraka ya kiserikali wala hatungi sheria||—|
|Malaysia||Mizan Zainal Abidin||Ufalme wa uchaguzi - Malaysia ina majimbo 13 na kati ya hizi usultani 9; mfalme huchaguliwa kila baada ya miaka 5 masultani 9 kati yao kwa njia ya kubadilishana nafasi; cheo cha mfalme ni Yang di-Pertuan Agong „mtawala mkuu“||—|
|Moroko||Ufalme wa kikatiba||Mohammed VI||—|
|New Zealand[1]||Ufalme wa kikatiba - mamlaka ya bunge||malkia||Elizabeth II wa Uingereza||—|
|Norwei||Ufalme wa kikatiba - mamlaka ya bunge||Mfalme||Harald V||Ufalme wa kujitegema tangu 1905.||—|
|Papua Guinea Mpya[1]||Ufalme wa kikatiba - mamlaka ya bunge||malkia||Elizabeth II wa Uingereza||—|
|Visiwa vya Solomon[1]||—|
|Uarabuni wa Saudia||Ufalme bila masharti||Mfalme||ʿAbd Allah ibn ʿAbd al-ʿAziz||Ufalme wa Kiislamu uliounganshwa 1931|
|Uswidi||Ufalme wa kikatiba - mamlaka ya bunge||Carl XVI Gustaf|
|Hispania||Juan Carlos I||Ufalme hadi 1931; tena tangu 1947 chini ya dikteta Franco bila mfalme na tangu 1975 chini ya mfalme Juan Carlos|
|St. Kitts na Nevis[1]||Ufalme wa kikatiba - mamlaka ya bunge||malkia||Elizabeth II wa Uingereza||—|
|St. Lucia[1]||—|
|Saint Vincent na Grenadini[1]||—|
|Uswazi||Ufalme bila masharti||Mfalme||Mswati III.||Harakati ya kidemokrasia iko njiani|
|Uthai||Ufalme wa kikatiba||Bhumibol Adulyadej (Rama IX)|
|Tonga||George Tupou V|
|Tuvalu[1]||Ufalme wa kikatiba - mamlaka ya bunge||malkia||Elizabeth II wa Uingereza||—|
|Ufalme wa Maungano||Malkia wa Uingereza ni pia mkuu wa nchi kwa „maeneo chini ya taji la Uingereza“ ambayo ni Guernsey, Jersey, Isle of Man halafu kwa maeneo ya ng’ambo ya Ufalme wa Maungano kama vile:, Anguilla, Bermuda, Visiwa vya Virgin vya Uingereza, Eneo la Uingereza katika Bahari Hindi, Visiwa vya Cayman, Visiwa vya Falkland, Gibraltar, Montserrat, Visiwa vya Pitcairn, Saint Helena, Visiwa vya South Georgia na South Sandwich na Visiwa vya Turks-na Caicos.|
|Utemi|
|Luxemburg||Ufalme wa Kikatiba – chini ya mamlaka ya bunge||Mtemi Mkubwa||Henri I|
|Andorra||Ufalme wa kikatiba - mamlaka ya bunge||Watawala wa pamoja||Askofu Joan Enric Vives i Sicília||Andorra ina watawala wawili wenye madaraka na heshima ya pamoja ambayo ni askofu wa Urgel (Hispania) na Rais wa Ufaransa|
|Nicolas Sarkozy|
|Liechtenstein||Ufalme wa kikatiba||Mtemi||Hans Adam II||—|
|Monaco||Albert II||—|
|Usultani na Emirati|
|Brunei||Ufalme bila masharti||Sultani||Hassanal Bolkiah||—|
|Oman||Qabus ibn Said||—|
|Katar||Ufalme bila masharti||Emir||Hamad bin Chalifa Al Thani||—|
|Kuwait||Ufalme wa kikatiba||Sabah al-Ahmad al-Dschabir as-Sabah||Hadi 1991 ufalme bila masharti, tangu 1996 ina bunge|
|Falme za Kiarabu||Shirikisho-Ufalme wa kikatiba||Rais||Chalifa bin Zayid Al Nahyan||Ufalme wa uchaguzi: kuna emirati 7; kila emir angeweza kuchaguliwa kuwa rais wa shirikisho lakini hadi sasa ni Emir wa Abu Dhabi ambayo ni sehemu kubwa na tajiri aliyechaguliwa kila safari.|
|Eneo la Vatikani|
|Vatikani||Ufalme bila masharti||Papa||Benedikto_XVI||Ufalme bila masharti wa mwisho katika Ulaya; Papa huchaguliwa na mkutano wa mkardinali|
|
<urn:uuid:ed6857dc-a27c-409c-b301-276501dcf7da>
|
{
"date": "2014-04-20T10:49:39Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1397609538423.10/warc/CC-MAIN-20140416005218-00120-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.982339084148407,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 72,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.982339084148407}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Ufalme"
}
|
Wafanyabiashara wakubwa wa madini na vito wameafiki mpango wa serikali kununua bidhaa hizo ndani ya nchi badala ya kununua kwa njia ya panya baada ya serikali kupata hati ya uasilia ya madini na vito.
Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja, alisema hayo wakati akifungua maonyesho ya kimataifa ya madini na vito yanayoendelea jijini hapa.
Maonyesho hayo yamewaleta wafanyabishara wakubwa zaidi ya 100 wa madini na vito kutoka Marekani, India, Ulaya na Afrika Kusini.
Alisema hatua ya wafanyabiashara hao kukubali kununua madini na vito moja kwa moja hapa nchini, itaiwezesha serikali kupata mapato makubwa zaidi, wazawa kupata ajira na hivyo kukuza uchumi wa mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla kwa kuwa yatakuwa yanaongezwa thamani hapa hapa nchini.
Alisema hatua hiyo pia itazuia wafanyabiashara wanaotumia njia za panya kununua madini na vito washindwe kwa kuyauza kwa sababu hayatakubaliwa katika masomo ya dunia kwa vile hayatakuwa na hati asilia.
Pia alisema itasaidia kudhibiti biashara ya fedha haramu ambazo zinafadhili ugaidi na mapigano ya nchi kwa nchi au wenyewe kwa wenyewe.
“Maonyesho haya ni fursa kwa sisi kuwafikishia ujumbe wanunuzi wakubwa hapa Tanzania kuwa tumepata cheti cha uhalisia wa madini na vito...wamekubali kutuunga mkono, na wamesema kuwa hawatanunua madini na vito kwa njia za panya, isipokuwa watakuja moja kwa moja kununua hapa,” alisema.
Alisema dhamira hiyo ya serikali imepokelewa vizuri na wamepata nafasi ya kutangaza vito na madini yaliyopo nchini.
Alisema maonyesho hayo yalikuwa yakifanyika miaka ya 90 lakini yalisimama kwa muda na kwa sasa serikali imeamua kuyafufua na kwamba yatakuwa yakifanyika kila mwaka.
|
<urn:uuid:f7d1799e-9f79-4419-94f7-d80a6c8c94db>
|
{
"date": "2014-04-20T12:09:30Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1397609538423.10/warc/CC-MAIN-20140416005218-00120-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9880682826042175,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 204,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9880682826042175}",
"url": "http://www.ippmedia.com/frontend/index.php/hl=23tion=com_content.com/nd/x.phpkw/s/function.fopen?l=40957"
}
|
Ugonjwa wa Corona waibuka Mashariki ya katiKusikiliza /
Shirika la afya ulimwenguni WHO limefahamishwa kuhusiana kuzuka kwa ugonjwa wa matatizo ya kupumua unaosababishwa na virusi vya Corona ambao umeikumba nchi ya Qatar.
Tayari mtu mmoja mwenye umri wa miaka 61 ambaye amekubwa na tatizo hilo amelazwa katika hospitali moja tangu Oktoba 11 akipatiwa matibabu ya karibu.
Vipimo vilivyochukuliwa na baadaye kujaribiwa katika maabara huko nchini Uingereza vimethibitisha juu ya tatizo hilo.
Uchunguzi wa awali unaonyesha kuwa mtu huyo hajawahi kutoka nje ya Qatar katika kipindi cha wiki mbili zilizopita kabla hajaanza kuugua.
Mgonjwa huyo anamiliki shamba kwamba na kutokana na mazingira ya kazi yake atasadikika atakuwa amekutana na mifugo ikiwemo ngamia, kondoo na kuku.
|
<urn:uuid:ae3bcb22-cc96-42a5-a87a-61a0701f3568>
|
{
"date": "2014-04-23T07:34:44Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1398223201753.19/warc/CC-MAIN-20140423032001-00152-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9921497702598572,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 27,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9921497702598572}",
"url": "http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2013/10/ugonjwa-wa-corona-waibuka-mashariki-ya-kati/"
}
|
Bendera ya Jamhuri ya Kongo
Ilianzishwa Agosti mwaka 1958 Kongo ilipopata madaraka ya kujitawala ndani ya Umoja wa Kifaransa ikaendelea kuwa bendera ya taifa baada ya uhuru kamili mwaka 1960.
Mwaka 1970 wakati wa Jamhuri ya Watu wa Kongo bendera ilibadilishwa kuwa bendera nyekundu yenye nyota na jembe pamoja na nyundo za njano halafu majani ya mnazi ya kijani.
Wakati wa kuporomoka kwa itikadi ya kikomunisti na kisoshalisti serikali ya rais Denis Sassou-Nguesso ilirudisha bendera ya zamani mwaka 1991.
|
|
|
<urn:uuid:201bdb88-da4c-4a49-aea6-d37db6890169>
|
{
"date": "2014-04-23T08:15:26Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1398223201753.19/warc/CC-MAIN-20140423032001-00152-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9903611540794373,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 57,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9903611540794373}",
"url": "https://sw.wikipedia.org/wiki/Bendera_ya_Jamhuri_ya_Kongo"
}
|
Fort Worth, Texas
|Jiji la Fort Worth|
|Anwani ya kijiografia:|
|Nchi||Marekani|
|Jimbo||Texas|
|Wilaya||Tarrant
|
Denton
Parker
Wise
|Idadi ya wakazi|
|-||720,250|
|Tovuti: www.fortworthgov.org|
Fort Worth ni mji wa tano kwa ukubwa katika Texas na ni mji wa 18 kwa ukubwa katika orodha ya miji ya Marekani. Mjii huu umepata kuwa mkubwa kuliko hadi kutuhubutu hata kuuingilia mji mwingine mkubwa wa Dallas, Texas. Kwa kigezo hicho, mara nyingi maeneo hayo hufupishwa na kuitwa kama Dallas/Ft. Worth, au DFW.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- City Government Website
- Convention & Visitors Bureau
- Fort Worth Chamber of Commerce
- Vision FW
- Fort Worth Star-Telegram
- Fort Worth Business Press
- Fort Worth Architecture
- The Jack White Collection of Historic Fort Worth Photos
- Fort Worth Sister Cities
- Sundance Square
- Fort Worthology
- West And Clear
- Fort Worth, Texas from the Handbook of Texas Online
|Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
|
Je unajua kitu kuhusu Fort Worth, Texas kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
<urn:uuid:43e5221b-a0cb-4098-a2a7-1bb1341e3150>
|
{
"date": "2014-04-24T13:42:52Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1398223206147.1/warc/CC-MAIN-20140423032006-00184-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9920709133148193,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 70,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9920709133148193}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Fort_Worth,_Texas"
}
|
Papa Julius II
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Julius II (5 Desemba 1443 – 21 Februari 1513) alikuwa papa kuanzia 1 Novemba 1503 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Giuliano della Rovere. Alimfuata Papa Pius III akafuatwa na Papa Leo X.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
|Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
|
Je, unajua kitu kuhusu Papa Julius II kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
<urn:uuid:10031f0a-7c43-4076-a729-2e8f1ba6ef0b>
|
{
"date": "2014-04-24T13:40:18Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1398223206147.1/warc/CC-MAIN-20140423032006-00184-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9909706711769104,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 9,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9909706711769104}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Papa_Julius_II"
}
|
|1|
|2|
|3|
|4|
|5|
|6|
|7|
|8|
|9|
|10|
Added by dalbanz on April 17, 2014
MISSY TEMEKE
Missy Temeke wa kwetu fashion,siyo jina geni kwenye tasnia ya urembo na
fashion.ni Mwanadada mrembo aishie nchini Marekani
anayejihusisha zaidi na ubunifu wa mavazi yenye mwonekano wa
kitanzania na kiafrika chini ya label yake ya KWETU FASHION.
.ametoa collection mpya ya vazi Lenye mwonekano wa kiafrica..…
Wajumbe mbalimbali kwenye bunge la katiba wameendelea kuwasha vipaza sauti vyao kuchangia, kutoa ya moyoni kwa kujadili sura ya kwanza na ya sita huku ishu ya serikali mbili au tatu ikizimiliki headlines zaidi.
Zifuatazo ni kauli za mjumbe Mh. Joseph Mbilinyi ambae pia ni mbunge wa Mbeya mjini April 15 2014
1. ‘Wabunge Wakristo hii ni kwaresma, ni kipindi cha toba… mnatumia kipindi hiki kufanya unafiki mbele ya Wananchi mtakuja kuhukumiwa siku itakapofika, wameharibu mchakato wakati tumeshatumia mabilioni mengi ya hela’
2. ‘Ukarabati tu wa jengo la bunge hili ili sisi tukae zimetumika BILIONI 8.2 alafu leo kwa sababu ya hotuba moja tu ya Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi wote wamegeuka, wanaharibu kabisa tunashindwa…
JUZI tasnia ya muziki nchini ilipata pigo kufuatia kuondokewa na mwanamuziki wake mkongwe na mahiri, Muhidin ‘Maalim’ Gurumo ambaye alifariki dunia saa 9 alasiri kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili, Wadi ya Mwaisela alikokuwa amelazwa.…
Morning Africa,...SIKU YA LEO UPATAPO NAFASI,HEBU JARIBU KUFANYA MOJA YA HAYA NA UTAKUWA UMEBADILISHA MAISHA YA MTU FLANI.
-Una mlinzi?instead ya kumfokea,Hebu leo kumbuka kumsalimu na kumtakia siku njema huytu mtu anayekesha getini kulinda nyumba yako,bila shaka wengi hawafanyi hili
1:shiriki bure sehemu ya chakula chako na yeyote mwenye njaa na kuhitaji
2:Shiriki nyimbo nzuri kwa mtu mwenye huzuni ama anye feel down
3:Mfundishe mtu ,jambo analotamani kulifaham na halifaham na ni wewe pekee unafahamu
4:Una nguo ama chochote usichokihitaji tena?hapana usikitupe,mpatie yule mwenye kuhitaji
5:Una rafiki ama jamaa mpweke na pengine hana mtu wa karibu wa kushare nae yanayomsibu,make a call am text kwake,mfanye ajiskie hayupo peke yake,kwani kuna siku nawe utakuwa mpweke na…
LOGO DEVELOPMENT CRITERIA:
Clarity
We need the LOGO that will help people understand our organization, it has to be designed to help, include the beneficiaries of our services.
Intent
The LOGO should tell the purpose of our Organization.
Verification
Be sure that the LOGO you are considering are not taken from the secondary source.
This will help us to…
|
<urn:uuid:2ff24dd5-a21f-40f7-bea2-c5f7bf0adc8a>
|
{
"date": "2014-04-21T04:31:30Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1397609539493.17/warc/CC-MAIN-20140416005219-00472-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9682552814483643,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 14,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9682552814483643, \"swc_Latn_score\": 0.01821458339691162, \"ssw_Latn_score\": 0.010844580829143524}",
"url": "http://teamtz.com/"
}
|
Mpenzi msomaji, wiki iliyopita nilijadili ujumbe wa simu ambao mume aliunasa kwenye simu ya mkewe.
Ujumbe ule ukisomeka hivi: Nilinukuu maneno ya ujumbe huo kama ifuatavyo; “Nimetoka nje ya ndoa yangu nikitegemea kupata faraja lakini ikawa tofauti nimeachwa kwenye mataa nikiwa mkiwa’’.
Mama huyo alipatwa na butwa baada ya kuulizwa na mumewe kuwa ujumbe huo alikuwa amemtumia nani, naye alisita kutaja lakini baada ya kibano kikali alikubali kuwa aliyemtumia ujumbe huo alikuwa na mahusiano kabla ya kuoana na hivi sasa wameamua kuendeleza mapenzi yao.
Mpenzi msomaji, wakati bado tunasubiri maoni kuhusu makala ile, hebu nikumegee kituko kingine nilichonasa wiki hii kuhusu meseji zinavyoendelea kutesa ndoa. Nyumba zingine hakukaliki ni moto mbele kwa mbele. Naam. Hebu msikie jamaa huyu aliyenitafuta tukakaa kitako akisimulia mtafaruku wa dadake.
Dada wa rafiki yangu aliolewa ndoa nzuri tu lakini takriban miaka miwili mumewe akamzingua mwishowe wakaachana kabisa. Hakuna cha mahakama wala nini. Kilichofanya waachane ni kwamba alimfumania ‘live’.
Wakati bado nikiwa natafakari tatizo hilo, nami yakanikuta ambapo dadangu naye ndoa yake inawaka moto. Kisa dada alifuma meseji za mapenzi kwenye simu ya mumewe(shemeji). Suala hili limemchanganya sana dadangu.
Yule dada wa rafiki yangu niliyedokeza awali, baada ya kumfumania mumewe, aliamua kuondoka kisha kikao kikafanyika kujadili mgogoro huo lakini bibie hakutaka tena mahusiano ya bwana yule, wakaachana moja kwa moja hadi leo hii kutokana na kuvunja uaminifu.
Naam. Dadangu yeye alimpenda sana mumewe. Na mume alipoulizwa kuhusu malalamiko ya dada kuhusiana na meseji, mengine alikiri mengine hakukiri.
Shemeji huyu mara tu baada ya dada kujifungua mtoto wa kwanza, ndio akaanza vitimbwi, mara anarudi saa nane za usiku mara alifajiri. Akiulizwa anajibu mkato au hajibu kabisa.
Siku moja akaja amelewa chakari. Mke akamvizia akachukua simu yake moja na kufungua meseji, aliyoyakuta alistaajabu. Alichofanya akachukua namba ya zile meseji, lakini kabla ya kumpigia aliyetuma meseji, akamuuliza mumewe. Kuulizwa akakiri na mengine kukataa. Kisha kesho yake dadangu akampigia yule mwanamke.
Yule mwanamke akakiri ni kweli ana mahusiano na mumewe na kwamba yeye ang’ang’ane na ndoa wakati wenzako(huyo kimada) tunafaidi. Mume aliporudi nyumbani akamuuliza akaona aibu akatulia kama siku tatu, nne hivi, baada ya hapo mchezo ule ule wa kurudi majogoo ukaendelea.
Baada ya hapo mume huyu akajua dada kamshtukia kwenye simu, akaamua kununua simu mpya zile za ku-slid vidole ambazo dada hajui kuzitumia. Na isitoshe, kila alalapo anaziweka chini ya mto usawa wa kichwa ili mtu akigusa hapo ajue.
Mkewe alipombana kuhusu huyo hawara yake akajitetea kuwa ni mfanyakazi mwenzake tena bosi. Naye akamwambia kama ni bosi wako basi nitakwenda kumuuliza. Kusikia vile akamwambia hakuna kwenda usije kuniharibia kazi tukose hela ya kula. Kumbe hiyo ni geresha tu.
Huyo bwana taarifa zilipofika kwa wazazi wake akaitwa lakini akagoma. Huko aliitwa ikiwa ni pamoja na kula sikukuu ya Pasaka. Mamake akataka aende na mkewe lakini huyo jamaa hakumjibu mamake(mkwe) ikabidi awasiliane na mkamwana(mke wa jamaa). Naye akawa anamwambia mama mkwe kwamba hataweza kuja. Ndipo mamamkwe akajua kuna tatizo hapo.
Ikabidi upande wa mwanamke ukaandaa kikao na upande wa jamaa ili kujua kulikoni. Na kweli pande zote zikaitwa mambo yote yakawekwa hadharani na upande wa mwanamke ukaamua binti yao maadam alishakamata vidhibiti na bwana akakiri kuwa na mahusiano nje ya ndoa, akae kando wakati taratibu za talaka zinaandaliwa. Hakika Maisha Ndivyo Yalivyo.
Mpenzi msomaji, si unajua ndoa za siku hizi nyingi ni mfano wa mchezo wa kuigiza? Watu wanataka umaarufu kwamba nilioa au niliolea baada ya hapo mchezo umekwisha. Kwa mtu ambaye ndio kwanza amefunga ndoa, akabahatika kupata mtoto mmoja, kwanini aanze vituko ikiwa ni pamoja na kulala kona na washikaji wengine?
Hili ni tatizo kubwa sana. Na mara nyingi inakuwa kwamba yule aliyeoa au kuolewa kisha akaendelea kuchepuka kona, maana yake penzi haliko pale ndani liko huko vichochoroni. Au siyo?
Mfumo huu wa maisha ndio umechangia ndoa nyingi kuvunjika na kama bado zipo basi hazina amani na ndio maana pia maradhi yanazidi kuteketeza familia kwa kuwa maradhi yale husombwa huko nje ya ndoa.
Watu mmepima virusi, mkaoana kwa raha zenu lakini kutokana na tamaa mnasomba maradhi toka nje mnakandamiziana. Kwanini? Kile kiapo cha ndoa kiko wapi? Hivi tunamdanyanya Mungu madhabahuni?
Ndio maana kwa wale wasiotaka usumbufu, baada ya mwenzake kuonyesha makucha na rangi za tabia, huamua kutengana au kutalikiana mapema ili kila mtu akafe kivyake. Yupo rafiki yangu aliwahi kuniambia “Kuliko mwanaume aniletee virusi au mimi nimletee afadhali tuachane ili kila mmoja akafe kivyake kuepuka aibu ndani ya ndoa”.
Tulikuwa tunazungumzia wale wanaowaacha wake zao wazuri au waume zao, kisha kwenda kujikumbusha na wachuchu(marafiki) wa zamani, bila kujali kuwa ni wazima au walishajeruhiwa. Utasikia wanajipa moyo eti ‘mavi ya kale hayanuki’, ebo! Labda huko zamani, lakini siku hizi usidanganyike, yananuka tena uvundo usioisha. Au siyo msomaji wangu? Maisha Ndivyo Yalivyo, kaa chonjo!
Upo ushahidi ambao umethibitika kwa baadhi ya ndoa zenye mtikisiko kwamba kwa upande wa wanaume wanaotoka nje ya ndoa na kisha kunyanyasa wake zao, wakati mwingine siyo makosa yao.
Kule nje kama ni mtu mwenye kazi na fedha za kutosha, akakutana na mwanamke shangingi anayejua vichochoro vya waganga, basi ajue amekwisha. Hakuna wanawake wabaya kama walioegemea ushirikina, watampumbaza mwanaume hata kufikia hatua ya kuhamia kwake mzima mzima.
Wanaume wa aina hii ndio wale utasikia anamfanyia visa mkewe ili amtibue ahame nyumba kisha amlete huyo dungaembe anayemzuzua huko nje. Matokeo yake analeta msononeko ndani ya familia kama ambavyo tumeona hapo juu.
Waliofanya kituko kama hiki wamejikuta katika majuto na wakati mwingine hata yule aliyeletwa naye huamua kutimua kwa nyumba kumshinda hasa akijua kuwa ilikuwa ni nyumba ya mwanamke mwenzake. Mwisho wa siku lijamaa linabaki lenyewe na kuanza tena kutafuta njia ya kumrejesha mkewe aliyeondoka bila mafanikio.
Mpenzi msomaji, kama mtu ameamua kuingia kwenye ndoa(labda awe alilazimishwa) kwa hiari yake, kwanini aanze vituko ikiwa ni pamoja na kutafuta mahusiano ya nje? Hata kama zipo kasoro baada ya wawili kuingia kwenye mkataba wa ndoa, ni vema zikajadiliwa ili kama ni kuachana ijulikane lakini siyo kufanya visa kumtibua mwenzako kwa tamaa za fisi.
Msomaji wangu, kwa leo niishie hapa upate nawe kuchangia maoni. Ukiwa tayari kuwa huru kuwasiliana nami kwa kutuma ujumbe mfupi kupitia simu ya ofisi namba 0774268581(usipige), au barua pepe; [email protected]
Kumbuka kama hutapenda jina au simu yako itajwe gazetini tamka hivyo na hilo litaheshimiwa.
Wasalaam.
|
<urn:uuid:d741f932-8970-43bc-a400-3d587ea93493>
|
{
"date": "2014-04-24T02:40:58Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1398223204388.12/warc/CC-MAIN-20140423032004-00504-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9698725938796997,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 50,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9698725938796997, \"swc_Latn_score\": 0.020935505628585815}",
"url": "http://www.ippmedia.com/frontend/index.php/hl=23tion=com_content.com/29rontend/ph/inccontent=com_cont_5t.com/css/function.fopen?l=40561"
}
|
Tamko la Waziri Mkuu Mh.Mizengo Pinda 20/06/2013 juu wa watu wanaoandamana bila idhini ya serikali wakidai matakwa yao yasikilizwe ni la kushangaza!
Pinda alisema “Wapigwe tu maana tumechoka” ni jambo la kushangaza sana kuona kiongozi anasema “wamechoka!” kama wamechoka waachie madaraka wachukue wasiochoka! ndiyo maana nchi inaenda vibaya, wachungaji wanauawa serikali kama haipo, kumbe viongozi wamechoka! serikali itambue kwamba kama wao wamechoka basi wananchi wamechoka zaidi! Mingu atusaidie!
|
<urn:uuid:858de980-b6e8-4964-b5dd-c6535a6e5867>
|
{
"date": "2014-04-25T02:23:57Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1398223207985.17/warc/CC-MAIN-20140423032007-00207-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9080197215080261,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 39,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9080197215080261, \"swc_Latn_score\": 0.089083731174469}",
"url": "http://mosespk.wordpress.com/2013/06/22/kauli-ya-waziri-mkuu-wa-tanzania-dhidi-ya-watu-wanaoandamana-kudai-kile-wanachokiita-haki-zao-ni-la-kushangaza/"
}
|
Maelezo mafupi juu ya Kampuni
Kampuni la TshwaneDJe linatayarisha zana mbalimbali za hali ya juu kwa ajili ya kushughulikia lugha na matini. Mfumo wake TshwaneLex wa kuandalia kamusi ("TshwaneLex Dictionary Production System") unazidi kwa kasi kuwa zana ya kiwango cha kielelezo kwa ajili ya kuhariria kamusi za aina mbalimbali.
Miongoni mwa wateja yakiwemo makampuni ya Oxford University Press, Pearson, Longman, Macmillan, Van Dale, Le Robert, Spanish Royal National Academy of Medicine, Grupo Clarín (Argentina), Baraza la Lugha ya Welsh, Wizara ya Sheria (Kanada), Taasisi ya Lugha na Fasihi ya Malaysia, Taasisi ya Leksikolojia ya Kiholanzi (Uholanzi), na mengine zaidi.
Usitawi wa kampuni umepatikana kwa kukazania sana lengo la utaalamu, ubora wa mafanikio ya kazi, na utoaji wa faida kubwa katika uwekezaji kwa wateja.
Zana na huduma nyingine zikiwa ni pamoja na programu za kushughulikia istilahi, vifaa kwa watafsiri, mbinu za kugeuza data, mwega na mafunzo, na tlDatabase, ambayo ni kihariri cha hifadhidata iliyo rahisi kutumia.
Mfumo wa TshwaneLex wa Kuandalia Kamusi
TshwaneLex ni programu ya kitaaluma, rahisi ya kutumia, inayoweza kukaidishwa kikamilifu kadiri ya uhitaji wa mteja kwa ajili ya kuhariria kamusi za aina zote. Programu hii inakusaidia kupunguza muda wa uandaaji wa kamusi, pamoja na kuongeza ubora na upatanifu wa kamusi yako.
Mambo yake muhimu ni mfumo fungamano wa ulizo wa korpasi, hakiki ya muda-halisi, mitindo ya hali ya juu, "marejeo-mtambuko nadhifu", upinduaji unaojiendesha wa ingizo, uingizaji namba na upangaji unaojiendesha, uhamishaji kwenye MS Word, InDesign na Quark, na mwega wa wateja anuwai kwa ajili ya usimamizi wa timu. TshwaneLex ina uwezo wa kutumiwa kwa lugha zote za dunia, nayo ina misingi katika kiwango cha viwanda cha XML.
Mfumo wa Kielektroniki wa Kuhariria Kamusi
Zana hiyo, iliyo kamili, iwezayo kukaidishwa na yenye bei ndogo kulingana na ufanisi wake, ni bora kwa ajili ya kuhariria kamusi yako katika diski-ROM au kama kifaa cha kupakuliwa, ikiwa ni pamoja na vitendea kazi vyote vya Kamusi ya Kielektroniki ya kisasa, iliyo rahisi kutumia. Inaweza kukaidishwa kabisa kadiri ya taswira ya ‘look and feel’ inayopendelewa, nembo, yaliyomo katika kamusi na lugha za kamusi yako.
Mambo yake muhimu ni pamoja na fungamano na MS Word, kusano ya mtumiaji katika lugha nyingi, mbinu za kuzuilia uharamia, mwega kwa ajili ya sauti na picha.
Mfumo wa Kuhariria Kamusi Mkondoni
Mfumo huu huweza kutumiwa katika kuhariri kamusi mbalimbali au orodha za istilahi kwenye Wavu wa Intaneti, na hivyo kuruhusu watumiaji kuuliza kamusi kutoka katika kivinjari chao cha Wavu. Huduma hii inaweza kuwa "all-inclusive" hadi kuweza kuhusu pia – kwa hiari ya mteja – huduma ya kutia kamusi mkondoni kwa niaba yako, kuisimamia na kuisasisha kamusi ya Wavuni, na kupangisha tovuti.
Kati ya maambo yake muhimu kuna mfumo staarabu wa usajili utafutaji ambao unazinza takwimu zenye maana kwa ajili ya mtunzi wa kamusi, kama vile maulizo yaliyotafutwa mara nyingi bila kuweza kutoa majibu.
tlTerm: Programu ya Kushughulikia Istilahi na Tafsiri
tlTerm ni programu iliyo rahisi ya kutumia, upesi katika kazi, inayoweza kukaidishwa kadiri ya uhitaji wa mteja, kwa ajili ya kuhariria na kushughulikia orodha za istilahi.
Mambo yake muhimu ni uwezo wa kutumiwa kwa karibu lugha zozote, mfumo fungamano wa kuuliza karpasi, ulizo/utafutaji pevu, modi ya watumiaji-anuwai au ya mtumiaji-peke, mwega kwa TBX na TMX, na mwingiliano na Microsoft Word.
tlDatabase: Programu ya Hifadhidata iliyo Rahisi ya Kutumiwa
tlDatabase ni kihariri cha hifadhidata iliyo rahisi kutumia, inayokuwezesha kuunda maudhui kimuundo ya aina yoyote.
Mambo yake muhimu ni pamoja na ‘templeti za kuanzia’ zinazokusaidia kuweza kuanzisha na kuendesha programu mara moja, kuwa na uwezo wa kukaidishwa kikamilifu, mfumo wa watumiaji anuwai pamoja na aina za nyadhifa, mfumo wa Mitindo wa hali ya juu, na lugha iliyofungamana ya skripti. tlDatabase huweza kushika taarifa zote za kimataifa, nayo ina misingi katika XML.
|
<urn:uuid:4031f03a-91d2-4a20-b224-11004aaa93db>
|
{
"date": "2014-04-18T00:13:06Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1397609532374.24/warc/CC-MAIN-20140416005212-00392-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9514139294624329,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 62,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9514139294624329, \"swc_Latn_score\": 0.04199002683162689}",
"url": "http://tshwanedje.com/swa/"
}
|
Utata wa mpaka baina ya Guyana na Venezuela kupata suluhuKusikiliza /
Tarehe 17 mwezi huu mwakilishi maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa mataifa kwa ajili ya utata wa mpaka baina ya Guyana na Venezuela Bwana Norman Girvan amekuwa na mikutano tofauti na mawaziri wa mamabo ya nje wa Guyana na Venezuela.
Mawaziri hao wamesisitiza kwamba kuna mahusiano mazuri ambayo yanaendelea baina ya mataifa hayo mawili. Wakikumbushia hatua zilizopigwa na ofisi zao siku za nyuma mawaziri hao wamekaribisha mapendekezo ya mwakilishi huyo maalumu ya kuchukua hatua zaidi kushughulikia utata wa suala la mpaka.
Hatua hizo zitajumuisha mlolongo wa mikutano kusukuma mbele mchakato katika miezi ijayo. Mwakilishi huyo amesema ametiwa moyo na nia ya pande zote mbili kujitahidi kupata suluhu chini ya mwamvuli wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa.
|
<urn:uuid:e14e24cf-ae9a-4280-8efc-8df1c589ccab>
|
{
"date": "2014-04-18T00:23:49Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1397609532374.24/warc/CC-MAIN-20140416005212-00392-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9908596277236938,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 27,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9908596277236938}",
"url": "http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2013/10/utata-wa-mpaka-baiana-ya-guyana-na-venezuela-kupata-suluhu/"
}
|
KLABU ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Iringa (IPC) na waandishi wa habari wote mkoani Iringa na nchini kwa ujumla wamepokea kwa mshutuko na masikitiko makubwa kifo cha Mwenyekiti wa IPC, Daudi Mwangosi.
Mwangosi ambaye pia ni Mwandishi wa Habari wa Channel Ten, alifariki jana majira ya saa 10 jioni baada ya kupigwa bomu katika vurugu za wafuasi wa Chadema waliokuwa wakitawanywa na jeshi la Polisi.
Utata wa nani anahusika na tukio hilo umeendelea kugubika huku jeshi la Polisi likitoa tamko linalodhihirisha dhahiri kwamba wanataka kujiondoa katika kosa hilo kabla uchunguzi haujafanyika.
Katika taarifa ya jeshi hilo iliyotolewa na Polisi hii leo imedai kwamba bomu linalodaiwa kumuuawa mwandishi huyo lilitoka katika kundi la wafuasi wa Chadema, wakati Mwangosi akitafuta msaada wa kujinusuru kwa askari waliokuwepo katika eneo hilo.
Lakini wakati jeshi hilo likitoa taarifa hiyo inayokinzana yenyewe, limeshindwa kueleza ni kwasababu gani bomu lililorushwa kutoka katika kundi la wafuasi hao likamdhuru na kumuua mwandishi huyo pekee yake wakati alikuwa ameshikiliwa na mmoja wa askari wa jeshi hilo baada ya kupigwa virungu alipotaka kujua sababu ya kukamtwa kwa mwandishi mwingine Godfrey Mushi aliyekuwa akipiga picha tukio hilo.
Uchunguzi wa awali wa IPC unapingana kwa asilimia zote na taarifa ya jeshi hilo kwa kuzingatia taarifa zilizotolewa na baadhi ya waandishi waliokuwepo katika tukio hilo na zile zilizoandikwa na kurushwa na vyombo mbalimbali vya habari toka jana.
Taarifa kutoka katika vyanzo vyetu zinaonesha kwamba Mwangosi alipigwa kwa virungu kabla ya kulipuliwa na bomu hilo ambalo kwa vyovyote vile muhusika wake mkuu anaweza kuwa jeshi hilo.
Ili taarifa hiyo potofu isiendelee kuugubika umma, IPC imeamua kutoa tamko linalolenga kuviarifu vyombo huru viiingilie kati katika uchunguzi huo.
Na kwa kuzingatia mazingira hayo, IPC kwa kushirikiana na waandishi wote wanaofanya kazi mkoani Iringa, kuanzia leo wanatangaza rasmi kusitisha ushirikiano wa kikazi baina yao na jeshi hilo mpaka pale taarifa au majibu sahihi kutoka kwa vyombo huru vitakavyolifanyia kazi suala hilo yatakapotolewa.
Kazi hizo ni pamoja na kuwataarifu waandishi wa habari kusitisha mara moja kwenda katika Ofisi ya RPC kwa ajili ya kupata taarifa za matukio mbalimbali ya uhalifu yanayotokea kila siku.
Aidha IPC inawataka wanachama au viongozi wake waliokuwa wajumbe wa kamati zozote zile zinazolihusu jeshi hilo ikiwemo ile ya maandalizi ya wiki ya usalama barabarani kujitoa kwenye kamati hizo.
IPC inawaomba waandishi wa habari kushikamana katika kipindi hiki kigumu kwa kuzingatia kwamba yaliyomkuta ndugu yetu Mwangosi yanaelekea kumkuta mwandishi yoyote Yule nchini.
Tukio hilo linadhihirisha jinsi uhuru wa habari na vyombo vya habari unavyozidi kukandamizwa hasa katika kipindi hiki ambacho watanzania kwa ujumla wao wanatakiwa kushiriki kikamilifu kuandika Katiba Mpya wanaoitaka.
Tukio hilo haliwezi kuvumiliwa na kwa msimamo huu, IPC inaomba waandishi wote wawe na wimbo mmoja utakaowezesha muhusika wa mauaji hayo akamatwe na kushitakiwa kwa mujibu wa sheria za nchi.
Pamoja na kukamwata kwa muhusika, IPC inataka kuona jeshi la Polisi ambalo kimsingi halipo juu ya sheria linatimiza wajibu wake kwa kuzingatia sheria kama ilivyo kwa taasisi zingine.
Aidha kwa sasa wanahabari mkoa wa Iringa tunatangaza rasmi kusitisha mahusiano yetu na jeshi la polisi kwa kuandika habari za polisi .
Pia tunatambua kuwa wakati Mwangosi akikamatwa alikuwa katika kutimiza wajibu wake kama mwanahabari hivyo hata kama alikosa kwa kufika hapo hukumu yake haikuwa kuuwawa .
Hivyo kutokana na tukio hilo kubwa ambalo halikuwa na chembe ya siasa kwa mwanahabari huyo kwa kuwa hakuwa ni kiongozi wa chama cha Siasa IPC na Chanel Ten kama mwajiri wake na familia tunachukua dhamana ya kusimamia mazishi hayo bila huku tukiviomba vyama vya siasa kutovuruga taswira ya Tasnia hii ambayo kamwe haifungamani ya chama chochote cha Siasa .
Na tunalitaka jeshi la Polisi litoe ushirikiano kwa kutoa taarifa sahihi na za kweli kwa makundi huru yanayoendelea kulichunguza suala hilo.
Kifo cha Mwangosi kimetufanya wanahabari kote nchini kujipanga upya katika kutathimini upya mahusiano yetu na jeshi la polisi .
Mungu ailaze mahali pema roho ya Marehemu Daud Mwangosi. Amin
Francis Godwin
katibu msaidizi IPC
|
<urn:uuid:f4b974dc-e66f-4060-83a7-62971a2b28a3>
|
{
"date": "2014-04-20T13:30:29Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1397609538787.31/warc/CC-MAIN-20140416005218-00456-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9897870421409607,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 62,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9897870421409607}",
"url": "http://www.matukiotz.com/2012/09/tamko-la-klabu-ya-waandishi-wa-habari.html"
}
|
Maswali na Majibu yanayo husiana na...
GGN
+–Ni nini Global Grace News (GGN)?
GGN (Habari za Neema Ulimwenguni) ni msaada wa mafundisho kwa wahuduma na makanisa duniani kote.Sisi tuna tangaza injili ya neema ya Yesu Kristo; neema pekee , imani pekee, Yesu pekee. Kazi ya ukombozi iliyo malizika ya Kristo ndiye toleo la pekee kwa wokovu, baraka, na huduma. Makusudi ni mawili, ni kusaidia kanisa kutambua tena Yesu na kupeleka huu ujumbe duniani kote.
+–Kwa nini sasa?
Wahudumu na waamini duniani kote wanatambuwa kwamba kuna nguvu kuu dhidi ya injili leo hii; elimu ya dini, hekima ya mwanadamu na sheria zina potosha watu kutoka kwa uwazi na urahisi wa injili. GGN inataka kuwapa mafundisho, kuwa na uhusiano, na mafundisho, na kusaidia kanisa na ulimwengu kutambua yale Yesu ametupa sisi. Makusudi yetu siye yale tusiyo kuwa nayo, ila ni yale tuliyo nayo katika Kristo. Imani yetu ina tenda kazi kwa kukubali kila tendo jema katika Kristo (Phili v7).
+–Je kunayo hatari ya kusisitiza zaidi kuhusu neema juu ya ukumavu wa rohoni na utakatifu wa kibinafsi?
Ufunao wa neema ni ufunuo wa Yesu na hakuna hatari ya kusisitiza ziadi juu ya Yesu. Maandiko yapo wazi waumini hutawala maishani kwa “ utele wa neema “ (Waru 5:17) na tena hiyo neema inayo tuokoa inatufundisha kuishi katika uungu (Tito 2:12). Iwapo tunataka watu waishi katika utakatifu, lazima tufunue neema ya Yesu, kwa sababu neema ndiye inazalisha utakatifu na ukomavu wa rohoni. Wale wana sumbukana na kusisitizwa kwa neema, wao huona neema ya Yesu kama kichwa cha somo lingine. Walakini, ufunuo wa neema ni ufunuo wa Yesu Mwenyewe na utakatifu wa kweli unajitokesha wakati Yesu anapoishi ndani mwetu.
+–Je kuna gharama gani kupokea mafundisho haya?
Haya mafundisho yaliyopo katika mtandao wetu ni bure kwa wote. Tena unaweza kujiandikisha ili upokee barua ya habari njema ya kila mwezi iliyo bure, na tuta tuma kwa barua pepe unayo jizajili nayo. Iwapo umebarikiwa na mafundisho na unataka kuwa mshirika pamoja nasi kuendelesha mafundisho haya duniani kote, basi umekaribishwa kuwa mfadhali, yaani wa kipawa cha fedha cha wakati mmoja na hata kwa mwaka vita pokelewa na shukurani.
+–Je unaona nini kwa ajili ya siku za usoni?
Tuna tarajia mapinduzi ya injili duniani kote .Ujumbe ulio hubiriwa na mitume kuhusu Yesu lazima uje mbele na nyuma na hata katikati. Kila uamsho wa kweli wa rohoni lazima uletwe na Yesu. Yesu ndiye atakaye kuwa mwongozo wa mavuno kuu yaliyo mbele zetu. Yeye ndiye “Shauku la mataifa yote” na mataifa watamjia Yeye. Makusudi ya Shetani ni kutupotosha kutoka urahisi wauliyopo ndani mwa Kristo ( 2 Wakori11:3) Huu uwongo wa Shetani huja katika mifano za ujanja chini ya kifuniko cha mambo ya rohoni na elimu ya dini. Kuna mtizamo mkubwa juu ya juhudi zetu, ina onekana kanisa lime ongezeka katika kutizama yale tunapaswa kufanya kuliko “Yale Kristo Yesu amefanya” GGN inayo nia njema kwa wahuduma na makanisa, wanao taka kanisa na ulimwengu kutambua Yesu na ukamilifu wa Kazi ya Ukombozi Wake.
|
<urn:uuid:b6e10b2d-965f-40d2-91ed-0e4be160ba51>
|
{
"date": "2014-04-17T12:29:45Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1397609530131.27/warc/CC-MAIN-20140416005210-00049-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9413747787475586,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 39,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9413747787475586, \"swc_Latn_score\": 0.04105546697974205, \"ssw_Latn_score\": 0.012769334949553013}",
"url": "http://globalgracenews.org/sw/global/questions_and_answers/5/"
}
|
Bara la Afrika laungana kudhibiti majanga ya asiliKusikiliza /
Wawakilishi kutoka nchi 40 za Afrika wanakutana huko Arusha, Tanzania kujadili njia za kuzuia na kupunguza athari za za majanga wakati huu ambapo ulimwengu unaoendea kuathiriwa na mabadiliko ya tabianchi, ukame, mafuriko , kupanda kwa joto, moto wa misistuni na majanga mengine ya kiasili.
Kulingana na makadirio kutoka kituo cha utafiti wa hali ya hewa na Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na kupunguza athari za majanga, UNSDR, ni kwamba watu milioni 18 waliathiriwa na ukame mwaka uliopita huku milioni 8.8 wakiathiriwa na mafuriko katika eneo la kusini mwa jangwa la sahara. Hasara iliyopatikana kutokana na majanga hayo kwa muda wa miaka miwili ilikuwa ni gharama ya dola bilioni 1.3. Jason Nyakundi na taarifa kamili.
|
<urn:uuid:8ee19c54-1cf7-454f-b78d-812f6c79c258>
|
{
"date": "2014-04-18T21:27:42Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1397609535095.9/warc/CC-MAIN-20140416005215-00081-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9954661130905151,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 30,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9954661130905151}",
"url": "http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2013/02/bara-la-afrika-laungana-kudhibiti-majanga-ya-asili/"
}
|
Tuchukue hatua mapema kudhibiti ugonjwa wa Kisukari: BanKusikiliza /
Novemba 14 kila mwaka ni siku ya Kisukari duniani ambapo katika salamu zake kwa mwaka huu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-Moon amehadharisha juu ya ongezeko la idadi ya wagonjwa hususan watoto, vijana na watu maskini. Amesema takribani watu Milioni 350 duniani waugua Kisukari na licha ya kwamba watu wako hatarini kurithi ugonjwa kwenye ukoo lakini chagizo kikubwa ni mfumo wa maisha ikiwemo kutokufanya mazoezi na milo isiyo na afya. Amesema ni jambo la kustaajabisha katika ulimwengu huu uliosheheni vyakula, bado kuna watu wanashindwa kupata mlo bora. Ametaja hatua za kuchukuakamavile kuwezesha wagonjwa kupata tiba, serikali kuwa na sera za kuhakikisha kilimo na upatikanaji wa vyakula bora na watu kuchunguza afya zao mapema kufahamu iwapo wana Kisukari au la, kwani uchunguzi wa mapema unapunguza madhara makubwa ya kiafya baadaye.
|
<urn:uuid:9d1bf6a6-93b1-46da-9ef0-49fb84021f6e>
|
{
"date": "2014-04-20T03:40:37Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1397609537864.21/warc/CC-MAIN-20140416005217-00113-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.99061518907547,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 29,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.99061518907547}",
"url": "http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2013/11/tuchukue-hatua-mapema-kudhibiti-ugonjwa-wa-kisukari-ban/"
}
|
End of preview. Expand
in Data Studio
README.md exists but content is empty.
- Downloads last month
- 9