text
stringlengths 1
464
|
|---|
Kidonda kilipokosa kupona alikatwa mguu.
|
Ukipokonywa nyota utakuwa na shida sana
|
Alikaribisha mtu akamuibia kila kitu
|
Ukienda kuwinda utapata mnyama
|
Uwape salama wote hao
|
Ukihesabu kwenda kurudi itakuwa bora
|
Usile mapapai usije ukahara
|
Tembe za mapapai ni dawa ya minyoo
|
Ameshinda akinyunyizia shamba maji jua limezidi
|
Ukija na gari liache mbali
|
Wameenda mkutano wa msichana anayeolewa
|
Wamejua akienda kwa mganga atarudi mzuri
|
Alileta majini kwake akapigwa
|
Nawaambia muache madharau
|
Hao watu wote mnaokula nao hawatawasaidia
|
Bora yule uliyezaliwa nae ule nae
|
Alipewa uchawi na nyanyake amroge mamake
|
Ni vizuri kufungua watoto wetu mdomo
|
Enda uwaangalie watoto wako
|
Msigombane juu ya utajiri wa baba yenu
|
Ukiona babako na mamako ni wazuri usitake uzuri wao
|
Omba nyota kwa babako na mamako
|
Ukitaka kuua mtoto wako mpe pesa
|
Mtoto wako akijua pesa anakuwa mwizi
|
Mtoto wa tajiri hajui mende au kunguni
|
Haya maharagwe hayaivi ni magumu
|
Mafuta menyi kwenye chakula yanaleta magonjwa
|
Mke wake amerarukiwa na nguo
|
Furahishwa na bwana yako hata kama amezeeka
|
Bibi anaye furahia kwa sababu ukona pesa ni kupe
|
Huwa wanapiga bwana zao
|
Mundu anajivuna kwa sababu ana peas
|
Ukila uzidishe ni vibaya
|
Ukiwa na shida utamuita nani?
|
Huyu mwanamke sijui anataka kufanyia watu nini
|
Asante umenitetea
|
Twende tuone wanaishi wapi
|
Wamemtafuta wakamkosa mahalialikuwa
|
Inatakikana watu waangalie miiliyao
|
Usikae lege lege
|
Mtoto wao alizalia nje
|
Kifua chake kimekuwa kikubwa
|
Nataka niende nikitafuta
|
Ukitaka pesa ndo unapea watu kiti
|
Sima unaweza kula kila siku ukibadilisha mboga
|
Alienda kujificha pangoni ila alionekana
|
Walikutana kanisani wakaoana
|
Walingoja sana kupata mimba
|
Lakini kwanini waganga wandanganya watu
|
Akioga hang'ari
|
Kila swali lina jibu
|
Wamesema watakuja Jumatatu
|
mimi sitaki njia zake za giza
|
Wakiwa hawataki huwa wanasema
|
Wanataka kuibia watu
|
Wezi wote walichomwa
|
Mnatutia aibu na kuomba
|
Vifaranga wangu wanasinzia
|
Niliienda mbali na mambo yangu yakaharibika
|
Nilimwachia sungura na kuku
|
Kikichukua mtu hakiwezi kumrudisha
|
Wanapelekwa kwa waganga na mama zao
|
Msishangae na hayo maneno yao
|
Nyw'ele zao zimekuwa kubwa
|
Watu wanakimbizana na kupalilia
|
Watoto wasichana muone haya kuwaomba wanaume pesa
|
Ukienda kunywa pombe ujinunulie mwenyewe
|
Huwa sipendezwi na watu wanaosema tuko sote
|
Huwa mnatafutana mkifiliwa
|
Sipendi watu hugombeza wenzao
|
Msilee watoto kama mayai
|
Ambieni watoto wasisimame hapo.
|
Nimelelewa kwa njia ngumu sana
|
Kama huwa unaenda kwa waganga enda na watoto wako
|
Onesha watoto wako kutafuta ya siku.
|
Nguo zake zinatoa harufu mbaya
|
Tumbo linauma
|
Anang'aa kama kioo
|
Kioo chake kimepasuka
|
Amenunua kioo kingine
|
Amemlenga na kioo
|
Amepewa kioo aangalie nyw'ele yake
|
Huwa anauza kioo kikubwa
|
Dukani kwake ana kioo
|
Hana kioo nyumbani
|
Huwa anamuona na kioo
|
Nyumbani kwao wamejaza vioo
|
Alikula pesa za baba yake.
|
Aliibiwa mabati
|
Mji wake hauna mabati
|
Mabati yote yametoboka
|
Amenunua mabati mengine
|
Amepewa mabati na chifu
|
Amepatikana aking'oa mabati ya babake
|
Akiweka mabati nyumba hiyo imeisha
|
Ameanguka kutoka kwenye mabati
|
Amekutwa akiroga juu ya mabati
|
Yule mtu aliyenipatia mabati alifariki.
|
Amefungua mahali pa kutengeneza mabati
|
Amenipa mabati yake yote
|
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.