text
stringlengths 1
464
|
---|
Ana maneno madogo madogo
|
Mtoto wa kike ni wakusaidia
|
Mtoto huyo ana hasira za kijinga
|
Shamba lao limejaa pilipili
|
Walipokonywa shamba na baba yao
|
Amenunua shamba kushushe
|
Wamegawiwa shamba la kwao
|
Ameuza shamba la mamake
|
Ameenda shambani kulinda tumbili
|
Amewapeleka mbuzi shambani
|
Huwa anaeka pilipili kwenye chakula
|
Mpike chakula mpaka cha jioni
|
Naumwa na tumbo
|
Amezaliwa na kichwa kikubwa
|
Ameanguka akapasuka kichwa
|
Amemlenga na jiwe kichwani
|
Amezaliwa na kichwa kama cha ndugu yake
|
Ametupa kichwa cha mbuzi
|
Kichwa cha kondoo kina mafuta
|
Amenunua kichwa cha kutengenza supu
|
Mwanamke aliye jifungua huwa anakunywa supu ya kichwa
|
Aliambiwa achinje mbuzi peke yake
|
Nilijaza maji kwenye mitungi yote
|
Tulienda pamoja mpaka kwao
|
Damu yake ni nyeusi
|
Alipika damu ya mbuzi
|
Alijaza sufuria kubwa viazi
|
Maji huwa wanachota huko chini
|
Waambie waje wote tukutane
|
Amepewa sumu akafariki
|
Ndizi zimeiva sana
|
Ndizi ziko shamba lote
|
Wana shamba la ndizi
|
Huwa wanapendezwa na kula ndizi
|
Waliambiwa wapande miwa wauze
|
Huwa anapendezwa na mboga kali
|
Alidungwa na miba
|
Shamba lao limejaa mawe makubwa
|
Alichimba mashimo akazika pesa zake
|
Walizika mbegu za maharagwe bila kupanda
|
Pasaka ndo hiyo imefika
|
Watu wamepika maharagwe
|
Nisaidie kuchota maji
|
Nasafiri karibuni
|
Alikula majani ya mihogo akafa
|
Tukae na upendo wa kila mtu
|
Mbebe kila kitu chenu na msirudi
|
Ulisema matanga yalipatikana
|
Alioa mtoto mdogo
|
Ni mkubwa na bado hajaolewa
|
Nipee champali zako nitakurudishia
|
Ananidai pesa zake za mahindi
|
Mahindi yamekuwa makubwa
|
Huwa ananiuzia mahindi
|
Mahindi yote yameliwa na kuku
|
Amempa mahindi yote yako shambani
|
Amemuibia mahindi yote
|
Sai yote yamekauka
|
Alipewa mahindi kama mahari
|
Kwa kina Msafari huwa wanauza mahindi
|
Uniletee mahindi choma
|
Huwa anakula mahindi choma kila siku
|
Mahindi yameliwa na tumbili
|
Alinyimwa chakula matangani
|
Nimemtumia pesa za kulipa shule
|
Alikuwa akimpiga mke wake kitambo
|
Kitambo kulikuwa na fisi na sungura
|
Fisi amepigwa akila ng'ombe
|
Natuma watoto waje uwape maji
|
Nakungoja tule chakula cha moto
|
Mtoto amejufunika blanketi
|
Walienda kwao kuona mzee
|
Anamaliza shule leo
|
Ananichelewesha na nataka kwenda nyumbani
|
Akiwa na pesa huwa ni mkali
|
Amejificha uvunguni ndo asichapwe na mamake
|
Huwa analala na pesa zake kitandani
|
Baba amenitemea mate mkononi
|
Amesema hataki kumuona popote
|
Nimemaliza kazi yangu
|
Huwa anajikuna akila kondoo
|
Ana wasichana watatu
|
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.